Tatizo la Maji Mwanza: Mamlaka itengue uteuzi wa Mkurugenzi wa MWAUWASA

Tatizo la Maji Mwanza: Mamlaka itengue uteuzi wa Mkurugenzi wa MWAUWASA

Kwa nini tunalipa kodi, kwanini tunalipia bili za maji, Kwa nini Watendaji wa MWAUWASA wamewekwa pale ofisini. Sisi ni wananchi tunatakiwa tupate huduma kutoka Serikalini kwa sababu tunalipa kodi. Mambo ya kunieleza kuwa nichimbe kisima is none of my business. Hata ukichimba kisima hao hao MWAUWASA watakutembelea na kukuamuru ulipie hicho kisima. Hii nchi tuiombee sana kwa Mwenyezi Mungu. Kwa nini Ndugu Sanga was so smart?.
 
Mhe. Waziri ninakuandikia ujumbe huu kwa masikitiko makubwa sana. Tatizo la maji hapa Mwanza limekuwa kero kubwa. Kila kukicha maji hayapo kwenye mabomba.

Walitudanganya kuwa kulikuwa na uharibifu kwenye chanzo cha maji Capri Point na tatizo hili lingechukua miezi miwili tu kurekebishwa lakini sasa ni miaka miwili na tatizo bado liko pale pale.

Mhe. Waziri enzi za Ndugu Sanga haya matatizo hayakuwepo na yanaonekana tu kwa huyu Mtendaji wa sasa.

Nakushauri utengue uteuzi wake tuletewe mtu anayetosha kwenye nafasi hiyo.

Pia soma
Hili suala ni aibu sana kwa chama changu ccm
 
Ukija tena uchaguzi mtaipitisha ccm kwa kishindo mda mwingine mtanzania sio wa kuwaonea

Ukimwambia ipiganie nchi yako hataki anaogopa anasema bora ashangalie simba na yanga na abet
 
Kwa nini tunalipa kodi, kwanini tunalipia bili za maji, Kwa nini Watendaji wa MWAUWASA wamewekwa pale ofisini. Sisi ni wananchi tunatakiwa tupate huduma kutoka Serikalini kwa sababu tunalipa kodi. Mambo ya kunieleza kuwa nichimbe kisima is none of my business. Hata ukichimba kisima hao hao MWAUWASA watakutembelea na kukuamuru ulipie hicho kisima. Hii nchi tuiombee sana kwa Mwenyezi Mungu. Kwa nini Ndugu Sanga was so smart?.
Hata majina tunayo6umia yanasadifu udhaifu wetu" watumishi wa mwauwasa" hivyo wanawajibika zaidi kwa mwauwasa kuliko wananchi ambao kimsingi ndio wenye mali.

Kwa shida ya maji ilivyo mza, nisingetegemea viongozi kuanzia RC hadi diwqani wakafanya shuhhuli nyingine zaidi ya kushinda na kulala kwenye chanzo cha tatizo. Lakini wafanye hivyo kwa kumhofia nani? Hawa wanaofikiri kutatua tatizo ni kuchimba kisima uani kwako!?
 
Hata majina tunayo6umia yanasadifu udhaifu wetu" watumishi wa mwauwasa" hivyo wanawajibika zaidi kwa mwauwasa kuliko wananchi ambao kimsingi ndio wenye mali.

Kwa shida ya maji ilivyo mza, nisingetegemea viongozi kuanzia RC hadi diwqani wakafanya shuhhuli nyingine zaidi ya kushinda na kulala kwenye chanzo cha tatizo. Lakini wafanye hivyo kwa kumhofia nani? Hawa wanaofikiri kutatua tatizo ni kuchimba kisima uani kwako!?
Maji yanatoka mara ngapi kwa wiki mkuu
 
Mhe. Waziri ninakuandikia ujumbe huu kwa masikitiko makubwa sana. Tatizo la maji hapa Mwanza limekuwa kero kubwa. Kila kukicha maji hayapo kwenye mabomba.

Walitudanganya kuwa kulikuwa na uharibifu kwenye chanzo cha maji Capri Point na tatizo hili lingechukua miezi miwili tu kurekebishwa lakini sasa ni miaka miwili na tatizo bado liko pale pale.

Mhe. Waziri enzi za Ndugu Sanga haya matatizo hayakuwepo na yanaonekana tu kwa huyu Mtendaji wa sasa.

Nakushauri utengue uteuzi wake tuletewe mtu anayetosha kwenye nafasi hiyo.

Pia soma
Nyie bhana mnatakiwa mchague moja kati ya show za Diamond au kutatuliwa kero zenu.
 
Ukija tena uchaguzi mtaipitisha ccm kwa kishindo mda mwingine mtanzania sio wa kuwaonea

Ukimwambia ipiganie nchi yako hataki anaogopa anasema bora ashangalie simba na yanga na abet
Wanata vyote show za bure za Diamond na maji,inabidi wachague moja.
 
Hata majina tunayo6umia yanasadifu udhaifu wetu" watumishi wa mwauwasa" hivyo wanawajibika zaidi kwa mwauwasa kuliko wananchi ambao kimsingi ndio wenye mali.

Kwa shida ya maji ilivyo mza, nisingetegemea viongozi kuanzia RC hadi diwqani wakafanya shuhhuli nyingine zaidi ya kushinda na kulala kwenye chanzo cha tatizo. Lakini wafanye hivyo kwa kumhofia nani? Hawa wanaofikiri kutatua tatizo ni kuchimba kisima uani kwako!?
Tena mkuu wa mkoa anaenda kwenye show ya diamond kuwapiga vijembe chadema

Hii nchi km vile tumerogwa
 
Acha kejeli,Mimi mwenyewe ni mkazi wa Mwanza,anachosema ni kweli,maji ni shida sana!
Sijui kama unaijua shida ya maji wewe; unalia huna ajira halafu unataka uletewe maji nyumbani wakati ziwa liko mita 100 kutoka ulipo acha uzembe na ulege lege
 
Sijui kama unaijua shida ya maji wewe; unalia huna ajira halafu unataka uletewe maji nyumbani wakati ziwa liko mita 100 kutoka ulipo acha uzembe na ulege lege
Huu ndio utanzania halisi. Umimi miwiingi. Hapa unaongelea mtu mmoja au hata 100 kupata kipato kutokana na tatizo hilo ilihali maelfu wanakosa huduma hiyo muhimu.

Wakati ukisukuma mkokoteni kuwahi hiyo fursa watanzania wenhgne wanatozwa kodi ili upate huduma ya maji na wengine mia kadhaa wanalipwa mshahara ili kuwapatia maji anbayo hayatoki na hatua mmnayochukua ndio hiyo ya umimi.
Hivi yule mkurugenzi wa Ilemela alipaswa kuiifungia the cask au Mwauwasa?
 
Mhe. Waziri ninakuandikia ujumbe huu kwa masikitiko makubwa sana. Tatizo la maji hapa Mwanza limekuwa kero kubwa. Kila kukicha maji hayapo kwenye mabomba.

Walitudanganya kuwa kulikuwa na uharibifu kwenye chanzo cha maji Capri Point na tatizo hili lingechukua miezi miwili tu kurekebishwa lakini sasa ni miaka miwili na tatizo bado liko pale pale.

Mhe. Waziri enzi za Ndugu Sanga haya matatizo hayakuwepo na yanaonekana tu kwa huyu Mtendaji wa sasa.

Nakushauri utengue uteuzi wake tuletewe mtu anayetosha kwenye nafasi hiyo.

Pia soma
Umemaliza
 

Attachments

  • IMG-20230820-WA0042.jpg
    IMG-20230820-WA0042.jpg
    28.7 KB · Views: 3
Mhe. Waziri ninakuandikia ujumbe huu kwa masikitiko makubwa sana. Tatizo la maji hapa Mwanza limekuwa kero kubwa. Kila kukicha maji hayapo kwenye mabomba.

Walitudanganya kuwa kulikuwa na uharibifu kwenye chanzo cha maji Capri Point na tatizo hili lingechukua miezi miwili tu kurekebishwa lakini sasa ni miaka miwili na tatizo bado liko pale pale.

Mhe. Waziri enzi za Ndugu Sanga haya matatizo hayakuwepo na yanaonekana tu kwa huyu Mtendaji wa sasa.

Nakushauri utengue uteuzi wake tuletewe mtu anayetosha kwenye nafasi hiyo.

Pia soma
Mhe. Waziri ninakuandikia ujumbe huu kwa masikitiko makubwa sana. Tatizo la maji hapa Mwanza limekuwa kero kubwa. Kila kukicha maji hayapo kwenye mabomba.

Walitudanganya kuwa kulikuwa na uharibifu kwenye chanzo cha maji Capri Point na tatizo hili lingechukua miezi miwili tu kurekebishwa lakini sasa ni miaka miwili na tatizo bado liko pale pale.

Mhe. Waziri enzi za Ndugu Sanga haya matatizo hayakuwepo na yanaonekana tu kwa huyu Mtendaji wa sasa.

Nakushauri utengue uteuzi wake tuletewe mtu anayetosha kwenye nafasi hiyo.

Pia soma
Tayari keshaliwa kichwa
 

Attachments

  • IMG-20230820-WA0122.jpg
    IMG-20230820-WA0122.jpg
    46.5 KB · Views: 3
Back
Top Bottom