Wewe acha ujinga, naongelea tokana na uzoefu, nina mtoto wa ndugu yangu ninaishi nae ana miaka 11 bado alikua anajikojolea, nikamuuliza mama yake mtoto wako anashida gani mimi siwezi ishi nae, akasema kuna dawa anampa amekua akijikojolea kwa muda mrefu, nikamwambia haiwezekani akaniambia hata kaka yake alifika miaka 12 anakojoa akawa anatumia dawa, ,
nikasema huu ni upumbavu nikaweka mpango kuna siku nikamtegea amekojoa tu nilimchapa sana, na kumpa mkakati akikojoa utalala chini na usiku weka alarm usituke ukakojoe, navyokuambia sasa ana miezi miwili hajajikojolea,