hello, za jumapili na za ibaada kwa ujumla.
naombe nieleze kwa kifupi dawa iliyonisaidiakupona fagasi baada ya kuteseka nazo kwa zaidi ya miezi sita na kutumia dawa nyingi bila mafanikio...
pamoja na kwamba dawa hii inatibu mmba na fagasi zote ila mimi nijikite kwenye sehemu za siri za mwanaume kwa maana ya makorodani na maumbile yake...
habari nzuri ni kwamba dawa hii inagharim haizidi 1500tsh ya kitanzania,
iko hivi, lotion ya vestline alovera 70g ambayo inauzwa sh. 500, sijajua eneo ulilopo.. halafu chukua dawa ya septline vidonge viwili vipondeponde au visage halafu changanya unga wa hiyo dawa kwenye lotion koroga hadi ujilidhishe kuwa imechanganyikana vizuri, halafu...hapo dawa yako tayari imekamilika unaweza kuwa unapaka mara mbili kwa siku yaani asubuhi na jioni, na utapata matokeo
nb, pia unaweza tumia mafuta ya mawese ukawa unapaka sehemu iliyoathirika nayo pia utapata matokeo..
kwa mimi nilitumia vyoyte viwili yaani mafuta ya mawese na huo mchanganyiko wa lotion, ingawa mawese na lotion sikuchanganya nilikuwa napaka tofauti kwa mda mmoja.....