Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

Habari JF DOCTORS,

Nisaidieni kwa mda sasa nimekuwa nikisumbuliwa na ugonjwa wa fangasi ya makende kiasi kwamba yakianza kuwasha ni shidaa yanawaka ka moto vile.

Nshajaribu sabuni za rungu, protector, na detal ya maji lakn sijapona.

Jamani, msaada kwa anayejua dawa ya hili tatizo manake linanikosesha raha kwakweli.
 
Try gentriderm cream ...paka usiku na asubuhi baada kuoga...inauzwa 3000 famas... but mie sio doctor...
 
Tumia Quandriderm cream, ina combination ya dawa aina 4., ila chunguza chanzo cha hao fungus. Tuliosoma Pugu enzi hizo tunaelewa vizuri what it mean by fungal itching.
 
Tumia Quandriderm cream, ina combination ya dawa aina 4., ila chunguza chanzo cha hao fungus. Tuliosoma Pugu enzi hizo tunaelewa vizuri what it mean by fungal itching.

Nahisi ni joto lilizidi manake hali hii ilinipata miez miwili nyuma nlipotembelea dar kwa mda, tatizo likaanzia hko
 
Hakikisha unavaa chupi za cotton, safi na zinaanikwa juani. Utomvu wa aloe vera unaponyesha haraka sana. Otherwise nenda hospitali, kuna dawa ambazo sio nzuri kutumia maeneo hayo (zina steroids)
 
weka /paka limau kila baada ya kuoga,pia hakikisha unajikausha vizuri kila baada ya kuoga uwe mkavu!
 
Kaka huo ugonjwa ni mbaya sana na hapo Kama una demu utamuambukiza na ni mbaya sana akipata mwanamke.dawa ya kwanza nunua dezor shampoo paka kwa siku 3,alafu anza dozi ya diflu gram 150 na microdox doxycycline nunua amol-G ya kupaka.angalizo chupi badilisha kila siku na ukiweza pasi kabla hujavaa taulo jitaid uwe Nazo hata 3.
 

Nashukuru tena swala la pasi muhimu
 
mimi mwenyew ni victim wa hao fungus kama miaka miwili nyuma, ila nilipona baada kutumia antibiotics jina inaitwa Griseofulvin unatumia kidonge kimoja kwa siku, dozi ni 30 pills, unatakiwa kuwa mvumilivu kidogo coz inalegeza na inaleta njaa sana. Tembelea pharmacy iliokaribu nawe, if symptoms persist see the doctor.
 

Mwachieni huyu Anheuser pumzi zake za uzima ndizo zinazo mdanganya uzima wake ndio unaomfanya awe jeuri atavuna kile alicho kipanda .

Inaonekana hujawahi kuugua kisawasawa au hujauguliwa kisawasawa. Hongera sana.
Tunamngojea huyu mkuu Anheuser aje siku moja akiumwa dawa za hospitali zimeshindikana aje kuomba ushauri wetu tutampa ushauri wetu wa Negative badala ya Positive tunakusubiri kwa hamu wewe lete jeuri yako kwa watu wanaotumia dawa za asili Tiba mbadala utakuja kututafuta siku moja.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu mwenye fungus wa hayo maeneo ni wewe au? Natanguliza pole
 
Ahsanteni kwa elimu

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Watanzania fungus za sehem za Siri si rahisi kuzitibu kwa kupaka ant fungal lazima umeze dawa tafadhali Kama unataka kupona nunua dawa hizi doxicisiline pamoja na fluconazole ya gram 150 zote ziko kwenye blista utapona kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…