Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pesa ipo, Unaingia Yard unachagua unaenda zako.Mambo ya kutuma pesa halafu unakaa mwezi mzima kusubiri gari bado tra wakukamue nani anataka
Kagua miguu
Waambiwe ukweli.Usinigombanishe na waajiri wangu. 😂😂
Mwamba upo sawa kbs lkn pia hata tairi inaweza kuwa shidaCheck engine mountain I'm sure utakuja kunishikuru
Wheel balance?Tangu kuanza kumiliki gari Nilipata hii changamoto mara tatu na gari tatu tofauti.
Mara mbili ilikuwa tatizo la tairi mara moja mount
Nina namna yangu ya kuhakiki gari, ikipita vigezo vyangu sina tatizo.Yard zenyewe za waarabu za kuchekecha mileage
Allignment na Balance na zile pin za uzito za kwenye rim. Mara ya pili ilikuwa ni tairi zimeisha kwa utofauti, ukiziangalia zipo sawa, exp date bado ila kuna ambayo ina sijui kauvimbe. Inshort Mambo yalikuwa mengi yasiyotaka janja janja zaidi ya kununua mpya.Wheel balance?
ExtrovertNi land cruisel prado SX5.0 turbo halijawahi kuwa na changamoto hio, changamoto hio nimeiona siku mbili tatu hizi nikifika speed 70kph kuitafuta 80kph
Ila likipita 80kph linatulia linafanya hivyo pia unapopunguza mwendo.
Naombeni msaada wataalamu
Ingekua ni tyre, lazima angeanza kuisikia kama chuma inakata uno anapoanza kuondoa gari.Mwamba upo sawa kbs lkn pia hata tairi inaweza kuwa shida
Mshangazi hajawah kuwa seriousNjoo nikupe SPACIO uniachie hiyo ntatengeneza mwenyewe
Mshangazi hajawah kuwa serious
Afu kuna mods wanamzimia balaa
Gari linaweza kukunyanyasa ka kitu kadogo sanaAllignment na Balance na zile pin za uzito za kwenye rim. Mara ya pili ilikuwa ni tairi zimeisha kwa utofauti, ukiziangalia zipo sawa, exp date bado ila kuna ambayo ina sijui kauvimbe. Inshort Mambo yalikuwa mengi yasiyotaka janja janja zaidi ya kununua mpya.