Mother Confessor
JF-Expert Member
- Jan 7, 2016
- 18,677
- 45,532
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nikiuchukua nauchoma jikoni ni mtamuuu..Nipitishie na mm wa kulalia shogaa😂
huwa najaribu kuwaza haya hili nisile lakini wapiUnakulaje udongo,ujue humo Kuna mavi ya kila wanyama ,mikojo,mizoga ya wadudu wanyama na mimea,minyo ya kila aina,uvindo yani Ni kitu flani kichafu sana
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Weeeeeh,.tatizo hili gonjwaa....ungenielekeza hilo chimbonikiuchukua nauchoma jikoni ni mtamu..
kuna nilichukua kariakoo kila nikaa nauwaza kesho nikanunue
Me too,.maji nayapenda na ndio yananisaidia pamoja na mapapaiMimi napata fresh sana
nakunywa sana maji.
Yote hayo nayafikiria,lakini mwisho wa siku mwenyewe naenda gengeni kununuaUnakulaje udongo,ujue humo Kuna mavi ya kila wanyama ,mikojo,mizoga ya wadudu wanyama na mimea,minyo ya kila aina,uvindo yani Ni kitu flani kichafu sana
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Sokoni wanapouza Nazi na mafuta yake kwa mbele kidogo utauona upo wa kila dizainiWeeeeeh,.tatizo hili gonjwaa....ungenielekeza hilo chimbo
Doh! Ndio maana mtamu sana, wacha nikaufuate now now, udongo mtamu jamaniUnakulaje udongo,ujue humo Kuna mavi ya kila wanyama ,mikojo,mizoga ya wadudu wanyama na mimea,minyo ya kila aina,uvindo yani Ni kitu flani kichafu sana
CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
Mungu atuhurumie kwakweli
Yaani mtamuuu uwwiiDoh! Ndio maana mtamu sana, wacha nikaufuate now now, udongo mtamu jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Ntaenda kwakweli,lohSokoni wanapouza Nazi na mafuta yake kwa mbele kidogo utauona upo wa kila dizaini
Huna tofauti na mla ugoroDoh! Ndio maana mtamu sana, wacha nikaufuate now now, udongo mtamu jamani
Sent using Jamii Forums mobile app
Lol😁😂
Mimi nnao hapa naukula