Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

Jamani naomba nitoe tahadhari na hii dawa. Kitunguu saumu ni dawa sana ya Kushusha presha. Unaweza kushusha presha kwa kutumia punje za kitunguu saumu. Na kama presha yako iko chini halafu ukala kitunguu saumu kibichi ujue utaishusha zaidi. Hii ilimtokea mama yangu. Alishauriwa anywe maji yaliyolala na punje 8. Yeye akaponda ili ifanye kazi haraka. Du! Tusingepata akili ya kumpa kahawa ingekua hatari maana presha ilishuka sana. Kwa hiyo nashauri mtu kabla hajatumia, acheki kwanza presha yake.
 
Jamani naomba nitoe tahadhari na hii dawa. Kitunguu saumu ni dawa sana ya Kushusha presha. Unaweza kushusha presha kwa kutumia punje za kitunguu saumu. Na kama presha yako iko chini halafu ukala kitunguu saumu kibichi ujue utaishusha zaidi. Hii ilimtokea mama yangu. Alishauriwa anywe maji yaliyolala na punje 8. Yeye akaponda ili ifanye kazi haraka. Du! Tusingepata akili ya kumpa kahawa ingekua hatari maana presha ilishuka sana. Kwa hiyo nashauri mtu kabla hajatumia, acheki kwanza presha yake.

Kwa wenye presha ya kushuka,andaeni kahawa.Zingatia aliyosema mkuu hapo juu.
 
Vp kuhusu dawa ya fasta ya kuondoa mafuta na kolestrol mwilini?.
 
Kweli mkuu.Kuna ndugu yangu alikuwa analalamika hanenepi,kumbe amejawa na minyoo chungu nzima!Alipokunywa hiyo dawa,baada ya wiki 1 kaanza toka shavu!

Hahaha alikuwa ananyonywa chakula anacho kula na hiyo minyoo
 
Iliyo floti au fleti?,siku hizi zile hamna.nakumbuka zamani enzi ya stoo,ndio zilikuwa nyingi.
 
inamaana baosita ukisaga kitunguu kimoja ni sawa na kijiko kimoja cha chai au kitazidi maana hayo mahesabu yanaendaje maana sijaelewa hapo..
Kijiko cha chai ni upimie maji ya vuguvugu ya kuchanganya na vitunguu ili kuvilainisha.
Kitunguu kimoja ukukisaga utapata kijiko kikubwa 1 ama zaidi.
 
Mara 1 tu unapona.Ni dawa kali sana!Labda uwe unakunywa tena ukipenda kila mwezi kama kweli unahasira na magonjwa yako.


hahaaa asante kweli nina hasira hahaa
umesema kwa mtu mwenye low presha sio nzuri,,,,,vipi kuhusu ulcers?? kwa watoto je?
 
Ndo nimepiga hiyo kitu saa hii, duh! si kazi ndogo kihivyo saa hizi nasikilizia matokeo.
Hii kitu shughuli yake si ya kitoto mkuu,umeona!Ukipona usisite kuja kutoa ushuhuda hapa ili wasioamini,wapate kuamini.
 
hahaaa asante kweli nina hasira hahaa
umesema kwa mtu mwenye low presha sio nzuri,,,,,vipi kuhusu ulcers?? kwa watoto je?
Kwa watoto wadogo inabidi uwape kiasi kidogo sana kama kipimo cha kijiko cha chai.Ni nzuri pia kwa wenye ulcers ila sijathibitisha kiundani kwani ni jamaa yangu mmoja tu alinishukuru kwa kusema ulcers yake imeanza kupoa.
 
Jamani naomba nitoe tahadhari na hii dawa. Kitunguu saumu ni dawa sana ya Kushusha presha. Unaweza kushusha presha kwa kutumia punje za kitunguu saumu. Na kama presha yako iko chini halafu ukala kitunguu saumu kibichi ujue utaishusha zaidi. Hii ilimtokea mama yangu. Alishauriwa anywe maji yaliyolala na punje 8. Yeye akaponda ili ifanye kazi haraka. Du! Tusingepata akili ya kumpa kahawa ingekua hatari maana presha ilishuka sana. Kwa hiyo nashauri mtu kabla hajatumia, acheki kwanza presha yake.

Ukweli ni kuwa aliyetoa wazo la dawa hii ametoa tahadhari kwa wale wenye presha ya kushuka. Ameshauri awe na kahawa ili kusaidia kuipandisha pale hali hiyo itakapotokea. Tutarajie feedback kutoka kwa wale watakaotumia japo hatujajua inaponyesha baada ya muda gani.
 
Kwa watoto wadogo inabidi uwape kiasi kidogo sana kama kipimo cha kijiko cha chai.Ni nzuri pia kwa wenye ulcers ila sijathibitisha kiundani kwani ni jamaa yangu mmoja tu alinishukuru kwa kusema ulcers yake imeanza kupoa.

asante sana mkuu BAOSITA , nitakupa majibu
 
Mr.SIX GOALS THANX A LOT, STAY BLESSED!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!:A S angry:
 
nimekunywa mchana ngoja na me nijickilizie , ila nilishushia maji mengi na limao maana nilianza kujickia kutapika tapika ile issue cio ya kitoto aisee, Mungu atusaidie tupone, me nna fungus sugu yaan hadi nakosaga amani
 
Back
Top Bottom