Tatizo la Kukosa Hedhi (Amenorrhea)

Kama unaweza kunipa namba yake ya simu itakua vizuri zaid ili ajibu maswali ambayo ww hutokua na majibu nayo!
Duh Mkuu, Namba za simu za huyo dada,, za nn sasa wkt bwana ake yupo hapa kupokea Majbu
 
Umesahau upungufu wa damu ( anaemia ), mimba ya bandia ( pseudocyethesis ) kuondolewa kizazi ( total hysterectomy ) , matatizo ya genetic ya chromosomal abnormality kama turne's syndrome, chronic diseases kama HIV nk.
 
Wanawake bana akiwa kwenye siku zake ni shida na asipoziona ni shida pia
 
Kwani mara ya mwisho aliziweka wapi hizo siku zake?
 
mimi imenitokea mwezi wa kwanza huu badala nipate mwanzoni ,nikapata mwishoni.

aisee inaumiza sana maana mwili unakua na manadiliko yakuchosha,bora uwe na mimba basi ujue moja,unajikuta tumbo linajaa,unaumwa umwa,vipresha vya hapa na pale ,mawazo... mimba huna...

ila nashukuru ilitoka kwa kufosi na miti shamba
wambie ajipe moyo itatoka tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…