kioju
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 804
- 271
Habari JF DOCTORS,
Nisaidieni kwa mda sasa nimekuwa nikisumbuliwa na ugonjwa wa fangasi ya makende kiasi kwamba yakianza kuwasha ni shidaa yanawaka ka moto vile.
Nshajaribu sabuni za rungu, protector, na detal ya maji lakn sijapona.
Jamani, msaada kwa anayejua dawa ya hili tatizo manake linanikosesha raha kwakweli.
Nisaidieni kwa mda sasa nimekuwa nikisumbuliwa na ugonjwa wa fangasi ya makende kiasi kwamba yakianza kuwasha ni shidaa yanawaka ka moto vile.
Nshajaribu sabuni za rungu, protector, na detal ya maji lakn sijapona.
Jamani, msaada kwa anayejua dawa ya hili tatizo manake linanikosesha raha kwakweli.
