Tatizo la kula udongo: Fahamu visababishi, madhara yake na mbinu za kuacha

Tatizo la kula udongo: Fahamu visababishi, madhara yake na mbinu za kuacha

😒😒😷

Jamaniii doctors nahitaji msaada seriously,huku kujifungia ndani mpaka covid iishe aki wengine tutakuwa fukufuku....hizi siku za hivi karibuni nimekuwa mlaji wa udongo mpaka sijipendi😔yaani nikitoka ndani ni kwenda kibandani kwa bibi juli kununua udongo na ni mtamm etii,.lol ningekuwa sijaokoka ningesema kaniroga😃sio kwa kunila huku mia mbili zangu hiviii khaaa!!!

Najua kuna minyoo,appendix na mengineyo lakini wala sijali wala nini yaani I don't care kabisaa😢😢naombeni mnisaidie nile nini,au dawa gani nitumie sitaki kuwa fukufuku mimiii😭😭😭niliambiwa nile dagaa nisiwatoe vichwa,wiki hii ndio imekuwa mboga lakini wapiii ndio kwanzaa hamu inataradadii...walaji wa pemba watanielewa ile hamu ya udongo ikikushika unaweza chimba chini kama mwehu au mvua ikinyesha ile harufu ya udongo unatamani ukalale chini uunuse and you feel "woww",..aaaghhg hiI sio nzuri kwa afya asee, .

Help
Help
Help pllllzzzz🙇🙇🙇

NB: siko na pregnancy,.
 
Madini chuma mama!
Kula sana tembele na jamii ya mboga za aina hiyo!

Nje ya mada, huwa nakupigia simu unanikazia, mbona hivyo?
 
Una minyoo mkuu tafuta treatments mimi mwenyewe ni me ila nilipata hali hiyo nikawa nakula hadi ule udongo wq mchwa. Kwenye oembe yetu kidogo nimalize tofali ukutani, minyoo hiyo halafu hayo mambo ya Appendix hamna, Wazazi wa kanda ya ziwa wanakula sana na hawaugui
 
Una minyoo mkuu tafuta treatments mimi mwenyewe ni me ila nilipata hali hiyo nikawa nakula hadi ule udongo wq mchwa. Kwenye oembe yetu kidogo nimalize tofali ukutani, minyoo hiyo halafu hayo mambo ya Appendix hamna, Wazazi wa kanda ya ziwa wanakula sana na hawaugui
Minyoo jomonii 😭
 
Pima damu kwanza ujue madini unayohitaji lakini na corona hii sikushauri kwenda hospitali kama si dharura. Minerals zinapatikana kwenye matunda na salad.
Aina ipi ya matunda, mimi nakula sana sana bananas na mapapai,,salads nakula kwenye chakula tuu mara chache kuila yenyewe
 
Dah! Tujitahidi tu, kuna kipindi mpaka mama alinimind akanambia nikiumwa hiyo appendix nitakaa mwenyewe Hosp. Kidogo nilipunguza ila kuacha kabisa ndiyo nimeshindwa
Yaani hapa hamu ishajaa mdomoni,,.tuwekwe tuu nasisi karantini yetu ya udongo jomonii 😩
 
Back
Top Bottom