Mbona kila siku tunaambiwa serikali inamtua mama ndoo kichwani?Kwa Sasa maji kwenye jiji la Dar ni anasa.
Wakati wa JPM wauza maji walihamia kwenye bajaji, Bodaboda na Taxi. Kwa Sasa watu wananunua magari ya kuuzia maji.
Waziri awezo hukujifunza utendaji chini ya JP Magufuli? Embu mtusaidie hii adha ya maji.
Tunaelekea chaguzi muda wakupiga hela huu achakutuharibia biashara zetu,before Magu tulikua madone wakuuza maji maana ndoo ilifika mpk elfu 2,tumekua na magari Mbezi zote 2,kimara,g.mboto na maeneo yote Kwa ukumla achatupige helaKwa Sasa maji kwenye jiji la Dar ni anasa.
Wakati wa JPM wauza maji walihamia kwenye bajaji, Bodaboda na Taxi. Kwa Sasa watu wananunua magari ya kuuzia maji.
Waziri awezo hukujifunza utendaji chini ya JP Magufuli? Embu mtusaidie hii adha ya maji.
Mgao wa maji ulianza kimya kimya Dar na PwaniKwa Sasa maji kwenye jiji la Dar ni anasa.
Wakati wa JPM wauza maji walihamia kwenye bajaji, Bodaboda na Taxi. Kwa Sasa watu wananunua magari ya kuuzia maji.
Waziri awezo hukujifunza utendaji chini ya JP Magufuli? Embu mtusaidie hii adha ya maji.
Labda wanampiga Vita Mama 😳🙄!Kwa Sasa maji kwenye jiji la Dar ni anasa.
Wakati wa JPM wauza maji walihamia kwenye bajaji, Bodaboda na Taxi. Kwa Sasa watu wananunua magari ya kuuzia maji.
Waziri awezo hukujifunza utendaji chini ya JP Magufuli? Embu mtusaidie hii adha ya maji.
Huyo Waziri kazi ya uchawa na kumsifia Rais ndiyo anaiweza🙄Kwa Sasa maji kwenye jiji la Dar ni anasa.
Wakati wa JPM wauza maji walihamia kwenye bajaji, Bodaboda na Taxi. Kwa Sasa watu wananunua magari ya kuuzia maji.
Waziri awezo hukujifunza utendaji chini ya JP Magufuli? Embu mtusaidie hii adha ya maji.
Aweso alifanya kazi nzuri wakati wa JPM. Hata DAWASCO ilithibitiwa tatizo ni uongozi wa juu kabisa nchini. Hajishughulishi na mambo kama hayo.Huyo Waziri kazi ya uchawa na kumsifia Rais ndiyo anaiweza🙄
Katika hotuba yake ya dakika 5 abaweza msifia Dkt Samia, hata mara 100!😎
Lakini utendaji katika wizara hiyo ame-prove failure kubwa sana
Nashangaa!Hivi bado mna matumaini tanzania kusonga mbele kwa hawa viongozi wetu.. Mnajidanganya, ukipata kihela chako chimba kisima mzee.