Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake


Asante kk.
Hawa fangas wapo nje
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Bill hiyo FUNGIFENG inapatikana wapi na ikoje mkuu??? Msaada tafadhali
 
Last edited by a moderator:
Mkuu Bill hiyo FUNGIFENG inapatikana wapi na ikoje mkuu??? Msaada tafadhali

GlorytoGod FUNGIFEN ina cover la blue na maandishi ya njano kama sikosei. Inauzwa kati ya shs 1,500 hadi 2,000. Tube yake pia ni ya blue na maandishi ya njano au meupe hivi.

Nenda famas yoyote uulize watakupatia.
 
Last edited by a moderator:
Jamani msaada mimi nasumbuliwa na punye kwnye mkono yaani linaweka shilingi natumia dawa ya kupaka linaisha then linarudi.
Naomba msaada wenu pls
 
usafi ni muhimu sana. hasa kunawishi mwili wako kwa maji safi na medicated soap. nguo pia zifuliwe zingae na zianikwe juani pia kama inawezekana piga pasi na usivae nguo moja kwa mda mrefu kwan inahitaj nayo kupumzika. maeneo ya siri yaache ya pumue na usivae nguo zenye kubana. jitahipi upepo upite. nguo zetu za ndani, machupi hakikishen zinakua saf za ziko za kutosha ikishindikana hapo. tumia cosmetics, nenda hospitalini. utapewa dawa
 
Jamani kuna mtu anajua dawa ya Fangasi yaani Pumbu zinauma na zimekua nyekundu kama nyanya msaada please!

Mwanzo nilikua natumia sabuni ambazo ni Medicated sana kama Protex na Detol baada ya kuacha naona hali ni mbaya nahitaji tiba ambayo itanisaidia kutibu niweze kutumia hata sabuni za Kawaida ambazo siyo medicated Suala la kuacha sabuni na Ugonjwa kurudi nimegundua kuwa sijapona.

Nahitaji tiba.

Naoamba Kuwasilisha.
 
Umenikumbusha mbali sana. Wakati nipo form 4 kuna dogo alikuwa form 3..huyo dogo alikuwa hajipendi sana haswa kwenye swala la usafi. Kuoga na kufua nguo kwake ilikuwa ni shida kubwa sana.

Matokeo ya uchafu wake yali pelekea huyo dogo kupata huo ugonjwa wa " PUMPU JERO".

Nakushauri, wekeza nguvu nyingi kwenye usafi wa mwili. Boxer moja usizae zaidi ya siku mbili.
 

Unapatikana mkoa gani nikuelekeze hospitali ya kwenda kuchekiwa na kupatiwa matibabu.
 

Usafi mbona ninao kadri inavyotakiwa.
 

Mkuu, humu kuna uzi unaoelezea matumizi ya vitunguu saumu kama tiba ya fangasi, tafadhali u-"search". Mimi nimefaidika nao saana.
 
Kuna mtu aliniambia ya Ukwaju,niweke ku glass halafu niipige mara moja kama Tequilla!
isambe unamaanisha nini hili neno Tequilla? Pia funguka vizuri, je ilikusaidia?
 
Last edited by a moderator:
Mmmmh kumbe fungs ni tatizo kumbwa namna hii mmmh madoctor wako WAP jaman
 
Pole sana ww usumbuliwae na fungus, dawa sahii itakayokusaidia ni NYSTATIN ,GRISEOFULVIN or AMPHOTELICIN, njisi ya kutumia dawa na muda gan utatumia dawa hyo, utapewa maelezo ktk pharmac utayoenda kununua dawa, ama piga 0758152000 my no. to get more infor free.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…