Tatizo la kupoteza uwezo wa kunusa (Kutosikia harufu): Fahamu chanzo na namna ya kutibu tatizo hili

Duuh!! Inatisha hii.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hili gonjwa lipo na linauwa sana ila kwa baadhi linapita tu
Baadhi ya wenye mgogoro wa afya ndio linapita nao mazima
Kufa ni wajib hakuna namna


Sent from my iPhone using Tapatalk
Kabisa mkuu na wenye maradhi like pressure, sukar na hiv aliwaachi salama kabisa na tena aliwap ata dalili hizo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama ulipiga nyungu then hiyo hali ikaanza jua mixer yako ya nyungu ndio iliyokuponza sababu kuna watu wanachanganya madude kwenye kuandaa nyungu hata Korea kaskazini kwa Kiduku mixer yao ya yale madude irudi laboratory. Mseme yote.
 
Mimi nina takribani siku 6 sasa, sijui harufu ya kitu chochote wala sisikii taste ya chochote.

Siumwi homa, wala mafua.
Hii ilitokea gafla tu baada ya kumeza Alu (mseto).
Kuna wenzangu humu?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hali hiyo isikupe pressure, relax. Mimi pia takriban wiki mbili zilizopita hali hiyo ilinitokea nikashangaa kwa sababu sijawahi kuexperience tatizo hilo nilikuwa sisikii kabisa harufu hata wife akijipulizia perfume sisikii chochote nikila chakula hata kama kimewekewa viungo sisikii harufu wala taste.Nilijaribu kuuliza rafiki zangu baadhi yao wakawa wananitania oooh! ndio symptoms za COVID-19, wala sikupanic nikawa napiga chai ya tangawizi kaliii na malimao kila siku jioni kwa muda wa wiki moja na result ni nzuri sasa hivi nasikia harufu ya kila kitu hata kikiwa umbali fulani, pia harufu ya dona na samaki naisikia vizuri na nnapokula nafeel ile taste.Kwa hiyo mkuu ondoa shaka ni tatizo la muda tu.Kila jioni pata kikombe cha chai ya tangawizi kali mix na malimao utanipa feedback.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi nina takribani siku 6 sasa, sijui harufu ya kitu chochote wala sisikii taste ya chochote.

Siumwi homa, wala mafua.
Hii ilitokea gafla tu baada ya kumeza Alu (mseto).
Kuna wenzangu humu?

Sent using Jamii Forums mobile app


Yani mimi chanzo nilimeza amoxcillin na panadol lkn nilimeza hizi dawa baada ya kuona mwili unaumwa, hasa ktk viungo nikaenda AAR Hospital, wanaona sina ugonjwa wowote, kurudi nyumbani nikawa kuchoka mara kwa mara pua zinakauka lkn sina mafua saiv sina sensing yeyote sasa kuanzia jana na leo ndio angalau at least 45% nina afafhali
 
Pole mkuu.
Piga tangawizi mixer na limao na vitunguu swaumu vibrend na ongeza asali kidogo kwenye huo mchanganyiko kunywa

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Ulienda kupima Covid-19 au malaria, typhoid na UTI kama sisi wengine tuliokumbwa na dalili hizo?


Alexander The Great
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…