Tatizo la kula udongo: Fahamu visababishi, madhara yake na mbinu za kuacha

Tatizo la kula udongo: Fahamu visababishi, madhara yake na mbinu za kuacha

udongo mwekundu au wa pemba uko 'rich in iron'

na wanawake wengi wanakuwa anaemic sababu ya mzunguko wa kila mwezi au kwa sababu zingine.

Pia kama una ule ugonjwa wa haer..(kuota nyama sehemu za kutolea makapi) pia unasababisha kupungua damu.

Waone wataalamu, labda unaweza kuwa na tatizo la kupungua damu.


Uuuuwi Kongosho ....sina vinyama huko kunako...
 
Last edited by a moderator:
watu8 mimi sili chokaa, chaki, mchele, mkaa, ubuyu kwa saaana kama wale wengine! Afu ulaji wa udongo huo unaowaona huko SCOAN ni tofauti na wangu! Yani sijui nikuelezeje...siubugii kihovyohovyo ...tuseme kama mvuta sigara vile...siuwewesekei...i crave for it!

cha ajabu hapa ofisini kuna wadada kibao wanautumia hizo pemba...ukiend akwa wauzaji wanasema wanunuzi wakubwa ni wanawake? sasa swali langu kwa nini wanawake tuuu ndo wale hizi pemba?!?!?!?

sijui tumepatwa na nini yarabi.....wahanga tupo wengi sana.....cha ajabu.....nimesoma tu huu uzi....hamu imenibana.....jamani.....
 
Last edited by a moderator:
sijui tumepatwa na nini yarabi.....wahanga tupo wengi sana.....cha ajabu.....nimesoma tu huu uzi....hamu imenibana.....jamani.....
Preta ungesema mapema ningekutumia mtu akuletee...ninao hapa......(loh jamanaaani mweeeee)
 
Last edited by a moderator:
Ni vyema ukajiridhisha kama ni afya kwenye mwili wako nawashauri mtafute mawasiliano na mchangiaji aliyepewa dawa hana hamu nao baada ya kukutana na nesi. Naomba atuelimishe aliambiwa una madhara au unatokana na ukosefu wa nini ni salama kwa afya. Nimeuliza wengine wakasema una mapepo kwa kuwa anayekula udongo ni nyoka na nyoka kiimani ni shetani. Uandaaji na usambazi sia afya kumbukeni, "TUNANGAMIA KWA KUKOSA MAARIFA" jamii ni mahali pa kuelimika tuelimishane, tukosoane,tukubaline na mwisho tusamehene
 
Wanajukwaa naombeni msaada wenu nna tatizo la kupenda sana kula udongo. Natamani sana kuacha lakini nimeshindwa kabisa.

Siipendi hii hali kwa sababu nasikia ni hatari kiafya japo sijui ni kwa kiwango gani.

Nakumbuka nilianza tangu nikiwa shule ya msingi hadi leo nimekuwa mtu mzima tatizo liko palepale.

Nisaidieni jamani before It's too late
 
Unayo Iron deficiency,.

Tumia vyakula vyenye kuongeza madini chuma!!
 
Wanajukwaa naombeni msaada wenu nna tatizo la kupenda sana kula udongo. Natamani sana kuacha lakini nimeshindwa kabisa.

Siipendi hii hali kwa sababu nasikia ni hatari kiafya japo sijui ni kwa kiwango gani.

Nakumbuka nilianza tangu nikiwa shule ya msingi hadi leo nimekuwa mtu mzima tatizo liko palepale.

Nisaidieni jamani before It's too late

Kama sio ujauzito basi hua kuna mapungufu ya madini fulani ndio mana nenda hospitali
 
Haya mavitu...wazazi msishangae badae mnawaona watoto wenu wa hovyohovyo sana, ukimuogesha basi dk 2 tu kaenda kugalagala kwenye vumbi na maudongo. Kwakuwa makuzi yake tangu tumboni ni mama kula udongo, mtoto nae anakuwa na hulka za maudongo.
 
Haya mavitu...wazazi msishangae badae mnawaona watoto wenu wa hovyohovyo sana, ukimuogesha basi dk 2 tu kaenda kugalagala kwenye vumbi na maudongo. Kwakuwa makuzi yake tangu tumboni ni mama kula udongo, mtoto nae anakuwa na hulka za maudongo.

Duuuh mkuu unaniogopesha
 
pole sana una upunguvu wa madini....kula sana samaki hasa dagaa tafuna
 
Back
Top Bottom