Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

Tatizo la Mabaka, Mba na Fungus (Fangasi) sugu na kuwashwa sehemu za siri kwa wanaume na wanawake- Fahamu chanzo, Dalili na Matibabu yake

jaman wadau naomben mnishauri aina gani ya dawa ambayo inaweza kumaliza kabisa fangasi za ngozini, yani zinanisumbua sana na sasa zishakuwa chronik
 
Nenda pharmacy kuna dawa inaitwa darmel ant fungial lotion hiyo ni kiboko mkuu! au kuna dawa nyingine za kijani
 
Habari zenu wana jamii forum? Naomba msaada nasumbuliwa na tatizo la Ulimi unakuwa na vidonda nimeenda hospital nikaambiwa ni fangasi na kuandikiwa dawa za kumeza na mouth wash/gel lakini tatizo halijaisha kuna wakati huwa hakuna dalili kabisa hata kama sijatumia dawa.Naombeni msaada wenu.
 
Pole sana.
Unakula matunda ya kutosha hasa machachu (citrous)? Jitahidi ule.machungwa, juisi za ukwaju, apples na mananasi.
Nakushauri pia uonane na daktari wa meno, huenda unahitaji attention zaidi.
 
jaman wadau naomben mnishauri aina gani ya dawa ambayo inaweza kumaliza kabisa fangasi za ngozini, yani zinanisumbua sana na sasa zishakuwa chronik

Pole sana ndugu.
Zikishindikana ulizoshauriwa hapo juu basi tumia 'Diprosalic ointment' ni ceam ambayo unaaka sehemu iliyoathirika na fungus. Matokeo baada ya siku 2
 
Unasumbuliwa na fungasi,vidonda vya tumbo nione unapona kwa 30000 tu
cell number +255 686 670 730 dk siongopi
 
Hallo BAOSITA....Big up kwa kutuletea hii TIBA

Kutokana na uzoefu wako vipi inaweza kutibu hata vipele vya joto
yaani ni vidogovidogo ivi ila ni visumbufu balaa!

Thank you once again.
I
 
Useful post lakini mbona wengi hamleti mrejesho wa dawa hii nmeona wachache wameleta ushuhuda...
Me sisumbuliwi na hayo matatizo ila ntagonga kama kinga na kuondoa vinyemelea vyote maana kwa vyakula vyetu na maji tutumiayo hapa mjini na joto hili hiz mambo huwa znatutafuna kimya kimya ...
THANKS in advance na hapo napousoma nmetoa ushauri kwa jamaa yangu anayesumbuliwa na pumbu erotion akitumia akipona ntaja....
 
Duuh wakulu nmetoka kupiga hii mtishamba muda si mrefu daaah ni balaa reaction yake kutapika si kutapika nmetoka jasho ka nakimbia ni balaa hii product sasa problem siumwi chochote kati ya hvyo bt kwa hali zetu na vyakula vyetu ntakua sikosi hata kamnyoo kamoja maana sijawah kunywa dawa za minyoo na sina kawaida hiyo....so ngoja nngojee nione kama rate ya kula itaongezeka na itashtua ile mambo kwenda winga hovyo..LOL
 
Dokta MABAO6. Kwanza nakupongeza kwa mada yako nzuri na ya maana sana. Wengi tunaumwa ila hatusemi. Unakumbuka wakati wa babu wa Loliondo? Hapo ndipo tulipojua waTanzania walio wengi ni wagonjwa na wamekuwa wakikosa tiba sahihi ili wapone. Nirudi kwenye mada, nauliza tena swali la mwanaJF Doricy kwamba dawa ya kitunguu swaumu inatibu pia fangas wa kinywani, mfano kwenye midomo ya nje, ulimi, nk? Nasumbuliwa na fangas wa midomo hadi nakosa raha kwa sababu imepoteza hadi rangi yake ya kawaida. Dokta naomba jibu lako tafadahli mkuu.
 
Dokta MABAO6. Kwanza nakupongeza kwa mada yako nzuri na ya maana sana. Wengi tunaumwa ila hatusemi. Unakumbuka wakati wa babu wa Loliondo? Hapo ndipo tulipojua waTanzania walio wengi ni wagonjwa na wamekuwa wakikosa tiba sahihi ili wapone. Nirudi kwenye mada, nauliza tena swali la mwanaJF Doricy kwamba dawa ya kitunguu swaumu inatibu pia fangas wa kinywani, mfano kwenye midomo ya nje, ulimi, nk? Nasumbuliwa na fangas wa midomo hadi nakosa raha kwa sababu imepoteza hadi rangi yake ya kawaida. Dokta naomba jibu lako tafadahli mkuu.

kaka bugia hii dawa haraka sana inatibu fungus aina zote hata wajifiche wapi inawaunguza halafu kama sugu sana itumie mara mbili kwa siku tatu....NI NOMA HII DAWA WENZIO TUSHAGONGA TUNAJIVINJARI TU SASA HIVI UKIPIGA MTAARIFU NA MWENZIO
 
kaka bugia hii dawa haraka sana inatibu fungus aina zote hata wajifiche wapi inawaunguza halafu kama sugu sana itumie mara mbili kwa siku tatu....NI NOMA HII DAWA WENZIO TUSHAGONGA TUNAJIVINJARI TU SASA HIVI UKIPIGA MTAARIFU NA MWENZIO

Asante mkuu kwa kunitia moyo. Nimeanza dozi tayari. Nitakupa feedback..........:nono:
 
>Mh!!!
Hizi dawa zitakuja kutuua.
Nilivyokunywa nikazani nimemeza sumu.
>TUNASHUKURU KWA TIBA MKUU.
 
>Mh!!!
Hizi dawa zitakuja kutuua.
Nilivyokunywa nikazani nimemeza sumu.
>TUNASHUKURU KWA TIBA MKUU.

ha ha ha ha,pole sana mkuu.
Kwa kifupi tu,aliyo sema BAOSITA ni machache kati ya mengi.

Vitunguu swaumu ni vizuri kwa ku-boost nguvu za kiume kwani ina
sababisha mzunguko mzuri wa damu ambao ni muhimu kwa mechi zako.

Na mengine meeeengi,tusiwe wavivu kusoma,google umuhimu wa garlic utafurahia.

Me haipiti week bila kutafuna punje 2-3,sijawahi kula kizima na haita tokea.
Ninajua mziki wake pale ninapo kimeza kinavo shuka tumboni,kama hauko vizuri
unaweza tapika.
 
Last edited by a moderator:
Wakuu Hii kitu nimeipiga asubuhi, tuombeane maana niliisi kufa kufa ila baada ya dk 15 mambo yameenda pouwa kabisa, ntaleta majibu ila sijatapika wakuu
 
Back
Top Bottom