Pain killer
JF-Expert Member
- Aug 15, 2017
- 14,361
- 21,680
Wakuu
Habari zenu ,nilikuwa naomba kujua mwenye kujua dawa ya fangus, huku chini, kwenye korodani aisee kuna washa sana, hadi kuna unga unatoka kabisa, nilikuwa nasikia watu wanaita korodani erosion sasa naona hali si hali.
Mwenye kujua dawa nzuri kabisa ya kutumia iwe kupaka au ya kunywa, naomba kujua.
Uzi tayari
Habari zenu ,nilikuwa naomba kujua mwenye kujua dawa ya fangus, huku chini, kwenye korodani aisee kuna washa sana, hadi kuna unga unatoka kabisa, nilikuwa nasikia watu wanaita korodani erosion sasa naona hali si hali.
Mwenye kujua dawa nzuri kabisa ya kutumia iwe kupaka au ya kunywa, naomba kujua.
Uzi tayari