Tatizo la kushindwa kuongea(kupoteza kauli)

Wangu Ana miaka mitatu na hajui kuongea zaidi ya kuita babaa na mamaa
 
Sija msikia akijaribu kuongea anatoa sauti Gani na pia sijajua alishachukua vipimo Gani ila kwa MAELEZO Yako inaonesha hana tatizo la koo. Kama tatizo lilianza kwa kuanza kumumunya maneno wakati wa kuongea, kushindwa kuelewa baadhi ya maneno na kulazimika kurudiarudia, na vipi anaandika vizuri au la? Vipi anapata usingizi vizuri ?
Kama katika haya ni ndio Basi bila shaka anatatizo kwenye 'ubongo'. Ziko tiba anaweza kupata. Jitahidi awe analala kwa wakati na taa iwe imezimwa ili kuupa ubongo muda wakupumzika kuweza kujirudisha kwenye Hali YAKE. Jibu maswali hayo tujue tunamsaidia vp Binti huyu
 
Maombi na maombezi yanamuhusu,Mungu hajawahi kushindwa kitu,ila uamuzi ni wako na mtoto ni wako...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…