Tatizo la gari za Nissan kushtukashtuka(misfire) kati ya speed 40Km/h mpaka 60Km/h

Tatizo la gari za Nissan kushtukashtuka(misfire) kati ya speed 40Km/h mpaka 60Km/h

JituMirabaMinne

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2020
Posts
3,381
Reaction score
9,744
Shida hii ipo karibu kwenye kila gari ila kwenye Nissan Hali ni mbaya mno. mfano wa gari zenye hiyo shida ni Dualis, Xtrail T31, Note, Juke na Tiida.

Gari inawaka vizuri, Ila ukianza kuitafuta 40kph ndio unaona hiyo shida hasa kama hujaikanyagia sana na hasa maeneo ya vilima, hata kama ni kilima kidogo.

Shida huwa ni spark plugs.

Sasa watu wengi wamepata mkanganyiko sababu baada ya kubadili plug gari inaweza kutulia hata kwa siku moja au mbili halafu ikarudia tena hali ile ile ya mwanzo. Ikijitahidi kukaa muda mrefu ni mwezi mmoja au ukipiga safari ndefu hutatoboa hata 2000km.

Sababu ya shida hiyo kujirudia baada ya kubadili plug huwa ni plug feki na ndio nyingi zilizojaa madukani.

Shida hii imepelekea watu kubadili plug hata mara 8 kwa mwaka na wengine kuyakatia tamaa magari yao au hata kuyauza.

Solutions ni kupata Spark Plug original.

Mambo ya kuzingatia

1. Plug iwe original na compatible na hiyo engine

2. Usiruhusu fundi kusafisha plug zako(wengi mmejitia kiherehere kusafisha plug na mwisho wa siku mmeingia kwenye hiyo shida)

3. Kama unafanya gapping kwenye plug usiguse electrodes zake vinginevyo plug haitofaa tena.

5. Funga plug ambazo ni PFE design(mostly ni double iridium) au PSPE(ruthenium). Ni plug hizi mbili tu ambazo zinaingia kwenye kundi la plugs zenye uwezo mkubwa wa kuunguza mafuta.

Kwa wenye dualis na Xtrail zenye MR20DE kama umekosa plug original karibu ninazo High performance NCE spark plugs ambazo zitasolve tatizo lako kwa 80,000Km zijazo.

Shida hiyo pia ipo kwenye engines kama EJ20 ya turbo na FB20 za subaru unapokuwa speed 60km/h mpaka 80km/h

1NR FE toyota

TSI engines za VW

Na gari nyingine nyingi na sababu ni hizohizo za spark plugs.
 
VK20 unyama

What kind of spark plugs do you recommend for Toyota Vanguard ama RAV 4 miss TZ?
 
1730054771967.png
Gari kama hiyo.... SUZUKI EVERY ...... piston tatu ENGINE F6A-650 CC ina tatizo hilo hilo.......!
 
Pia ningeshauri watu wenye magari wanunue kifaa cha kufanya diagnosis ndogo ambayo itakupa codes zenye hitilafu katika engine ya gari lako.

Kila gari ina socket ya kuchomeka kifaa hicho ambacho bei yake si kubwa sana.

1730055411492.png

Ukitumia kifaa hiki huna haja ya kwenda kwenye garage za mafundi kwani waweza kubadilisha mwenyewe siku za weekend ukiwa home na waoata bia na nyamachoma. Katika package kuna kijitabu kidogo chenye codes zote za hitilafu.

Pia tatizo jingine la engine kusitasita au kuwa na speed ndogo ni catalyst converter kuwa ina shredhold ilojaa uchafu ambayo itabidi ibadilishwe au pia kuisafisha kwa kutumia maji maalum yaitwayo Cataclean.

1730055653356.png


Hayo maji husafisha catalyst converter, fuel injector na maji hayo humwagwa kwenye tank ya mafuta ambayo yamebakia kidogo.
 
Pia ningeshauri watu wenye magari wanunue kifaa cha kufanya diagnosis ndogo ambayo itakupa codes zenye hitilafu katika engine ya gari lako.

Kila gari ina socket ya kuchomeka kifaa hicho ambacho bei yake si kubwa sana.

1730055411492.png

Ukitumia kifaa hiki huna haja ya kwenda kwenye garage za mafundi kwani waweza kubadilisha
Mashine exact kama hiyo kwenye picha haipimi toyota zilizotengenezwa kabla ya 2008.

Pia mambo yangekuwa rahisi hivo kila mwenye gari angekuwa nacho
 
Shida hii ipo karibu kwenye kila gari ila kwenye Nissan Hali ni mbaya mno. mfano wa gari zenye hiyo shida ni Dualis, Xtrail T31, Note, Juke na Tiida.

Gari inawaka vizuri, Ila ukianza kuitafuta 40kph ndio unaona hiyo shida hasa kama hujaikanyagia sana na hasa maeneo ya vilima, hata kama ni kilima kidogo.

Shida huwa ni spark plugs.

Sasa watu wengi wamepata mkanganyiko sababu baada ya kubadili plug gari inaweza kutulia hata kwa siku moja au mbili halafu ikarudia tena hali ile ile ya mwanzo. Ikijitahidi kukaa muda mrefu ni mwezi mmoja au ukipiga safari ndefu hutatoboa hata 2000km.

Sababu ya shida hiyo kujirudia baada ya kubadili plug huwa ni plug feki na ndio nyingi zilizojaa madukani.

Shida hii imepelekea watu kubadili plug hata mara 8 kwa mwaka na wengine kuyakatia tamaa magari yao au hata kuyauza.

Solutions ni kupata Spark Plug original.

Mambo ya kuzingatia

1. Plug iwe original na compatible na hiyo engine

2. Usiruhusu fundi kusafisha plug zako(wengi mmejitia kiherehere kusafisha plug na mwisho wa siku mmeingia kwenye hiyo shida)

3. Kama unafanya gapping kwenye plug usiguse electrodes zake vinginevyo plug haitofaa tena.

5. Funga plug ambazo ni PFE design(mostly ni double iridium) au PSPE(ruthenium). Ni plug hizi mbili tu ambazo zinaingia kwenye kundi la plugs zenye uwezo mkubwa wa kuunguza mafuta.

Kwa wenye dualis na Xtrail zenye MR20DE kama umekosa plug original karibu ninazo High performance NCE spark plugs ambazo zitasolve tatizo lako kwa 80,000Km zijazo.

Shida hiyo pia ipo kwenye engines kama EJ20 ya turbo na FB20 za subaru unapokuwa speed 60km/h mpaka 80km/h

1NR FE toyota

TSI engines za VW

Na gari nyingine nyingi na sababu ni hizohizo za spark plugs.
Aisee hii shida naipata kwenye Ractis, baada ya kubadili plugs. Wapi nitapata plug original za Ractis NCP100?
 
Back
Top Bottom