Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

Baosita, mimi nilikunywa dawa siku ya kwanza na ya pili. Najisikia nafuu sana. Lakini kuna tatizo lmetokea nilitaka kujua kama ni hali ya kawaida. Baada ya kutumia dawa kwenye njia ya haja kubwa kuna maumivu fulani kama vile aidha nimekula pilipili nyingi au nimepaka pilipili. Ajabu ni kwamba nikienda haja siumii sana na napata haja kama kawaida. Hiyo hali bado naisikia mpaka sasa ikiwa ni siku ya pili tangu ninywe hiyo dawa. Je, hiyo ni hali ya kawaida?
 


mkuu hiyo ni hali ya kawaida kabisa ni sawa na mtu aliyekula pilipili hata cku nne unaweza kuiona hiyo hali lakini usijali, itaisha hata mimi nilipotumia hii dawa ilikua hivyo hivyo lakini iliisha.
 
Aisee mi nlimtengenezea juisi ya garlic mixed with tangawizi aliharisha almost wiki mpaka nlimhurumia.

 
Kuna mtu aliniambia ya Ukwaju,niweke ku glass halafu niipige mara moja kama Tequilla!
 
Dr Baosita, nami nimekunywa hii dawa yako na side effects ni kama za ankal Gosbertgoodluck
 
Nimerumia vitunguu swaumu leo, sasa niko kwenye kusubiria matokeo. Lol
 
Nimerumia vitunguu swaumu leo, sasa niko kwenye kusubiria matokeo. Lol
Hakika utapona mimi nina wiki tu nimeshapona kwa asilimia 70% hata nataka nipige tena yani kwa hasira maana nimetumia madawa kibao na hayakunisaidia alafu nakuja kupona kwa sh 0? hebu fikiria!!!! Shukrani nyingi kwa Dr BAOSITA
 
Last edited by a moderator:
Mkuu, kuna madhara yoyote ya kuirudia dawa hii baada ya wiki moja hivi?
 
Mkuu baosita, nimekunywa sijaona changes saana maana nina fungus naona kuwasha kumepungua but bado ngozi inapauka.....je niendelee kunywa kila siku au kwa siku ngapi?
Au nisage vitunguu swaumu viwili?
Thanks
 
Habar ndugu zangu, nmerudi tena kwa mara nyngne tatzo langu lmegoma kuisha, nina fangas kwenye ngozi inayozunguka sehem za pumbu, hu ni mwaka wa tatu, nmetumia dawa nyng sana za kupaka na vidonge, na tatizo linazidi kuwa sugu, nisaidieni nifanyaje ndugu zangu, had muhmbli nilienda dokta akaniambia sio fangas n vipele lakin dawa alizonipa hazikunisaidia kabsa.
 
Kama sehemu hizo zinakuwa nyevu nyevu (damp) muda wote huenda ni eczema/dermatitis. Nakushauri pamoja na hizo dawa za kupaka (antifungal na/au antibacteria ) utumie vidonge vya vitamin B denk , kidonge kimoja kila siku kwa siku 30 .
 
Dawa ambayo nmekuwa naitumia inanisaidia kidgo n dexaquin ila inafanya ngozi inakuwa nyeupe sana had mishpa inaonekana.
 
Mkuu.@Bray Pole sana kwa hayo matatizo yako mimi ninakupa dawa ya Kienyeji ya tiba Mbadala huenda ikakusaidia fanya hivi: Nunua kitunguu swaumu. Menya chote kama vile uandaavyo kwa ajili ya kupikia.Twanga ama saga,vikishasagika changanya na maji ya uvuguvugu kidogo kipimo cha kijiko cha chai ili vilainike.Chota msagiko wote wa vitunguu na uvimeze.
Tahadhari,jitahidi uwe na mfuko ama sehemu ya maliwatoni maana kama hauna tumbo zuri unaweza tapika.(Mara chache sana hutokea kutapika)

Ukishakaa kama dk 15 hali yako itarudi kawaida.Baada ya SIKU 1,utaona minyoo hakuna tena na fungus wote wamekauka!Kwisha kabisa!!!! Tumia kama Siku 3 Mfululizo ikiwa bado hujapona ongeza tena Siku 3 zingine haitafika Siku 7 utakuwa umekwisha pona jaribu kisha uje hapa utpe Feedback.
 
Mkuu hii dozi ya vitunguu swaumu ni ya fungus za ubayani tu au hadi miguuni na vidoleni?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Mkuu hii dozi ya vitunguu swaumu ni ya fungus za ubayani tu au hadi miguuni na vidoleni?

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
Mkuu hekimatele Hii Dozi ya Vitunguu saumu ni Fungus za sehemu zote za mwili iwe miguuni mikononi au hata Sehemu za siri inatibu ili mradi iwe ni fungus na maradhi ya Minyoo pia inatibu tumia kisha uje hapa utoe Majibu yako umepona au bado? Give me feedback.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…