Kabisa mkuuGari linaweza kukunyanyasa ka kitu kadogo sana
Bearing zikifa pia gari inavibrate na kuwa nzito,inakuwa kama unaendeaha toroliMkuu mimi sio fundi hua wanasema hiyo vibration inaweza kuchangiwa na vitu kama kuchoka kwa plug, mounting nk sasa sijajua service ya plug kama umeifanya hivi karibuni.
We ndio umeongea kabisa.Mara ya mwisho kubadilisha Spark Plugs wire ignition cables ni lini mkuu?
Kwa namna ninavyoona gari zinavyo depreciate naona used ndio option nzuri, kwakua sioni mabadiliko makubwa kwenye gari ya 2005 na 2015 zaidi kuona batani zimeongezeka na gear kua ya kuzungusha.Nunueni mapya acheni ubahili
Ninachojua chombo cha moto hakifi ni hela tuKwa namna ninavyoona gari zinavyo depreciate naona used ndio option nzuri, kwakua sioni mabadiliko makubwa kwenye gari ya 2005 na 2015 zaidi kuona batani zimeongezeka na gear kua ya kuzungusha.
In fact magari ya zamani ni reliable sana kuliko ya siku hizi. Siku hizi kuna plastiki nyingi sana ndani ya gari na hata bati lenyewe ni la geji ya juu sana ukiegemea tu linabondeka. Kwa marekani kadri geji inavyokwenda juu ndivyo bati linazidi kuwa jembamba; jamaa walioweka hiyo standard walikuwa stupid sana.Kwa namna ninavyoona gari zinavyo depreciate naona used ndio option nzuri, kwakua sioni mabadiliko makubwa kwenye gari ya 2005 na 2015 zaidi kuona batani zimeongezeka na gear kua ya kuzungusha.
Ngoja nmtafute nimwambie maana limshangazi limeshawamaliza akiliAtakua boqin huyo😀😀
Brother gari za miaka ya karibuni hazina changamoto ni vile bei zipo juu tu.In fact magari ya zamani ni reliable sana kuliko ya siku hizi. Siku hizi kuna plastiki nyingi sana ndani ya gari na hata bati lenyewe ni la geji ya juu sana ukiegemea tu linabondeka. Kwa marekani kadri geji inavyokwenda juu ndivyo bati linazidi kuwa jembamba; jamaa walioweka hiyo standard walikuwa stupid sana.
🤣🤣🤣🤣Unataka unipe spacio halafu unichune hapo hapo spacio uichukue na hili ulichukue