Tatizo la gari kutetemeka kwenye speed likifika speed ya 70kph hadi 80kph

Tatizo la gari kutetemeka kwenye speed likifika speed ya 70kph hadi 80kph

Nimesoma maoni ya wadau wengi ambayo yameainisha baadhi ya sababu. Nimewahi pata changamoto hiyo nikiwa katikati ya 100-120kph. Sababu ya kwanza ilikuwa unbalanced tyres. Baada ya wheel balancing ikatulia.

Safari nyingine changamoto ilikuwa engine mount moja ilikuwa imekatika.

Mara ya tatu ambayo nimeipata hivi karibuni imegundulika ni CV joint imechoka. Nilikuwa nahisi mtetemo gari ikifika 40kph. Baada ya hapo inatulia.

Uzoefu huo niliupata kwenye magari mawili tofauti ya Toyota.
 
80kph ni salama kabisa boss., mimi ni muoga sana na mara chache ndio hua natembea 80kph hadi 100kph unless ni 60-70 full stop
Wewe ndio mimi.. nafikaga 130km/p hapo kamoyo kanaanza kudunda nikifiria watoto naanza kuachilia pedali mdogo mdogo narudi zangu 80!! Cha kufia nini 🤣🤣
 
Uko sahihi mkuu. 80 ni mwendo mzuri! Hata 100 sehemu nzuri siyo mbaya. Zaidi ya hapo ndiyo unaanza kuingia kwenye hatari.
Sasa kuna watu zile kona za iyovi wanalala na 150!! Aisee kuna watu majasiri. Yupo jamaa yangu ana crown athlet hua anasema ikitokea amepata ajali hataki kusumbua bora afe. Yeye mara zote anamaliza kisahani
 
Kwa uzoefu wangu nilikua na Harier ambayo hapa mjini sikuwahi kuvuka speed 100

Siku moja nikawa nasafiri kwenda Singida, basi ile natoka Dar kwenye zike njia nane kuitafuta Kibaha nikawa nafika speed hadi 100 gari ikawa ina vibrate sana
Kufika Kibaha ikabidi nimpigie fundi wangu akaniambia fanya wheel balancing na wheel alignment

Aisee baada ya hapo nikawa natembea speed hadi 140 gari imetuliaaaa
 
Wewe ndio mimi.. nafikaga 130km/p hapo kamoyo kanaanza kudunda nikifiria watoto naanza kuachilia pedali mdogo mdogo narudi zangu 80!! Cha kufia nini 🤣🤣
Mkuu kuna magari ni hatari sana kuendesha kama huna uzoefu nayo
Mi nimezoea kuendesha haya magari yetu ya kimasikini kama Rav 4, IST nk nk ambayo ukifika speed 120 comfortability inapotea unaanza kuona kama gari inapaa na inakosa balance

Siku moja nikaendesha Land cruser Vx kutokata Tanga kuja Dar
Aisee kuna muda unakuta barabara imetuliaa inakuita tu, kwa njisi gari lilivyotulia unadhani upo kwenye speed za kawaida za 100-120.......kuja kuchungulia speed meter nakuta inasoma 180, nili shtuka sana nika achia pedal
Kuanzia hapo nikawana natembea na speed meter tu sivuki 120

Kuna magari unaweza ukawa 200 lakini gari imetuliaa lakini sasa ukibugi kidogo tu hiyo ajali yake nimbaya sana
 
Uko sahihi mkuu. 80 ni mwendo mzuri! Hata 100 sehemu nzuri siyo mbaya. Zaidi ya hapo ndiyo unaanza kuingia kwenye hatari.
Sasa kuna watu zile kona za iyovi wanalala na 150!! Aisee kuna watu majasiri. Yupo jamaa yangu ana crown athlet hua anasema ikitokea amepata ajali hataki kusumbua bora afe. Yeye mara zote anamaliza kisahani
Mkuu kuna magari ni hatari sana kuendesha kama huna uzoefu nayo
Mi nimezoea kuendesha haya magari yetu ya kimasikini kama Rav 4, IST nk nk ambayo ukifika speed 120 comfortability inapotea unaanza kuona kama gari inapaa na inakosa balance

Siku moja nikaendesha Land cruser Vx kutokata Tanga kuja Dar
Aisee kuna muda unakuta barabara imetuliaa inakuita tu, kwa njisi gari lilivyotulia unadhani upo kwenye speed za kawaida za 100-120.......kuja kuchungulia speed meter nakuta inasoma 180, nili shtuka sana nika achia pedal
Kuanzia hapo nikawana natembea na speed meter tu sivuki 120

Kuna magari unaweza ukawa 200 lakini gari imetuliaa lakini sasa ukibugi kidogo tu hiyo ajali yake nimbaya sana
Yuko bwana mmoja kuna siku tulikuwa tunatoka Moro to Dodoma.. yule jamaa ni mshenzi wa speed.. 200kmp 260 kwake kawaida. Unaona kabisa hii speed sio ikafika muda nikamwambia Oya mbona unamkaribisha Israel?

Binafisi ni mwoga wa speed always nikisoma kisahani baridi inaingia naanza kupunguza.
 
Sasa kuna watu zile kona za iyovi wanalala na 150!! Aisee kuna watu majasiri. Yupo jamaa yangu ana crown athlet hua anasema ikitokea amepata ajali hataki kusumbua bora afe. Yeye mara zote anamaliza kisahani

Yuko bwana mmoja kuna siku tulikuwa tunatoka Moro to Dodoma.. yule jamaa ni mshenzi wa speed.. 200kmp 260 kwake kawaida. Unaona kabisa hii speed sio ikafika muda nikamwambia Oya mbona unamkaribisha Israel?

Binafisi ni mwoga wa speed always nikisoma kisahani baridi inaingia naanza kupunguza.
Mtu wa aina hiyo mimi nashuka mara moja. Naweza hata kudanganya kutaka kujisaidia na nishuka kwenye gari sirudi.
 
Ni land cruisel prado SX5.0 turbo halijawahi kuwa na changamoto hio, changamoto hio nimeiona siku mbili tatu hizi nikifika speed 70kph kuitafuta 80kph
Ila likipita 80kph linatulia linafanya hivyo pia unapopunguza mwendo.

Naombeni msaada wataalamu
hapo shida itakua labda kwenye wheel alignment au mounting ya engine ila kama sikosei hiyo ni 3l diesel au 5l maswala ya spark plug haina huko angaika na miguu ya gari fanya full service
 
Ni land cruisel prado SX5.0 turbo halijawahi kuwa na changamoto hio, changamoto hio nimeiona siku mbili tatu hizi nikifika speed 70kph kuitafuta 80kph
Ila likipita 80kph linatulia linafanya hivyo pia unapopunguza mwendo.

Naombeni msaada wataalamu
Badilisha spark plugs iyo ndo tatizo hapo hakuna kingine, at that particular speed, engine revs ziko high and engine power deliverance ni ndogo due to clogged spark plugs, hivyo basi mitetemeko unayoipata ni output (result) ya engine inavo kua ina-struggle to get extra power to attain mzunguko wake at that peak. Failure to to that una hatarisha engine yako. Fix that
 
Wewe ndio mimi.. nafikaga 130km/p hapo kamoyo kanaanza kudunda nikifiria watoto naanza kuachilia pedali mdogo mdogo narudi zangu 80!! Cha kufia nini 🤣🤣
130 barabara zenyewe hizi sio mkeka hata kidogo chuma zenyewe ndo hizi mara paap tyre limechomoka
 
Kwa uzoefu wangu nilikua na Harier ambayo hapa mjini sikuwahi kuvuka speed 100

Siku moja nikawa nasafiri kwenda Singida, basi ile natoka Dar kwenye zike njia nane kuitafuta Kibaha nikawa nafika speed hadi 100 gari ikawa ina vibrate sana
Kufika Kibaha ikabidi nimpigie fundi wangu akaniambia fanya wheel balancing na wheel alignment

Aisee baada ya hapo nikawa natembea speed hadi 140 gari imetuliaaaa
Aisee nami nisharekebisha kwa sasa iko poa
 
Ni land cruisel prado SX5.0 turbo halijawahi kuwa na changamoto hio, changamoto hio nimeiona siku mbili tatu hizi nikifika speed 70kph kuitafuta 80kph
Ila likipita 80kph linatulia linafanya hivyo pia unapopunguza mwendo.

Naombeni msaada wataalamu
Issu hapo itakuwa ni Woga. Gari lako huwa marafiki halifiki hizo speed. So lazima liwe na woga na kutetemeka.lizoeshe litakuja kuzoea na kuona kawaida.
 
Mkuu kuna magari ni hatari sana kuendesha kama huna uzoefu nayo
Mi nimezoea kuendesha haya magari yetu ya kimasikini kama Rav 4, IST nk nk ambayo ukifika speed 120 comfortability inapotea unaanza kuona kama gari inapaa na inakosa balance

Siku moja nikaendesha Land cruser Vx kutokata Tanga kuja Dar
Aisee kuna muda unakuta barabara imetuliaa inakuita tu, kwa njisi gari lilivyotulia unadhani upo kwenye speed za kawaida za 100-120.......kuja kuchungulia speed meter nakuta inasoma 180, nili shtuka sana nika achia pedal
Kuanzia hapo nikawana natembea na speed meter tu sivuki 120

Kuna magari unaweza ukawa 200 lakini gari imetuliaa lakini sasa ukibugi kidogo tu hiyo ajali yake nimbaya sana
Sahihi grand gars lc300 na discovery nyingi Iko stable sana na baadhi ya sports cars kama alteza unaweza kua kwenye 150-180 na gari imetukia
 
Back
Top Bottom