Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,678
- 1,617
Ni mnene ila nimenenepa sku izi ila nimekuwa mtu normal kabsa ila tangu zamani hii hali ninayo.Umepima sukari? Una unene mkubwa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni mnene ila nimenenepa sku izi ila nimekuwa mtu normal kabsa ila tangu zamani hii hali ninayo.Umepima sukari? Una unene mkubwa?
Huanzia mwili wote japo usoni nakuwa kama nimemwagiwa maji cha ajabu adi watoto wangu wadogo hali iko hivoUngeanza na kutumbia uzito wako, rangi yako, na jasho linaanzia sehemu gani (kwenye makwapa au ata usoni)?
Maana kitaalamu: Kutoka jasho ni njia mojawapo ya mwili kutoa uchafu na kupooza mwili.
Sema kweli mkuu 😁Huanzia mwili wote
Ndyo mkuu ushaur wko mhimu[emoji120]Kapime blood pressure
Amna mkuu ni jasho tena naweza kulowa ukajua nmemwagiwa maji.Jasho jingi linakutoka sehemu gani ya mwili. Usikute maji-maji kule DAWASKKO unadai jasho?
Na huwa linatoka baada ya kufanya shughuli gani? Au wakati wote?Amna mkuu ni jasho tena naweza kulowa ukajua nmemwagiwa maji.
Kutembea,kukimbia,kusekx,kula au kunywa chai au shughuli yoyote mkuu.Cha ajabu wenzang tunaofany nao kazi wanakuwa normal kabsa.Na huwa linatoka baada ya kufanya shughuli gani? Au wakati wote?
sukari husababisha kutokwa na jasho jingi, ikiwa imepungua au kuzidi?Fanya uchecki sukari na kama una unene mkubwa basi punguza mafuta
Unene mkubwa ni upi mkuu? Unapimwaje?Fanya uchecki sukari na kama una unene mkubwa basi punguza mafuta
Duh! Nmetumia deodorants za aina nying sana mkuu tena usiombe upande wa kikwapa nia hatal nguo nkivaa nusu saa haitamaniki kiatu usiseme harufu yake.Nimetumia limao kama njia ya kuzuia ila bado tu mkuu nini nifanye?Hyperhidrosis ni hali ya kutokwa jasho kuliko kawaida.
Unatokwa jasho wapi hasa?
Kama ni kwapani kuna antiperspirant deodorants kwaajili ya kupunguza hali hiyo.
Viganjani na kwenye unyayo wa miguu kuna njia zake pia za kupunguza.
Kama hali itaendelea kuwa vile vile kuna kuchoma botox (hii ni very expensive and sio permanent).
Mwisho kuna surgery. Hii ni very expensive and inaweza zuia jasho kuacha kutoka sehemu moja kabisa na kuhamia sehemu nyingine ya mwili.
Apana mkuu sikusomea uko kabisa.Ulisoma Benjamin Mkapa? Kisha ukasoma TIA mbeya? Pole sana mkuu. Labda weka AC home.
Afu cha ajabu kuna watu wananizidi mwili ila wako normal absa hiyo ndo inanipa hofu sana.Unene mkubwa ni upi mkuu? Unapimwaje?
Na vya kurithi vinazidi,,,,,,,natamani niwaone wanao haswaa muda wa kulaHuanzia mwili wote japo usoni nakuwa kama nimemwagiwa maji cha ajabu adi watoto wangu wadogo hali iko hivo
Kuna watu wakorofi[emoji3][emoji3]Na vya kurithi vinazidi,,,,,,,natamani niwaone wanao haswaa muda wa kula