ruby garnet
JF-Expert Member
- Apr 10, 2017
- 2,869
- 3,852
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah we mfukua makaburi umetokea wapi aiseeBado unakula udongo?
Nile nini mamii?Kuna madini mwili wako unayakosa ndiyo maana unatamani kula udongo.
Ngoja tutoke karantini dearMadini chuma mama!
Kula sana tembele na jamii ya mboga za aina hiyo!
Nje ya mada, huwa nakupigia simu unanikazia, mbona hivyo?
Minyoo jomonii 😭Una minyoo mkuu tafuta treatments mimi mwenyewe ni me ila nilipata hali hiyo nikawa nakula hadi ule udongo wq mchwa. Kwenye oembe yetu kidogo nimalize tofali ukutani, minyoo hiyo halafu hayo mambo ya Appendix hamna, Wazazi wa kanda ya ziwa wanakula sana na hawaugui
Pima damu kwanza ujue madini unayohitaji lakini na corona hii sikushauri kwenda hospitali kama si dharura. Minerals zinapatikana kwenye matunda na salad.Nile nini mamii?
Nipitishie na mimi wa kulalia shoga😂Mimi ndo naelekea gengeni kufata udongo
LOL,..tule salads na matunda kwa wingi mamiiMimi mchele jamani...yan hata kama nipo kitandani hamu ikija tu nitaufata ulipo nitafune. Sky Eclat
Udongo mie situmii kabisa, ila kile kiharufu cha vumbi/ udongo kwenye mvua huwa nakipenda
Dah! Tujitahidi tu, kuna kipindi mpaka mama alinimind akanambia nikiumwa hiyo appendix nitakaa mwenyewe Hosp. Kidogo nilipunguza ila kuacha kabisa ndiyo nimeshindwa.LOL,..tule salads na matunda kwa wingi mamii
Aina ipi ya matunda, mimi nakula sana sana bananas na mapapai,,salads nakula kwenye chakula tuu mara chache kuila yenyewePima damu kwanza ujue madini unayohitaji lakini na corona hii sikushauri kwenda hospitali kama si dharura. Minerals zinapatikana kwenye matunda na salad.
Yaani hapa hamu ishajaa mdomoni,,.tuwekwe tuu nasisi karantini yetu ya udongo jomonii 😩Dah! Tujitahidi tu, kuna kipindi mpaka mama alinimind akanambia nikiumwa hiyo appendix nitakaa mwenyewe Hosp. Kidogo nilipunguza ila kuacha kabisa ndiyo nimeshindwa
Wataalamu wanashauri kula matunda ya rangi zote. Mfano zabibu nyekundu, ndizi mbivu chungwa na parachichi.Aina ipi ya matunda,,mm nakula sana sana bananas na mapapai,,salads nakula kwenye chakula tuu mara chache kuila yenyeweU