Tatizo la Maji Dar es Salaam na Pwani

Tatizo la Maji Dar es Salaam na Pwani

Issue ya maji Dar naona ni michezo michafu tu ya watu kwasababu Wami/Ruvu bado iko na maji.
Na serikali ipo inaacha hii michezo michafu inaendelea??

WaTz tuna tatizo la msingi sana la kuishi substandard life/below normal na kuridhika, mwaka 2024 bado maji ni tatizo kwenye jiji la kibiashara, honestly haya ni maajabu.

I am sure Mbowe kwake kuna maji 24/7/365 na bado alikuwa barabarani juzi, Sisi sasa including hao polisi 😀😀
 
Na serikali ipo inaacha hii michezo michafu inaendelea??

WaTz tuna tatizo la msingi sana la kuishi substandard life/below normal na kuridhika, mwaka 2024 bado maji ni tatizo kwenye jiji la kibiashara, honestly haya ni maajabu.

I am sure Mbowe kwake kuna maji 24/7/365 na bado alikuwa barabarani juzi, Sisi sasa including hao polisi 😀😀
Sijui ata ni makusudio gani? Na ata maji yakizingua Ruvu kuna visima zaidi ya saba virefu vishachimbwa Kimbiji (Kigamboni) vinauwezo mkubwa sana na matank yashajengwa uko Kigamboni makubwa sana hadi Rais alienda kuzindua (mwaka juzi)!
IMG_0057.jpeg

Hivyo visima sio vya kuvichukulia poa, kwa pamoja vinatoa jumla ya lita Million 70 kwa siku, kuwanywesha wakazi wa Dar na shughuli zao.

Same day kuna ujenzi wa bwawa la Kidunda kama sijakosea aliupa goahead.

Kifupi Dar kukosa maji sio issue ya source ni issue ya supply. Ingekua issue ya source lawama kwa Wami /Ruvu Basin Office ila issue ya Supply lawama kwa DAWASA wasituletee uhuni kila siku wanabadirishwa maboss wao kula tu ila Mji hauna maji.
 
Miaka 60 madarakani maji tatizo. Kama kuna mtu anaamini CCM anaweza kuleta maendeleo akipewa muda zaidi. Huyo mtu anastahili kupigwa akili katika vituo vya afya vya nchi nzima. Yaani kila akiamka ni kupimwa akili tu.
Maji
Zahanati
Mashule
Barabara
Umeme

Havikutakiwa kuendelea kua kilio chetu kabisa. Tungekua tunaangaika na mainnovation makubwa makubwa
 
Makazi yangu kwa dar ni ilala na temeke na mabibo mbona sina shida ya maji au unaongelea dar ipi?
 
Aseee kumbe tatizo ni kubwa ivyo... Nilijua ni uku kwetu Mbezi njia ya Goba maana mpaka tumesahau maji kutoka bombani yanafananaje
 
Kwa Sasa maji kwenye jiji la Dar ni anasa.

Wakati wa JPM wauza maji walihamia kwenye bajaji, Bodaboda na Taxi. Kwa Sasa watu wananunua magari ya kuuzia maji.

Waziri awezo hukujifunza utendaji chini ya JP Magufuli? Embu mtusaidie hii adha ya maji.
kwani sialishamtumbua jamaa bosi wa huko daawaaasiiko imekuaje tena wajuzi wa mambo mtujuze.nimearifiwa watu huko wanaoga mara moja kwa mwezi loh!
 
Kabla hatujachelewa,Tuelekee,mradinwa kutoa maji Mto rufiji au yanayotoka bwawani uanze kuja Dar es salaam.
 
Kipa
Mwaka majira kama haya tatizo linajirudia
Halitatuliwi kwa kupatiwa ufumbuzi wa kudumu?
Maji na umeme kila Mwaka ni shida ,
Kwanini?
Halafu Juma anasifiwa Eti kafanya kazi kubwa , ipi ?
Wakati shida ya mama ni iko pale pale kila mwaka?

No regular supply throughout the year.

Halafu hamtaki wananchi au wapinzani waseme matatizo haya ?
Mnataka uchawa tu?!
 
Huyu Waziri wa Maji mwanzoni nilokuwa kama namuelewa lakini kumbe sio wala nini!

Anakombizana tu .

Direction is much important than speed
 
Waziri Acha siasa. Ulimuondoa acting ceo kwa kutafuta sifa. He knew what he was doing. Ukaenda wewe na katibu mkuu wako na kutoa maagizo ya kisiasa
 
Back
Top Bottom