Tatizo la kutokwa Jasho lisilo la kawaida katika sehemu mbalimbali za mwili (Hyperhydrosis)- Fahamu Chanzo, tiba, ushauri

Tatizo la kutokwa Jasho lisilo la kawaida katika sehemu mbalimbali za mwili (Hyperhydrosis)- Fahamu Chanzo, tiba, ushauri

hivi kutokwa na jasho ni ugonjwa? hii si ni njia mojawapo ya kutoa uchafu mwilini.

Watanzania inabidi tuwahundie tume ya uchunguzi,,,sio lazima utoe excretory wastes na skin kuna urine thru the kidney

Kutokwa jasho si ugonjwa lkn jasho kama linatoka excessivelly huo ni ugonjwa kitaalamu=HYPERHIDROSIS
 
Kwani kutokwa jasho jingi kutokana na jua kali au hali ya joto ni ugonjwa?
 
asiye kubebea mzigo hajui kiasi gani unaelemewa
Utokaji wa jasho mwilini una faida za kuboresha ngozi nakuondoa uchafu mwilini pamoja na kuratibu joto la mwili. Mnyama kama mbwaanategemea Zaidi ulimi wake manake hana sweatglands. Kama ambavyo mkojounapokuwa wa njano sana inaashiria upungufu wa maji na hata uti, miili yetuinatabia ya kutupa taarifa muhimu lakini tunaweza ku-respond ndivyo sivyo.

Kuzuia utokaji wa jasho mwilini kwa kemikalini kuhatarisha afya yako na ngozi yako. Mazoezi (especially jogging) huondoamafuta mwilini ndio njia bora ya kupunguza utokaji wa jasho mara nyingi ikiwemokupunguza unywaji wa bia na supu ikiwemo kula kupita kiasi.

Kujikinga ni pamoja na kuvaa vest kablahujavaa nguo kwa nje.kutumia kemikali ni sawa na kujichubua unajihatarisha nacancer za ngozi na complication zingine kama gharama n.k.tiba mbadala kuondoanana tatizo ni njia bora zaidi ya kufuata.tuache kuwaathiriwa na u-consumerism
 
whats your opinion in regard to this...mbona ugonjwa una maelezo
mazoezi zaidi kukata mafuta mwilini na ulaji wa mpangilio(dieting). ikiwemo uvaaji wa vesti especially aina ya chase Deer ni nzuri zaidi kabla kuvaa nguo nyingine kama shati ama tshirt.tujue jasho kutoka ni kiashiria kwa miili yetu kuwa imetosheka na kilichomo hivyo inasafisha mwili.
 
mazoezi zaidi kukata mafuta mwilini na ulaji wa mpangilio(dieting). ikiwemo uvaaji wa vesti especially aina ya chase Deer ni nzuri zaidi kabla kuvaa nguo nyingine kama shati ama tshirt.tujue jasho kutoka ni kiashiria kwa miili yetu kuwa imetosheka na kilichomo hivyo inasafisha mwili.

whose biology theory/hypothesis?

Hii ni sayansi ilioenda shule ndo maana nimetoa link usome uelewe
 
Wale mnao taka mzigo weka Order mzigo kufika Tanzania ni 10days + 2days DHL clearance

FICHA MARADHI KIFO UMUUMUA
 
Madoctor wa jf....naombeni mnielimishe...hua natoka jasho kwenye paji la uso kwa wingi sana....sielewi ni kwa sababu gani.

Naweza nikawa nipo kwenye AC....nikinywa chai tu....linatoka kwenye paji la uso. Nikitembea ndio kabisaa....majasho sana.

Kwenye mechi kitandani ndio kabisa....yani kama nanyeshewa mvua. Hii ni nn madoctor?..nifanyeje??
 
Hatari sana. Kutoka jasho ni dalili za ukimwi?..hatari sana aisee
 
Mkuu wasitishe kutokwa jasho si dalili ya ukimwi ila huenda una matatizo ya moyo au sukari jaribu kufanya medical check up.
 
There are natural variations in how people sweat, just as there are variations in other bodily functions,

Excessive sweating / ,hyperhidrosis can be a warning sign of thyroid problems, diabetes or infection. Excessive sweating is also more common in people who are overweight or out of shape.
 
Tatizo la kutoa jasho mikononi zaidi kuliko kichwani husababishwa na nini?? Na tiba yake ni nini
 
Back
Top Bottom