Tatizo la engine kumisi ukikanyaga accelerator kwenye baadhi ya gari za Toyota


Mkuu

Ninashukuru na ninafurahi pia kama mmeweza kupata solution kupitia huu uzi.

Namba yangu ni 0621 221 606
 
Kumbe na TOYOTA nazo huaribika?...kuna watu ukiwaambia kuwa toyota nazo huchoka na kuharibika, wanatamani kukumeza.
BTW, umesaidia mafundi wengi sana na hii solution.
Keep it up!

Kila gari inaharibika mkuu.

The worst ni kupata tatizo ambalo linaweza kukutesa muda mrefu.

Moja wa watu wa mwanzo ambao niliwakuta wakiwa na hili tatizo alikuwa ameshabadili gearbox.

Maana alichowaza ni kwamba gari inachelewa kuchanganya hivyo fundi wake alilitreat kama tatizo la gearbox.

Hamna kilichobadilika na by the time alishaanza kuwa Hopeless.
 
Kumbe na TOYOTA nazo huaribika?...kuna watu ukiwaambia kuwa toyota nazo huchoka na kuharibika, wanatamani kukumeza.
BTW, umesaidia mafundi wengi sana na hii solution.
Keep it up!
Japo hapa umewachokoza Wajapani wa JFπŸ˜ƒπŸ˜ƒπŸ˜ƒ nadhani watakuwa kwenye kikao sasa hivi kabla waje wakupige vita moja safi.
 
Mkuu asante kwa madini yako, me naomba kuuliza hiv; gari yangu mshale wa speedmeter sometimes hautembei tatizo linaweza kuwa nini mkuu
Speedometer kutokusoma kuna mambo kadhaa.

1. Speedometer yenyewe kuwa kimeo

2. Vehicle Speed sensor hii inakuwa kwenye gearbox.

3. Wiring za kimojawapo au vyote hapo juu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…