Tatizo la Kukojoa Kitandani kwa Watoto - Ushauri, Tiba na Namna ya Kukabiliana Nalo

Tatizo la Kukojoa Kitandani kwa Watoto - Ushauri, Tiba na Namna ya Kukabiliana Nalo

Tafuta ule mpira wa maji mrefu na hakikisha kila siku usiku anapoenda kulala basi unauchukua na kumchomeka nao huyo Kijana katika Lidudu lake kisha ule mpira unaukunjua ili uwe mrefu na unauelekezea nje au bustanini kabisa ili usiku pale anapokuwa anajikojolea ule mkojo usipotee tu bure na badala yake moja kwa moja uende kumwagilia ama Maua ya hapo Kwenu au Shamba. Lichukulieni hilo tatizo lake kama Fursa kuelekea katika Kilimo biashara na hapo hata gharama ya kununua Mbolea ( Samadi ) mtakuwa mmeikoa.
Mkuu Gentamycine, sio busara kutoa jibu la namna hiyo. Hili ni tatizo la kiafya ambalo lipo katika jamii zetu, hatutakiwi kulifanyia mzaha bali ni kulitafutia ufumbuzi.
Huwezi jua leo analo huyu jamaa, huenda kesho likakuanguakia wewe au mtu wako wa karibu na pia utataka ushauri kama huyu ndugu yetu. Ni vizuri ukamshauri japo kumuelekeza njia ilipo hospitali, hapo utakuwa utakuwa umefanya jambo la kiungwana.
ID yako inaonesha wewe ni mtu wa aina fulani ambayo pia ni ya kiheshima, lakini umenivunja moyo kwa ushauri ulioutoa.

Naomba uniwie radhi kama nimekukwaza.
 
Mkuu Gentamycine, sio busara kutoa jibu la namna hiyo. Hili ni tatizo la kiafya ambalo lipo katika jamii zetu, hatutakiwi kulifanyia mzaha bali ni kulitafutia ufumbuzi.
Huwezi jua leo analo huyu jamaa, huenda kesho likakuanguakia wewe au mtu wako wa karibu na pia utataka ushauri kama huyu ndugu yetu. Ni vizuri ukamshauri japo kumuelekeza njia ilipo hospitali, hapo utakuwa utakuwa umefanya jambo la kiungwana.
ID yako inaonesha wewe ni mtu wa aina fulani ambayo pia ni ya kiheshima, lakini umenivunja moyo kwa ushauri ulioutoa.

Naomba uniwie radhi kama nimekukwaza.
Nakuunga mkono mkuu nimeshtushwa na ushauri wa mkuu
 
Tafuta ule mpira wa maji mrefu na hakikisha kila siku usiku anapoenda kulala basi unauchukua na kumchomeka nao huyo Kijana katika Lidudu lake kisha ule mpira unaukunjua ili uwe mrefu na unauelekezea nje au bustanini kabisa ili usiku pale anapokuwa anajikojolea ule mkojo usipotee tu bure na badala yake moja kwa moja uende kumwagilia ama Maua ya hapo Kwenu au Shamba. Lichukulieni hilo tatizo lake kama Fursa kuelekea katika Kilimo biashara na hapo hata gharama ya kununua Mbolea ( Samadi ) mtakuwa mmeikoa.
we jamaa uko serious kabisa?
 
Tafuta ule mpira wa maji mrefu na hakikisha kila siku usiku anapoenda kulala basi unauchukua na kumchomeka nao huyo Kijana katika Lidudu lake kisha ule mpira unaukunjua ili uwe mrefu na unauelekezea nje au bustanini kabisa ili usiku pale anapokuwa anajikojolea ule mkojo usipotee tu bure na badala yake moja kwa moja uende kumwagilia ama Maua ya hapo Kwenu au Shamba. Lichukulieni hilo tatizo lake kama Fursa kuelekea katika Kilimo biashara na hapo hata gharama ya kununua Mbolea ( Samadi ) mtakuwa mmeikoa.
[emoji107]
 
Mkuu Gentamycine, sio busara kutoa jibu la namna hiyo. Hili ni tatizo la kiafya ambalo lipo katika jamii zetu, hatutakiwi kulifanyia mzaha bali ni kulitafutia ufumbuzi.
Huwezi jua leo analo huyu jamaa, huenda kesho likakuanguakia wewe au mtu wako wa karibu na pia utataka ushauri kama huyu ndugu yetu. Ni vizuri ukamshauri japo kumuelekeza njia ilipo hospitali, hapo utakuwa utakuwa umefanya jambo la kiungwana.
ID yako inaonesha wewe ni mtu wa aina fulani ambayo pia ni ya kiheshima, lakini umenivunja moyo kwa ushauri ulioutoa.

Naomba uniwie radhi kama nimekukwaza.
[emoji106]
 
Hilo mbona jambo jepesi cha kufanya kama unaishi nae kila siku kabla ya kulala mwambie aende akakojoe baada ya hapo wewe weka alamu kwenye simu yako kila baada ya masaa matatu nenda kamwamshe aende kukojo usione uvivu ukamwambia yeye ndio ajiwekee alamu watu wa namna hiyo huwa wanakuwa wavivu kuamka wewe jitahidi fanya hilo zoezi baada ya majuma machache atazoea na kuacha kabisa kukojoa kitandani.
 
Tafuta ule mpira wa maji mrefu na hakikisha kila siku usiku anapoenda kulala basi unauchukua na kumchomeka nao huyo Kijana katika Lidudu lake kisha ule mpira unaukunjua ili uwe mrefu na unauelekezea nje au bustanini kabisa ili usiku pale anapokuwa anajikojolea ule mkojo usipotee tu bure na badala yake moja kwa moja uende kumwagilia ama Maua ya hapo Kwenu au Shamba. Lichukulieni hilo tatizo lake kama Fursa kuelekea katika Kilimo biashara na hapo hata gharama ya kununua Mbolea ( Samadi ) mtakuwa mmeikoa.
[emoji115] [emoji115] the jingalest katika ubora wake[emoji16] [emoji16]
Ngoj wajuz waje
 
Mkuu Gentamycine, sio busara kutoa jibu la namna hiyo. Hili ni tatizo la kiafya ambalo lipo katika jamii zetu, hatutakiwi kulifanyia mzaha bali ni kulitafutia ufumbuzi.
Huwezi jua leo analo huyu jamaa, huenda kesho likakuanguakia wewe au mtu wako wa karibu na pia utataka ushauri kama huyu ndugu yetu. Ni vizuri ukamshauri japo kumuelekeza njia ilipo hospitali, hapo utakuwa utakuwa umefanya jambo la kiungwana.
ID yako inaonesha wewe ni mtu wa aina fulani ambayo pia ni ya kiheshima, lakini umenivunja moyo kwa ushauri ulioutoa.

Naomba uniwie radhi kama nimekukwaza.
Mwifwa always Gentamycine anakuwaga na busara sijui imekuwaje hapa.. lakini asanteni kwa wachache wenye kujali
 
Hilo mbona jambo jepesi cha kufanya kama unaishi nae kila siku kabla ya kulala mwambie aende akakojoe baada ya hapo wewe weka alamu kwenye simu yako kila baada ya masaa matatu nenda kamwamshe aende kukojo usione uvivu ukamwambia yeye ndio ajiwekee alamu watu wa namna hiyo huwa wanakuwa wavivu kuamka wewe jitahidi fanya hilo zoezi baada ya majuma machache atazoea na kuacha kabisa kukojoa kitandani.
yaani kuna mahali mtu anaeleza tatizo analia si mchezo ujue ystizo ni too much aliwahi nambia pia yaani anaweza lala hata saa kumi usiku kufika 12 alfajiri anajikuta yupo katika hali hyo ya kukojoa na hajitambuagi kwa maelezo yake
 
sasa pm ya kazi gani wakati hili ni tatizo la watu wengi hapa ila wamekaa kimya
Kwa hiyo unataka ni taje hadharani ili na wewe ukajifanye mganga tapeli huko mtaani umechemka mkuu.
 
Back
Top Bottom