Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

nimekunywa mchana ngoja na me nijickilizie , ila nilishushia maji mengi na limao maana nilianza kujickia kutapika tapika ile issue cio ya kitoto aisee, Mungu atusaidie tupone, me nna fungus sugu yaan hadi nakosaga amani
Pole mkuu,kichefuchefu kusikia ni lazima ukitumia hiyo dawa.Nakuhakikishia haupo peke yako kwenye hilo tatizo sugu,UTAPONA!!
 
Nyongeza ya tahadhari ni kwamba ukitumia kitunguu saumu kina "thinning" effect kwenye damu na ndio maana pressure inashuka, lakini chonde chonde usijikate maana damu itakuwa haiclot. Kama utafanyiwa upasuaji hivi karibuni usitumie sana kitunguu saumu.
 
Hongera mkuu.@BAOSITA kwa Tiba mbadala sasa mimi ninauliza kwa faida ya Watu wengine Je unatakiwa Utumie hii dawa kwa muda wa siku ngapi? au ndio hiyo hiyo siku moja tu? inatosha mkuu?
 
Mkuu SixGoals, vipi kwa mjamzito haina tatizo?
 
Je mtu mwenye vidonda vya tumbo anaweza kutumia hiyo dawa?
 
Tuache kudanganya watu. Fungus haziwezi kuponyeshwa na kitunguu swaumu na kwa kutumia dose ya kitunguu kimoja tu.
 

Kaka usidanganye wadanganyika. Unajua kuhusu fungus na minyoo wewe? Dawa zako zina mechanism gani hadi zika cover aina zote za minyoo na fungus?
Umefanya tafiti gani hadi useme kiboko? Udaktari au tiba si rahisi hivyo mpaka utoe vitunguu kutibu magonjwa. Labda ukiwa Ndodi.
 
Kama anadanganya watu maana yake unaujuwa ukweli, je ukweli ni upi? ustaarabu siku zote unapompinga mtu onesha kwamba kitu sahihi ni hiki.
 
Mkuu hujasumbuliwa na fungus wewe,naona tu jinsi unavyoongea.Kama huwezi ku-prove haifanyi kazi,bora kukaa kimya tu.
 
Hahahahaaa Mudy bhana, usione watu wacheka kaka, hali si nzuri kaka!!!! Ukipata nyingine iweke hapa jamvini uone watu watakavyoichangamkia...LOL HONGEA MGHOSHI
Kwa mtu anayesumbuliwa na fungus sugu ndiyo anayejua adha ya huu ugonjwa.Fungus huwa wanasababisha harufu mbaya sana mwilini,tena usiombe uwe nazo za sehemu nyeti!Utataka kujaribu kila dawa.Sasa kama kuna mtu ameshajaribu hii dawa niliyoelekeza na hajaona matokeo yeyote mazuri aje kusema hapa ili kila mtu ajue kwamba sio dawa nzuri.
 
jamani wana jamii naombeni msaada wenu jamani. Naombeni mjisaidie kama kuna madhara yoyote yanayotokana na fangasi kwenye sehemu za siri za mwanamke. Fangasi ya muda mrefu lakini tayari imeshatibiwa. Msaada tafadhali wadau. Natanguliza shukrani zangu za
dhati

 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…