DIABETES INSIPIDUS:Ni ugonjwa unaosababishwa na muongezeko wa mkojo ulochujuka(lita kadhaa kwa siku) ambao husababisha kupatwa na kiu kilichopindukia.
Ugonjwa huu umegawanyika katika makundi mawili
Nevrogenic diabetes insipidus inatokana na kupungukiwa na antidiuretic hormone(ADH) ambayo huzalishwa/tengenezwa katika ubongo.The main function of the ADH hormone is to maintain the liquid amount in the body by regulating the amount of liquid eliminated from the body.
Ugonjwa huu unaweza kurithiwa.
Nephrogenic diabetes insipidus:Unakuwa na ADH homoni ya kutosha ila mafigo hayareacti ya hio homoni kwahio there wont be regulation of liquid as normal.
Utajuaje kama una ugonjwa huu
Daktari wa mafigo anaweza kufanya vipimo vya mkojo wako ili kuchunguza kama una production ya mkojo ya kawaida.
Dalili za ugonjwa huu:
1.Kuwa na kiu cha kupindukia ambacho kinasababisha ongezeko la kunywa maji/vinywaji ambayo hupelekea kuongezeka kwa hitaji la kupata haja ndogo
Jinsi ya kutibu
1.Kuepuka kunywa maji kabla kulala
2.Kuna dawa inaitwa DESMOPRESSIN ambayo ina hio ADH homoni ili kufidia mapungukio ya hio homoni.
NB:ukishapata mapungufu ya hii ADH homoni utakuwa ni mtegemezi wa dawa maisha.