Tatizo la Maji Mwanza: Mamlaka itengue uteuzi wa Mkurugenzi wa MWAUWASA

Tatizo la Maji Mwanza: Mamlaka itengue uteuzi wa Mkurugenzi wa MWAUWASA

koryo1952

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2023
Posts
948
Reaction score
1,627
Mhe. Waziri ninakuandikia ujumbe huu kwa masikitiko makubwa sana. Tatizo la maji hapa Mwanza limekuwa kero kubwa. Kila kukicha maji hayapo kwenye mabomba.

Walitudanganya kuwa kulikuwa na uharibifu kwenye chanzo cha maji Capri Point na tatizo hili lingechukua miezi miwili tu kurekebishwa lakini sasa ni miaka miwili na tatizo bado liko pale pale.

Mhe. Waziri enzi za Ndugu Sanga haya matatizo hayakuwepo na yanaonekana tu kwa huyu Mtendaji wa sasa.

Nakushauri utengue uteuzi wake tuletewe mtu anayetosha kwenye nafasi hiyo.

Pia soma
 
Mhe. Waziri ninakuandikia ujumbe huu kwa masikitiko makubwa sana. Tatizo la maji hapa Mwanza limekuwa kero kubwa. Kila kukicha maji hayapo kwenye mabomba.

Walitudanganya kuwa kulikuwa na uharibifu kwenye chanzo cha maji Capri Point na tatizo hili lingechukua miezi miwili tu kurekebishwa lakini sasa ni miaka miwili na tatizo bado liko pale pale.

Mhe. Waziri enzi za Ndugu Sanga haya matatizo hayakuwepo na yanaonekana tu kwa huyu Mtendaji wa sasa.

Nakushauri utengue uteuzi wake tuletewe mtu anayetosha kwenye nafasi hiyo.


Pia soma
Kuna shida ya maji Mwanza?! Au unamaanisha maji ya bomba nyumbani kwako kwa sababu huwezi hata kulipia bill ya maji?
 
Umeme akate kipara kamba na maaragwe, kutumbuliwa atumbuliwe mkurugenzi maji mza!!!

Maajabu mbona.
 
Mhe. Waziri ninakuandikia ujumbe huu kwa masikitiko makubwa sana. Tatizo la maji hapa Mwanza limekuwa kero kubwa. Kila kukicha maji hayapo kwenye mabomba.

Walitudanganya kuwa kulikuwa na uharibifu kwenye chanzo cha maji Capri Point na tatizo hili lingechukua miezi miwili tu kurekebishwa lakini sasa ni miaka miwili na tatizo bado liko pale pale.

Mhe. Waziri enzi za Ndugu Sanga haya matatizo hayakuwepo na yanaonekana tu kwa huyu Mtendaji wa sasa.

Nakushauri utengue uteuzi wake tuletewe mtu anayetosha kwenye nafasi hiyo.

Pia soma
Chimba kisima acha kelele huku ikibidi nunua simtank kubwa angalau Lita elfu 10
 
Chimba kisima acha kelele huku ikibidi nunua simtank kubwa angalau Lita elfu 10
Bwanyenye, mbu, papasi kirobobo mnywa Damu.

Kama Kila raia atachimba kisima, nini KAZI ya Serikali, upi umuhimu wa kulipa Kodi???
 
Tatizo hili limeendelea kuwaadhibu wana mza licha kuwa jirani na ziwa victoria ambapo kwa takriban mwezi mmojabwqkaxi wengi wa maeeneo ya nyegezi wamelazimika kuyanunua kwa wenye bajaji.

Wenye bajaji wanauza tah 27000 kwa kila tripu la lita 1000. Na njiani wanakutana na magari mengi ya Mwauwasa.

Nimesena mara kadhaa nikinukuu maneno ya bob marley kuwa " katikati ya maji mpumbavu anaona kiu" hii ndio hali waliyonayo wakazi wa mza.

Unategemea nini kwa watu ambao maji ya bomba yakikosekana, wao wanafikiri kuchimba visima na kununua matanki ya kuhifadhi maji, badala ya kuchukua hatua na kuwawajibisha wahusika?

Unategemea nini kwa mkoa ambao RC wake yuko busy kumgharamia dimond kufanya show jirani na mkutano wa Chadema ili kuwavutia watu kwake, badala ya kushughulikia matatizo ya msibgi ya wakazi wa mza.

Hivyo, mtoa mada mkurugenzi na watumishi wa mwauwasa ambao wanapewa vitendea kazi na mishahara ya kila mwezi, hawana shida, tatizo liko kwa wakazi wa mza kuona tatizo hili ni sehemu ya maisha yao.
 
Kuna shida ya maji Mwanza?! Au unamaanisha maji ya bomba nyumbani kwako kwa sababu huwezi hata kulipia bill ya maji?
Acha kejeli,Mimi mwenyewe ni mkazi wa Mwanza,anachosema ni kweli,maji ni shida sana!
 
Kuna shida ya maji Mwanza?! Au unamaanisha maji ya bomba nyumbani kwako kwa sababu huwezi hata kulipia bill ya maji?
Halafu kweny mamb ya msingi ya kijamii usilete njaa zako za kutetea kwaajil ya maslahi yako!! Sometimes tumie akili mjibu hoja dhidi ya serikali ya CCM na sio huu ujinga unaleta humu, Pepopunda wewe!!
 
Hvi inaruhusiwa kuvuta maji moja kwa moja mpka nyumbani kutoka ziwani
 
Mhe. Waziri ninakuandikia ujumbe huu kwa masikitiko makubwa sana. Tatizo la maji hapa Mwanza limekuwa kero kubwa. Kila kukicha maji hayapo kwenye mabomba.

Walitudanganya kuwa kulikuwa na uharibifu kwenye chanzo cha maji Capri Point na tatizo hili lingechukua miezi miwili tu kurekebishwa lakini sasa ni miaka miwili na tatizo bado liko pale pale.

Mhe. Waziri enzi za Ndugu Sanga haya matatizo hayakuwepo na yanaonekana tu kwa huyu Mtendaji wa sasa.

Nakushauri utengue uteuzi wake tuletewe mtu anayetosha kwenye nafasi hiyo.

Pia soma
Hapo ninyi mko ziwani kabisa still mna shida ya maji je walioko mikoa kama Singida kwenye ukame itakuwaje
 
Bongo nyoso!! Niliishi mitaa ya buswelu mwanza maji yalikuwa hayatoki hadi miezi 3 na ziwa lipo umbali wa kilomita 8 kutokea buswelu.

Na tatizo kubwa zaidi ni wakazi wa mwanza wala hta hawajali huskii hta wakilalamika ni km walishazoea hiyo hali.
 
Bongo nyoso!! Niliishi mitaa ya buswelu mwanza maji yalikuwa hayatoki hadi miezi 3 na ziwa lipo umbali wa kilomita 8 kutokea buswelu.

Na tatizo kubwa zaidi ni wakazi wa mwanza wala hta hawajali huskii hta wakilalamika ni km walishazoea hiyo hali.
Nakubaliana na wewe shida ya maji mza inasababishwa na wana mza.
 
Back
Top Bottom