Hivi hiyo damu huwa unakuwa nyingi,mana nasikia bleed,bleed sielewimimi imenitokea mwezi wa kwanza huu badala nipate mwanzoni ,nikapata mwishoni.
aisee inaumiza sana maana mwili unakua na manadiliko yakuchosha,bora uwe na mimba basi ujue moja,unajikuta tumbo linajaa,unaumwa umwa,vipresha vya hapa na pale ,mawazo... mimba huna...
ila nashukuru ilitoka kwa kufosi na miti shamba
wambie ajipe moyo itatoka tu
Me mwenyewe sijielewi nimeruka sijui kuna nini Leo siku ya 32 .nimemiss siku zangu jamani niombeenimimi imenitokea mwezi wa kwanza huu badala nipate mwanzoni ,nikapata mwishoni.
aisee inaumiza sana maana mwili unakua na manadiliko yakuchosha,bora uwe na mimba basi ujue moja,unajikuta tumbo linajaa,unaumwa umwa,vipresha vya hapa na pale ,mawazo... mimba huna...
ila nashukuru ilitoka kwa kufosi na miti shamba
wambie ajipe moyo itatoka tu
Unaweza uandamane kabisa usipozionaWanawake bana akiwa kwenye siku zake ni shida na asipoziona ni shida pia
mimi mwenyewe sielewi...Hivi hiyo damu huwa unakuwa nyingi,mana nasikia bleed,bleed sielewi
pole sana.Me mwenyewe sijielewi nimeruka sijui kuna nini Leo siku ya 32 .nimemiss siku zangu jamani niombeeni
Yaani nimechoka.matiti yanauma ila sipati ppole sana.
yani ikishapita siku moja tu unakua kama mja mzito huna amani mabadiliko ya mwili yanachosha sana..zikitoka unakua kama umetua mzigo
Yanauma yanavimba kama maputo..Yaani nimechoka.matiti yanauma ila sipati p
Tayari bna imeanza nilishakonda bureYanauma yanavimba kama maputo..
afu unakua na kapresha fulani hivi..
ukipanda mlima unahem balaa..
mimi na choo kinafungaga...
hapa nna mwezi nakunywa miti shamba kutwa mara3... maana hata ikitoka tumbo linauma kama ngiri
Hongera zako...Tayari bna imeanza nilishakonda bure