Tatizo la Kukojoa Kitandani kwa Watoto - Ushauri, Tiba na Namna ya Kukabiliana Nalo

Ni kweli hili tatizo watu wengi wanalo. Hata nyumbani kuna binti wa miaka 14 ana tatizo kama hilo. Na linamtesa kwa kweli kwa sababu kila siku inabidi atoe godoro kuanika. Awe wazi ili liwasaidie wengi.
Dawa pekee na sahihi, ambayo kweli inafanyakazi ni kuanza kupunguza maji ,juice na soda anazokunywa hasa ifikapo kuanzia mida ya jioni.
Kwamfano ; mzuie kutumia vimiminika kuanzia SAA kumi jioni mpaka mida ya kwenda kulala asitumie kimiminika chochote....ninauhakika hatokojoa endelea hivo hivo kwamuda was wiki mbili, afu mbadilishie , yaani atumie vimiminika hafi SAA kuminamoja jioni.... Pia hapo hatokojoa endelea na zoezi hivo hivo kwa at least wiki mbili tena. Afu baadae muhamishie SAA kumi na mbili hapa akae kwa muda mrefu kama mwezi na nusu au miezi miwili.

Hii kitu inafabyakazi iwe ni kwa mtoto au mtu mzima. Fanya hivo na nipe mrejesho ndani ya siku mbili au siku moja tu.
 

Haina noma Mkuu na barida.
 
Asante mkuu nitalifanyia kazi
 
Nenda nae mental mkuu mana hilo tatizo lipo kwenye ubongo unakosa mawasiliano na other parts akiwa amelala, atapata antipsychotics zinaweza kumsaidia. Ñna ndg yangu anatumia hizo dawa wanachoma Sindano kichwani Kuna kamshipa fulani sasa inaweza kumsaidia na yy. Huyu ndg yangu ameshaoa sa iv na amepata mtt hakojoi kitandn tena.
 
asante sana sana je wapi twaweza enda hyo mental department tukafanikiwa???
 
BOYA LINAELEA JUU YA MAJI HALINA MWELEKEO WOWOTE.
 
Mmeamkaje ndugu zangu, naomba mrejesho kwa yeyote alietumia mbinu ya kuacha kukojoa kitandani kama nilivyoelezea.
 
chukua yale mawelewele ya mahindi (a.k.a ndevu) then chumsha anywe asubuhi jioni kwa wiki tu atakuwa amepona. usisahau kuleta hela ya bia
hata me naijua hiyo hiyo ila akichemsha asirudie
 
Nenda pharmacy kanunue dawa inaitwa IMIPRAMINE ni vidonge 50-60 kwa tsh.5000/= tu afu awe anatumia vidonge viwili tu kwa siku tena usiku kila anapotaka kulala mungu atamsaidia atapona. Kwani Mimi binafsi mpaka nilipokua na miaka 17 namalza form four nilkua kikojozi kabsa ila nilitibiwa na hii dawa IMIPRAMINE.
 
Sishangai kuona unajibu hivi mkuu, ila kaa ukijua hili ni tatizo kbsa tena ni ugonjwa wa aibu me nmetumia mbinu nyingi Sana hata hii lakini hakunisaidia hata theluthi na ninakumbuka nilikwisha kuwahi kubadili mpaka masaa ya kulala nikawa nalala saa 11 ya alfajiri lakini nikiamka tu kitu imooooooo, ndo nkagundua kua naumwa seriously!!!
 
Habari zenu Wandugu wa JF doctors nina mtoto wangu wa miaka mitatu sasa amekua akisumbuliwa sana na tatizo la kukojoa kitandani, akishalala tu kabla lisaa1 halijaisha inabidi kumuamsha ili akakojoe ukichelewa kidogo tu basi utakuta ashalimwaga.

Hili limekua ni tatizo sugu kwan ata akilala mchana usipomuamsha tu atakojoa apo alipolala kwakweli sijui hali hii inasababishwa na nin kwan nimejaribu kumkataza asinywe maji jioni lakin bado anakojoa.

Nimeona nije kwa Wataalamu hapa nitapata msaada juu ya Tiba sahihi ya kuacha kukojoa
Ahsanteni
 
Tatizo dogo sana hilo, nenda kwenye maduka ya dawa za kisunna utatatuliwa tatizo lako.
 
Asante sn JOVEREST I never thought that u can deliver such a useful materials like these
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…