Tatizo la kuwahi kufika kileleni kwa wanaume: Fahamu chanzo chake na namna ya kutibu tatizo hili

Mkuu unaweza ukashare tatizo lako, lilianzaje, kipi unahisi ndo kisababishi, hatua gani za kimatibabu umefanya mpaka sasa.... Wapo wadau hapa watafunguka na huenda ukapata mwarobaini wa tatizo lako.

Tatizo lilianza pale tu nilipanza kujaribu tendo kwa mara ya kwanza nilikua early 20's
sasa ni mwaka wa kumi na mbili
nimetumia dawa tofauti za kienyeji bila ya mafanikio.
nimetumia viagra na vumbi la congo bila ya mafanikio
nimekula njugu mbichi zinaweza karibia gunia bila ya mafanikio.
nimekula vunga wa gensen na vidonge vyake bila ya mafanikio

nawahi kukojoa ndani ya 10-15 seconds, uume upo legele, nkishakojoa hiyo mara moja ndio habari imekwisha. (zamani nilikua naweza kurudui cha pili baada ya muda ila ni chakuwahi vile ile ila kwa sasa baada ya kimoja ndio basi kabisa)
mkojo mwepesi na kidogo
na lamwisho ambalo limeanza hivi karibuni hata usimamaji umeanza kuwa washida sana.
 
Pole sana mkuu.... Hili tatizo lako linaelekea kwenye Erectile Dysfunction (ED). Hapo ningekushauri uonane na daktari wa masuala ya uzazi.

Pia mbadala wa Viagra katafute Tadalafil.... Kwa tatzo lako ukikutana na mtaalam wa hayo mambo ata prescribe dose ya chini kabisa ya 2.5mg, hii ni dose ya kumeza kila siku kidonge kimoja na baada ya kuitumia kwa week mbili mfululizo utaanza ona mabadiliko.
 

mkuu spitali gani naweza kwenda kwa hapa dar?
 
Poa lete mpya?
Nina shida mkuu ninawahi kufka kileleni nimejichua sana kipindi cha nyuma nna miaka 27 sshv aseeh hali hii imeanza kunitokea hv karbuni tu sjui nifanye nn tu hata mpenzi wangu kuna wakati nashindwa kumpa raha km hapo awali najuta sana kujichua na nina miezi mi3 tu tangu nmeacha na hali ndipo imeanza kunitokea ,msaada wako mkuu vp naweza nkapata tiba ili niweze kurejesha hali yangu ya zamani !? Yn naishia bao mbili tu sshv na ninawahi kufka hadi najishangaa.
 

Punyeto ina madhara makubwa :
1. Psychology affects
2. Blockage

Psychology:
Huu ni mfumo wa utambuzi unaodhibitiwa na Mind / Spirit / Akili / roho
Mind huamua kitendo , na kitendo huamua matokeo
Kwa hiyo ukizoea Punyeto , moja kwa moja mindset yako itabadilika na hutojiamini pale unapokutana na msichana , kutokana na Mindset yako iko tofauti na huwezi firahia tendo

2. Blockage :
Virgina na Mikono ni vitu viwili tofauti sana
Virgina ni laini lakini mikono ni migumu, hivyo unapojichua uume unaenda haribu mishipa yako ya damu pamoja na sensitive nerves , zinazopeleka taarifa kwenye ubongo kwa ajili ya kuruhusu kitendo kufanyika , uume unakuwa mlegevu ,na kupoteza confidence

Ukitengeneza blockage , blood flow au blood circulation inakuwa kidogo , so hapo vitu vingi hupungua kama virutubisho na hewa safi , so hiyo sehemu inakuwa hali mbaya

Katika Natural Health knowledge:
Sex inakuwa controlled na mfumo wa Figo , ambapo mfumo wa Figo una control your brain and memory
Mfumo wa Figo una control Mkojo pamoja na haja kubwa na mambo mengine kama Mifupa , Uti wa mgongo , n.k

Kwa namna hiyo ukiharibu matumizi husika aliyoweka Mungu ,moja kwa moja unakuwa affected Kisaikolojia na ikiwa hivyo , mfumo wako wa Figo energy zake zinakosa uwiano kupelekea tatizo kama hilo naturally!

Katika kampuni yetu , Xianhe International kutoka US , matibabu hayo yapo lakini kutibu hiyo lazima tukufanyie diagnosis ili kujua health situation kwa ujumla wake , na athari ikoje currently, ili kutoa Correct Plan !
[emoji120][emoji120]
 
Hopeless kabisa!
 
wasipende kuangalia vid za ngo...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…