Tatizo la kutotoa shahawa au kutoka kidogo

Tatizo la kutotoa shahawa au kutoka kidogo

Lambo jini

Senior Member
Joined
Aug 28, 2018
Posts
198
Reaction score
235
Kwema wakuu
nasumbuliwa na tatizo la kutoa shahawa kidogo au kutotoka kabisa pindi ninapojamiiana, hali hii imeambatana na maumivu ya korodani

Je, ni ipi tiba?

Shukrani.
 
kwema wakuu
nasumbuliwa na tatizo la kutoa shahawa kidogo au kutotoka kabisa pindi ninapojamiiana. hali hii imeambatana na maumivu ya korodani

je ni ipi tiba!?

shukran
Pole
 
kwema wakuu
nasumbuliwa

Unafanya Sana ngono au pia una wanawake wangapi, pia unapiga puchu?

Una umri gani 20-30 au kuendelea?

Unakula vyakula gani?[emoji15][emoji15][emoji15] Chips mayai [emoji848][emoji848][emoji848]

Usisite kufollow nofap.com
 
kwema wakuu
nasumbuliwa na tatizo la kutoa shahawa kidogo au kutotoka kabisa pindi ninapojamiiana. hali hii imeambatana na maumivu ya korodani

je ni ipi tiba!?

shukran
Mzizi mkavu hajaona Uzi wako , akiuona tu atasema " pole Sana kwa yanayokusibu, nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia maradhi yako upate kupona" [emoji4][emoji4]

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
 
Kwema wakuu
nasumbuliwa na tatizo la kutoa shahawa kidogo au kutotoka kabisa pindi ninapojamiiana, hali hii imeambatana na maumivu ya korodani

Je, ni ipi tiba?

Shukrani.
Ushauri wangu ungelikwenda kwanza hospitali kupima na kujuwa unayo maradhi gani? kuliko kuja hapa kutaka ushauri . Nenda Hospitali ukapime kisha uje hapa utupe mrejesho wako daktari amekwambiaje? ili tupate kukutibia maradhi yako.
 
Mzizi mkavu hajaona Uzi wako , akiuona tu atasema " pole Sana kwa yanayokusibu, nitafute kwa wakati wako nipate kukutibia maradhi yako upate kupona" [emoji4][emoji4]

Sent from my Infinix X655C using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kula korosho kwa wingiii. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Sasa km hutoi shahawa, huwa unakojoa hewa? Au upepooo??

Khaaaaaaaah
 
Kwema wakuu
nasumbuliwa na tatizo la kutoa shahawa kidogo au kutotoka kabisa pindi ninapojamiiana, hali hii imeambatana na maumivu ya korodani

Je, ni ipi tiba?

Shukrani.
Wahi hospital
 
Nenda hospitali kwanza, jitahidi walau glasi tatu za maziwa mtindi huku ukitafuna na korosho, na angalia sana kama unapiga punyeto achana nayo, mengine kajisomee google mambo ya sperm count
 
Back
Top Bottom