Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
KuwatimuaKiichobaki ni kufumua A to Z
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KuwatimuaKiichobaki ni kufumua A to Z
Pindi tuu timu ilipopoteana baada ya Baby yenuLini laana ilianza?
Tena mgomo kwelikweliTimu ambayo haitaki kusajili wachezaji wa maana wameweka Uingereza mbele kwa kuwanunua bei ghali bila sababu yaani Utd ndo ya kulipa mileha kibao kwa Mount halafu unasubiria wachezaji wa mikopo timu iendee sasa ni bora liende bila mgomo wa mashabiki haitoboi
Bila hivyo wamiliki hawawez kubadilika na kuachia watu waliosiriaz kuweka uwekezajiTena mgomo kwelikweli
Sidhani. Japo nakubali kuna wachezaji wasio na kiwango lakini siyo kwa namna hiyo.team haina wachezaji wazuri
ova
Matatizo yamekuwepo kabla hata Mount hajanunuliwa japo hata mimi nakuba kuwa Mount amenunuliwa kimakosa.Timu ambayo haitaki kusajili wachezaji wa maana wameweka Uingereza mbele kwa kuwanunua bei ghali bila sababu yaani Utd ndo ya kulipa mileha kibao kwa Mount halafu unasubiria wachezaji wa mikopo timu iendee sasa ni bora liende bila mgomo wa mashabiki haitoboi
Mount ni kielezo tu tunaanzia usajili wa Maguire kwa gharama kubwa ili wavunje rekodi kisa WaingerezaMatatizo yamekuwepo kabla hata Mount hajanunuliwa japo hata mimi nakuba kuwa Mount amenunuliwa kimakosa.
Maguire siyo mchezaji mbaya Trust me. Japo ni mzito lakini akichezea tumu iliyokamilika hana tatizo. Ngoja nikuambie wachezaji ambao naona siyo wazuri kwa Man United 1. Sancho 2. Mount 3. Dalot 4. Lindelof 5. Malacia 6. Wan Bissaka 7. Van de Beek 8. Martial 9. Anthony (Bruno ni mchezaji wa ''moments'', anaweza kuwa mzuri sana au mbaya sana. Marcus naye hivyo hivyo.) Kwa kifupi United left backs na wingers siyo wazuri. Marcus anacheza kama winger lakini muda wote anataka kuingia ndani ili a-shoot.Mount ni kielezo tu tunaanzia usajili wa Maguire kwa gharama kubwa ili wavunje rekodi kisa Waingereza
Mkuu hii ni joke tu, ni meme ya kututania, binafsi ni shabiki kindakindaki wa hili timu, nipo nawaza hapa Mason Mount anachezaje Man u na Max Zengeli yupo Yanga.Hawa si walikuwa na ugomvi wa kifamilia. Inaingia akilini kweli kusema Paul Pogba afanikiwe kufukia fisi katikati ya uwanja wa Old Trafford bila issue kuvuja? Yaani hamna kamera na aliingiaje na fisi pale mlangoni bila kuonwa ina maana watu wanaoingia Old Trafford hawapitii ukaguzi?
Kuna maswali mengi mno! Kwa hii posti sina ninachokiamini hata kwa asilimia 1
Hahaha!....mku nimeiona comment moja huko instagram ikisema WAKATI MAN UNITED WAKIFIKIRI WAPO KWENYE DERBY...MAN CITY WAO WALIKUWA WAPO KWENYE PARTY ILE JANA...🤣🤣🤣🤣OT Ni training ground ya city [emoji23]View attachment 2797802
Namaanisha man u haina tatizo lolote,Sijakuelewa hapa!
Hivi karibuni kumekuwa na hali ya kukera inayotokana na Manchester United kupoteza kwa mfululizo na malalamiko kutoka kwa wachezaji ambayo yamekithiri.
Kiundani sababu ya Manchester United kuwa hivi ni nini? Ni coach? Management? Sera? Wamiliki? Au ushindani wa EPL umekuwa mkubwa?
UPDATES:
Katika msimu huu wa mwaka 2023/24 Manchester United imecheza mechi 10 na kushinda mechi 5 tu na kupoteza mechi 5 zote.
Manchester ipo katika nafasi ya nane kati ya timu 20 zinazoshiriki ligi kuu ya English Premier League (EPL).
english premier league table
View attachment 2797739
Nakubaliana wewe Mkuu je, ukosefu wa ushindani wa namba unachangia viwango kuwa chinii mfano Rashford ameridhika anacheza kifazaa khs Maguire sio mbaya shida bei yake haiendani kabisa ilichangiwa na Uingerez wakeMaguire siyo mchezaji mbaya Trust me. Japo ni mzito lakini akichezea tumu iliyokamilika hana tatizo. Ngoja nikuambie wachezaji ambao naona siyo wazuri kwa Man United 1. Sancho 2. Mount 3. Dalot 4. Lindelof 5. Malacia 6. Wan Bissaka 7. Van de Beek 8. Martial 9. Anthony (Bruno ni mchezaji wa ''moments'', anaweza kuwa mzuri sana au mbaya sana. Marcus naye hivyo hivyo.) Kwa kifupi United left backs na wingers siyo wazuri. Marcus anacheza kama winger lakini muda wote anataka kuingia ndani ili a-shoot.