Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

Habari zenu wakuu, samahan naomba msaada kwa wale wataalamu wa magonjwa haya ya ngozi.

wapendwa mdogo wangu ana fungus kwenye makorodan tumeenda hospital kairuk tuka pewa dawa, baada ya muda ugonjwa ukarud tukaenda hospital nyingine kama mbili wakatupa dawa za kupaka na kunywa but hatukufanikiwa, tumeenda kwa masai katupa dawa akitumia fungus wanapoa ila akimaliza dawa ugonjwa unarud, niliona tiba ya vitunguu swaumu humu jamiiforum amejaribu lakin hari bado.

Please naomben msaada wenu.
 
Waulize Pugu boys wazee wa Fungus watakupa jibu. Cheki na Next Level.....tehe teheee. Manake yale maji ya pond balaa....usipoangalia kitu inaweza kukatika

mkuu umenikumbushia mbali aiseee....Pond Boys a.k.a fungal boys kuba tcha anaitwa Mabagala alikuwa anatukimbizagaa sana mpk kle pond
 
Jamani kuna mtu anajua dawa ya Fangasi yaani Pumbu zinauma na zimekua nyekundu kama nyanya msaada please!

Mwanzo nilikua natumia sabuni ambazo ni Medicated sana kama Protex na Detol baada ya kuacha naona hali ni mbaya nahitaji tiba ambayo itanisaidia kutibu niweze kutumia hata sabuni za Kawaida ambazo siyo medicated Suala la kuacha sabuni na Ugonjwa kurudi nimegundua kuwa sijapona.

Nahitaji tiba.

Naoamba Kuwasilisha.
Wacha kutumia medicated soaps kwani hizo sabuni umaliza bacteria nzuri zikano kaa juu ya ngozi. Bacteria hizi uzuia pumbu.
 
hahahahaha ila Mimi nna ushahidi wa Rafiki yangu yy alikua na fungus mpaka huruma lakini alitumia dawa aina ya intraconazel capsule na kapona kabsa unameza kidonge kimoja kwa siku dozi elfu 30 vidonge kumi
 
Habari zenu wakuu, samahan naomba msaada kwa wale wataalamu wa magonjwa haya ya ngozi,
wapendwa mdogo wangu ana fungus kwenye makorodan tumeenda hospital kairuk tuka pewa dawa, baada ya muda ugonjwa ukarud tukaenda hospital nyingine kama mbili wakatupa dawa za kupaka na kunywa but hatukufanikiwa, tumeenda kwa masai katupa dawa akitumia fungus wanapoa ila akimaliza dawa ugonjwa unarud, niliona tiba ya vitunguu swaumu humu jamiiforum amejaribu lakin hari bado. Please naomben msaada wenu

Hizo za korodan atumie iodine tincture siku tattu tu, ataona mabadiliko
 
Habari zenu wanaJF
Hili tatizo la sehemu za siri kwa mwanaume hasa korodani na sehemu za chini ya uume (upande uume unapolala juu ya korodani) kuwa kavu sana, kupauka, wakati mwingine ngozi hukakamaa pia muwasho sana sehemu hizo husababishwa na nini na je ni ipi tiba yake?

Ahsanteni
 
hizo fangasi tu. anza usafi na uwe unakausha maji vizuri baada ya kuoga. usianze kutumia dawa yoyoye kwanza, kama kuna joto sana uwe unapaka poda huko maeneo. na kama ni baridi paka mafuta(mgando) kidogo sana
 
hizo fangasi tu. anza usafi na uwe unakausha maji vizuri baada ya kuoga. usianze kutumia dawa yoyoye kwanza, kama kuna joto sana uwe unapaka poda huko maeneo. na kama ni baridi paka mafuta(mgando) kidogo sana
Kwa kuongezea pia,jitahidi usivae boxer au vazi la ndani la kubana sana kwani huongeza joto na kuwafanya hao wadudu wafurahie mazingira! Vilevile kama uko huru,ukiwa chumbani waweza kuwa unajiachia ili sehemu hizo zipate hewa ya kutosha!
 
Nishawahi ugua fungus kpnd flani nikatibu lakini wapi,nikijiangalia ni msafi sana tu basi ikanitesa nkaomba Mungu asaidie nione tatzo langu liko wapi.

Kumbe bwn siri ya kutopata fungus ni KUTUNZA SEHEMU ZA SIRI ZIWE KAVU MUDA WOTE, kosa langu Sikua mtumiaji wa toilet paper kabisaaa ukeni,nlitumia tissue kuwipe baada ya haja kubwa tu,
Kama unaumwa, itibu hospital baada ya hapo maintain usafi wa hali ya juu mf kuanika chupi juani, kujikausha vzuri na quality toilet paper ukiwipe kwenda nyuma, yani Usiache tupu yako Ina maji au unyevu ukitoka kujisaidia/kuoga na kutovaa nguo za kubana ili pawe pakavu.

Hizi infection zimekua history kwangu, Nashukuru Mungu kwa kweli.
 
Nishawahi ugua fungus kpnd flani nikatibu lakini wapi,nikijiangalia ni msafi sana tu basi ikanitesa nkaomba Mungu asaidie nione tatzo langu liko wapi
Kumbe bwn siri ya kutopata fungus ni KUTUNZA SEHEMU ZA SIRI ZIWE KAVU MUDA WOTE,kosa langu Sikua mtumiaji wa toilet paper kabisaaa ukeni,nlitumia tissue kuwipe baada ya haja kubwa tu,
Kama unaumwa,itibu hospital baada ya hapo maintain usafi wa hali ya juu mf kuanika chupi juani,kujikausha vzuri na quality toilet paper ukiwipe kwenda nyuma,yani Usiache tupu yako Ina maji au unyevu ukitoka kujisaidia/kuoga na kutovaa nguo za kubana ili pawe pakavu,
Hizi infection zimekua history kwangu,Nashukuru Mungu kwa kweli
Tru that [emoji736]
 
Waweza pona fungus kwa matibabu ya kidaktari...lakini usipobadili lifestyle yako itakua unapona then after time inarudi tena.

Hivyo usafi,ukavu kuanika nguo juani,kuvaa nguo zisizo bana sana( cotton clothes recommended)
Hasa ukizingatia joto hapa Tz limezidi alafu mtu anavaa nguo enye nylon material...asee fungus itakuwa ni daily story.

Pia wale wapendao fua kwa madobi kitaani... hii ni njia moja muhimu kwa kusambaa kwa fungus hasa Za nyetini ( Dobby's itching) n.k

Aksante!.
 
how-to-cure-male-yeast-infection.jpg

IDADI kubwa ya watu inasumbuliwa na tatizo la kuwashwa sehemu za siri bila kujali jinsia na umri.

Watu wengi wanaamini kuwashwa sehemu za siri kunasababishwa na fangasi tu, ndiyo maana nimepata maswali ya wasomaji juu ya matibabu na jinsi ya kujikinga na fangasi kwa kuwa wanaamini muwasho unaowasumbua kwa muda mrefu ni matokeo ya maambukizi ya fangasi.

Kwa habari zaidi, soma hapa => Kupambana na Fangasi Sehemu za Siri za Mwanaume! | Fikra Pevu
 
Jaman naomben mnisaidie kwa mtu anayefahamu dawa za fangas sehemu za siri yaani kuna mdogo wang kaungua kwa muda katumia baadhi ya dawa kama Ketazol, Fluconazole lakini hazi msaidii imefikia mpaka kumekuwa na ukurutu kwnye kende na mapaja kwa pembeni.

Jamani nisaidien
 
Back
Top Bottom