Tatizo la kutokwa Jasho lisilo la kawaida katika sehemu mbalimbali za mwili (Hyperhydrosis)- Fahamu Chanzo, tiba, ushauri

Tatizo la kutokwa Jasho lisilo la kawaida katika sehemu mbalimbali za mwili (Hyperhydrosis)- Fahamu Chanzo, tiba, ushauri

Fanya mazoezi ya kuruka kamba au kukimbia mpaka utoke jasho.
Nasisitiza tena piga matizi hasa kukimbia au kuruka kamba.
Mkuu mimi nakusisitiza fanya mazoezi tu ili tatizo lako litaisha ndani ya wiki mbili.
Akuna dawa zaidi ya hii bwashee niamini mimi 100% na usiache kabisa kufanya mazoezi unaweza pumzika kwa siku mbili ama tatu lakini katu usiache mazoezi ya kutoka jasho.
Ntakushukuru kama utafanyia kazi ushauri wangu.

Mazoezi yanasaidia ila hayatatui hali ya Hyperhidrosis. Ndivyo mwili wake ulivyo.

"Most people with focal hyperhidrosis are otherwise completely healthy. Studies suggest that they are no more nervous or easily upset than people who sweat normally. At the same time, hyperhidrosis can cause real problems. Most people feel extremely embarrassed by their excess sweating"
 
Pole mkuu ila hapa duniani kila mtu ujue anashida yake kikubwa uhai tu.
 
Fanya mazoezi ya kuruka kamba au kukimbia mpaka utoke jasho.
Nasisitiza tena piga matizi hasa kukimbia au kuruka kamba.
Mkuu mimi nakusisitiza fanya mazoezi tu ili tatizo lako litaisha ndani ya wiki mbili.
Akuna dawa zaidi ya hii bwashee niamini mimi 100% na usiache kabisa kufanya mazoezi unaweza pumzika kwa siku mbili ama tatu lakini katu usiache mazoezi ya kutoka jasho.
Ntakushukuru kama utafanyia kazi ushauri wangu.
Ushaur wako mkuu nauona msosi as you know mtu ukiwa na shda
 
Duh! Nmetumia deodorants za aina nying sana mkuu tena usiombe upande wa kikwapa nia hatal nguo nkivaa nusu saa haitamaniki kiatu usiseme harufu yake.Nimetumia limao kama njia ya kuzuia ila bado tu mkuu nini nifanye?


Mkuu kwanza zingatia sana usafi. Inabidi usafi wako uwe above average. Socks, boxer, leso tumia mara moja tu then zifue.

Pili, tumia maji mengi na fanya mazoezi, hii sio kwamba itafanya uache kutoa jasho bali jasho lako halitakua na harufu kali.

Tatu, kuna underarm pads kwaajili ya kuzui jasho unaweza kutumia hizo ili jasho lisionekane nje ya shati. Nitaweka picha chini.

Kadhalika tumia socks nzito ili viatu visiloe na kutoa harufu.

Mwisho angali hii link hapa chini jinsi ya kutibu hali hiyo kwa njia ya Iontophoresis. Unahitaji 12v battery, aluminum pans na alligator clips (wire). Unaweza fanya hivi every now and then ni nafuu na ina inasaidia kwa hakika. Angalia video chini kwa maelezo zaidi.





Underarm Pad.

t600x362.jpg
 
Mkuu kwanza zingatia sana usafi. Inabidi usafi wako uwe above average. Socks, boxer, leso tumia mara moja tu then zifue.

Pili, tumia maji mengi na fanya mazoezi, hii sio kwamba itafanya uache kutoa jasho bali jasho lako halitakua na harufu kali.

Tatu, kuna underarm pads kwaajili ya kuzui jasho unaweza kutumia hizo ili jasho lisionekane nje ya shati. Nitaweka picha chini.

Kadhalika tumia socks nzito ili viatu visiloe na kutoa harufu.

Mwisho angali hii link hapa chini jinsi ya kutibu hali hiyo kwa njia ya Iontophoresis. Unahitaji 12v battery, aluminum pans na alligator clips (wire). Unaweza fanya hivi every now and then ni nafuu na ina inasaidia kwa hakika. Angalia video chini kwa maelezo zaidi.





Underarm Pad.

View attachment 1752133
Ndyo
 
Na vya kurithi vinazidi,,,,,,,natamani niwaone wanao haswaa muda wa kula
Kama mwangu muda wa kula na kulala kichwani huwa anaoga jasho😀😀😀😀

Alafu ndo kwaanza ana miez 10😀

Hili si balaa😀😀😀😀

Ntamsaidia
 
Shikamoni wakubwa,Wadogo malahaba.

Ndugu zanguni ni mda wa miaka mingi sasa nimekuwa na tatizo la kufumkwa na jasho kwa kiwango kisicho cha kawaida.

Tatizo hili limenianza tangu nikiwa na miaka 17 sasa nina 35,mwanzo watu walikuwa wakinitania eti ni afya bora.

Hali hii imedumu kwa mda mrefu sasa naona imezidi na imeanza kunitisha,kinachonishangaza nikioga kabla ya dakika 10 naanza kutokwa jasho.

Wakati wa kunywa chai au chakula huwa nalowa kabisa hadi watu hunishangaa nkiwa mgahawani au sehemu yoyote nitakapokuwa nakula.

Naweza kutokwa jasho hata wakati wa baridi mbaya zaidi nikikaa karibu na feni jasho hilo hugeuka chumvi nakuanza kuwashwa hususani napofanya kazi ngumu au kutembea umbali mrefu.

Wakuu mpaka naandika uzi huu hali hii imekuwa mbaya tena usiombe nikiwa faragha na..........inakuwa kero hadi najiskia vibaya hata mwenzangu maana kitanda hulowa kwa jasho.Nisaaidieni ndugu zanguni maana ushauri wa kwanza nautegemea jf kabla ya hatua zingine.[emoji120]
Sisi wa hard liquor ni kawaida
 
Fanya mazoezi ya kuruka kamba au kukimbia mpaka utoke jasho.
Nasisitiza tena piga matizi hasa kukimbia au kuruka kamba.
Mkuu mimi nakusisitiza fanya mazoezi tu ili tatizo lako litaisha ndani ya wiki mbili.
Akuna dawa zaidi ya hii bwashee niamini mimi 100% na usiache kabisa kufanya mazoezi unaweza pumzika kwa siku mbili ama tatu lakini katu usiache mazoezi ya kutoka jasho.
Ntakushukuru kama utafanyia kazi ushauri wangu.

Mazoezi ni muhimu sana ,kutokufanya mazoezi ni hatari kiafya.

Jasho ni njia nzuri ya kutoa uchafu mwilini hivyo unapunguzia mzigo figo.
 
Mi sana sana wakati wakula au nikikaa ndani mchana au kwenye gar amabalo halitembei huwa nasweat sana tofauti na wenzangu ...
Imefikia kipindi had chai sinywi kabisa
 
Wakuu salamu sana.
Mimi ni mwanamke wa umri wa miaka 30
Kwanza nina shida ya diabetes kwa zaidi ya miaka 13 sasa.

Lakini miaka miwili iliyopita nilianza kupata tatizo la kutokwa jasho sana muda wowote hali ya hewa ikiwa joto. Nikisema jasho wakuu namaanisha, nalowa nguo chepechepe kama nimemwagiwa maji. Kuanzia shingoni, kifuani, mgongoni, chini ya maziwa ndio utasema kuna vibomba vya jasho,jasho linashuka linalowesha nguo za ndani, taiti, chupi, sketi, kama nimejimwagia maji kiasi nikikaa sehemu naacha pameloa maji kama nimejikojolea. Nikipanda daladala iliyobanana naloanisha wengine kwa jasho langu.

Nimesha ripoti hii shida kwa baadhi ya madaktari, wengi wameishia kusema nivae nguo nyepesi,na wengine wanasema ni mwili wangu haukubaliani na mazingira ya joto, lakini naishi kwenye haya haya mazingira zaidi ya miaka 20 sasa.

Lakini hata kama sijavaa nguo natoka jasho kama nafukizwa na maji ya uvuguvugu. Nakosa kujiamini kwani nakuwa na draw attention ya watu kuniangalia Kila mara kwani nguo zinaloana muda wowote. Na kama niko mbali naloana jasho, nikipigwa na upepo nguo zinakauka inabaki michirizi ya jasho. Nakosa raha sana kiasi kila saa inabidi nijitande mtandio wa kufunika nguo zangu navyoloa jasho.

Naombeni msaada wakuu kama kuna tiba ya hili tatizo, au kama ni hospitali ni specialist wa magonjwa gani anaweza kutibu hii shida yangu. Nakunywa maji mengi, ila nakojoa mara chache sana tena mkojo kidogo wa njano kwa sababu maji mengi yanapotea kwenye kumwagika jasho.

Kwa tatizo la diabetes nachoma sindano za insulin, hii inaweza kuwa sababu ya tatizo?

Naombeni msaada wakuu, kuna muda nashindwa hata kumeet na marafiki kwenye social events.

Natanguliza shukrani.

N:B. Sitoki jasho kwenye nyayo wala viganja vya mikono. Antiperspirant natumia, lakini inasaidia tu kukata jasho lisiwe na harufu, lakini liko pale pale.
 
Kwani kutokwa na jasho ni tatizo? Hivi ninyi mna akili gani, hiyo ni hali nzuri ya mwili kutoa taka mwili, eti mnaona ugonjwa, shida yenu mi kuwa hamnywi maji
 
Kwani kutokwa na jasho ni tatizo? Hivi ninyi mna akili gani, hiyo ni hali nzuri ya mwili kutoa taka mwili, eti mnaona ugonjwa, shida yenu mi kuwa hamnywi maji
Mkuu, ikishakuwa abnormal sio afya tena,ni karaha. Acha watu waombe msaada
 
sinajinasasa hukiwa huna tatizo utasema kama ww tuu hiyo hyperdydrosisi isikie tuu nilishawah kwenda kairuk kwa dktar bingwa akasema hk tz hawatibu inatibika kwa surgery mm ninayo n kero zaidi ya kero 🤮🤮🤮 mm sisikii barid hiyo moja pili nikinywa maji nisipokaa kwenye feni nguo zote zinalowa kama nmeloweka kwenye maji na nikiwa nacheza mpira wa miguu bas jasho utirirka kama unavoona matone ya mvua yanavodondoka piah jasho linajaa kwenye six meno ile ya mpira nakuwa kama nmekanyaga kwenye bwawa la maji mind u nakunywa maji approximately 4 litres per day pasipo feni silali kabisa na hata kuwe na baridi vip sisikii sometimes nikitoka kuoga baada ya kujifuta maji tuu nasweat hapo hapo nikitembea juan ndo kero ............nikiwa sekondary nilipewa siti ya nje ya darasa karibu na dirisha nilikuwa sikai ndan hata kidogo la sivyo ntalowana chapachapa na kiti kitalowana 🤒🤒🤒 chochote kitu cha moto chai ugali mboga sili mpaka vipoe vingnevyo feni iwepo hi isikie tuu hyperhydrosis n zaid ya oversweating
 
Asalaam Aleykum, Wana JamiiForum

Naombeni msaada jamani wa hali hii, kwakweli ninateseka Sana.

Yaani kwapa langu ni rahisi sana kulowa jasho.

Mwenye ushauri wa tiba ya kudumu, aniambie.

Wakuu, Maoni tafadhali,
 
Back
Top Bottom