Tatizo la masikio: Fahamu kuhusu sehemu za sikio, magonjwa, ushauri na tiba

Tatizo la masikio: Fahamu kuhusu sehemu za sikio, magonjwa, ushauri na tiba

sikio lilianza kuwasha sana, kwa sasa linatoa majimaji likiambatana na maumivu fulani hv pamoja kuvimba kwa ndani, nini tatizo na dawa yake ni nini?
 
Infection kwenye masikio inaweza kusababisha na virus au bacteria infection kwenye koo(njia ya hewa) kama pneumococci,Haemophilus influenzae au Moraxella Catarhalis.
Unahitaji Fenoxymethylpenicillin tablets.Iwapo una viral infection huhitaji matibabu yoyote.Nakushauri uende kwa daktari akupe dosage sahihi kutokana na how serious infection you have!
 
Habar ya jioni polen na majukumu.
Nahitaji kujua dawa ya kutibu sikio linalotoa usaha. Hali hii inamsumbua mdogo angu ana miaka minne (4). Anasumbuliwa mda mrefu karibu miezi mi3 inaisha now katumia dawa za hosptal majina sijazishika. Kuna dawa katoka kumalizia wiki hii aina ya Amoxicilin. Bado tatito halijaisha. Msaada tafadhali.
 
Habar ya jioni polen na majukumu.
Nahitaji kujua dawa ya kutibu sikio linalotoa usaha. Hali hii inamsumbua mdogo angu ana miaka minne (4). Anasumbuliwa mda mrefu karibu miezi mi3 inaisha now katumia dawa za hosptal majina sijazishika. Kuna dawa katoka kumalizia wiki hii aina ya Amoxicilin. Bado tatito halijaisha. Msaada tafadhali.

Sikio (Ear) limegawika katika sehemu tatu kuu. Sehemu ya nje ya sikio, sehemu ya kati ya sikio na sehemu ya ndani ya sikio.

Kuna aina mbili ya matatizo ya masikio nayo ni:


Otitis media : ambayo hutokea katika sehemu ya kati ya sikio na mara nyingi huwatokea watoto wachanga

na watoto wadogo.

Otitis externa: ambayo hutokea katika sehemu ya ndani ya sikio na mara nyingi huwatokea waogeleaji, na

hutokea zaidi wakati wa baridi.

Ishara za Matatizo ya masikio kwa Otitis media:

Kuumwa na kuchomwa kwa sikio

Kutokwa na uchafu ndani ya sikio

Kutosikia kwa ghafla

Homa

Sababu za Otitis media:

Sababu kubwa ya maradhi hayo ni kuziba kwa bomba la sikio(Eustachiantube)

kutokana na baridi, allergy pamoja na kuingia takataka. Hii inababisha maji maji ya sikio kujaa maji hayo

nayo husababisha uvimbaji wa (ear drum) sikio.

Sababu za Otitis externa:

Hii husababishwa na baketeria au fungi, maji maji yanayoingia ndani ya sikio ndio sababu kuu ya kufanya

bakteria na fungi kuzaana pia Skin allegies husababisha maradhi hayo.

Na sababu nyengine ni ulaji mbovu wa chakula pamoja na upungufu wa usafi wa mwili.

DAWA ZA KUJITIBU MARADHI YA MASIKIO:

Nyunyiza juisi ya Kitunguu saumu katika sikio linalouma

Nenda Hospitali ukapigwe bomba ili maji na uchafu upate kutoka

Pasha moto mafuta ya Zaituni (Olive oil) na yasubiri yapowe

na ujitie drops mbili hadi 3

Na usafishe masikio yako kila baada ya kutoka kukoga.

KUTOKWA NA USAHA SIKIONI: Ikiwa utaweka kitu kama ujiti wa kiberiti au mfano wake sikioni, unaweza kusababisha jeraha kwenye sikio na damu kuanza kutoka. Baadae usaha unaweza kutungwa sehemu ya jeraha na kutoka kidogokidogo. Lakini pia mashambulizi ya bacteria sikioni yanaweza kusababisha kutokwa na usaha.

TIBA ZA MAUMIVU YA MASIKIO NA KUTOKWA NA USAHA:Kanuni ya kwanza: Chukua maji masafi ujazo wa kijiko kimoja cha chai halafu uchukue chumvi kidogo kiasi cha vidole viwili uchanganye ndani ya maji hayo kisha hayo maji uchanganye na asali kijiko kimoja kidogo cha chai. Weka tone moja ya dawa hii ndani ya sikio

lenye kuuma au kutokwa na usaha kutwa mara tatu. Kanuni ya pili: Dondoshea tone moja ya mafuta ya kitunguu saumu ndani ya sikio ambalo linauma au kutokwa na usaha kutwa mara tatu.. Kanuni ya tatu: Chukua mafuta ya habat soda na ufanye kama kanuni ya pili.

Kanuni ya nne: Ikiwa maradhi ya sikio ni kwa ajili ya bacteria, kunywa antibayotiki asilia kama vile juisi ya Aloe vera, kitunguu saumu, n.k. E.
 
Sikio (Ear) limegawika katika sehemu tatu kuu. Sehemu ya nje ya sikio, sehemu ya kati ya sikio na sehemu ya ndani ya sikio.

Kuna aina mbili ya matatizo ya masikio nayo ni:

Otitis media : ambayo hutokea katika sehemu ya kati ya sikio na mara nyingi huwatokea watoto wachanga

na watoto wadogo.

Otitis externa: ambayo hutokea katika sehemu ya ndani ya sikio na mara nyingi huwatokea waogeleaji, na

hutokea zaidi wakati wa baridi.

Ishara za Matatizo ya masikio kwa Otitis media:

Kuumwa na kuchomwa kwa sikio

Kutokwa na uchafu ndani ya sikio

Kutosikia kwa ghafla

Homa

Sababu za Otitis media:

Sababu kubwa ya maradhi hayo ni kuziba kwa bomba la sikio(Eustachiantube)

kutokana na baridi, allergy pamoja na kuingia takataka. Hii inababisha maji maji ya sikio kujaa maji hayo

nayo husababisha uvimbaji wa (ear drum) sikio.

Sababu za Otitis externa:

Hii husababishwa na baketeria au fungi, maji maji yanayoingia ndani ya sikio ndio sababu kuu ya kufanya

bakteria na fungi kuzaana pia Skin allegies husababisha maradhi hayo.

Na sababu nyengine ni ulaji mbovu wa chakula pamoja na upungufu wa usafi wa mwili.

DAWA ZA KUJITIBU MARADHI YA MASIKIO:

Nyunyiza juisi ya Kitunguu saumu katika sikio linalouma

Nenda Hospitali ukapigwe bomba ili maji na uchafu upate kutoka

Pasha moto mafuta ya Zaituni (Olive oil) na yasubiri yapowe

na ujitie drops mbili hadi 3

Na usafishe masikio yako kila baada ya kutoka kukoga.


KUTOKWA NA USAHA SIKIONI: Ikiwa utaweka kitu kama ujiti wa kiberiti au mfano wake sikioni, unaweza kusababisha jeraha kwenye sikio na damu kuanza kutoka. Baadae usaha unaweza kutungwa sehemu ya jeraha na kutoka kidogokidogo. Lakini pia mashambulizi ya bacteria sikioni yanaweza kusababisha kutokwa na usaha.

TIBA ZA MAUMIVU YA MASIKIO NA KUTOKWA NA USAHA:Kanuni ya kwanza: Chukua maji masafi ujazo wa kijiko kimoja cha chai halafu uchukue chumvi kidogo kiasi cha vidole viwili uchanganye ndani ya maji hayo kisha hayo maji uchanganye na asali kijiko kimoja kidogo cha chai. Weka tone moja ya dawa hii ndani ya sikio

lenye kuuma au kutokwa na usaha kutwa mara tatu.
Kanuni ya pili: Dondoshea tone moja ya mafuta ya kitunguu saumu ndani ya sikio ambalo linauma au kutokwa na usaha kutwa mara tatu.. Kanuni ya tatu: Chukua mafuta ya habat soda na ufanye kama kanuni ya pili.

Kanuni ya nne: Ikiwa maradhi ya sikio ni kwa ajili ya bacteria, kunywa antibayotiki asilia kama vile juisi ya Aloe vera, kitunguu saumu, n.k. E.
Mkuu MziziMkavu mimi nilishawahi kupost humu JF kuhusu tatizo kama hili kwa mtoto wangu wa 7yrs,tumeshatibiwa ktk hospitali mbalimbali hapa Dar bila mafanikio na mara ya mwisho tuliishia TMJ ambapo baada ya kuonana na specialist alitupa dawa na kutuambia kuwa hataweza kupona zaidi ya kusubiri mpaka atakapotimiza miaka 16 ili afanyiwe operashion,sasa ngoja nijaribu huu utaalamu wako nione matokeo yake.
 
Last edited by a moderator:
Pole sana mtoa mada, kiukweli tunatatizo makubwa ya wataalam wa masikio(audiologists), mahospitalini, ushauri wa mzizimkavu nisingekushauri sana uutumie kabla ya kwenda kufanyiwa uchunguzi wa kitaalamu, kwani pigaji wa bomba unahitaji utalam mkubwa kwani uwezekano wakuku tia ukiziwi ni mkubwa sana.

Ushauri wangu nenda CCBRT dar, au kamakunakituchochote cha wanafunzi wasio na usikivu nenda hapo huwa navifaa na wataalamu wa upimaji na watakueleza kama ugonjwa wako ni aina gani, unatibika au laa,.epuka kuweka dawa yoyote sikioni endapo ujapata vipimo. uwezekano wa kuuasikio ni mkubwa.
 
Chukua majani ya bangi mbichi wweka maji kidogo sana halafu kamua ndani ya sikio matone matatu atapona
 
Hata mm hili tatizo ninalo nimetumia dawa za kila aina za kisasa na za kienyeji sijapona. Mfano nikifumba mdono nakuziba pua nikasukuma kwa nguvu hewa hutokea kwenye hilo sikio bovu. Na hilo sikio linatatizo la kusikia, nikiziba hili zima nasikia kwa mbali sana.
 
Habar ya jioni polen na majukumu.
Nahitaji kujua dawa ya kutibu sikio linalotoa usaha. Hali hii inamsumbua mdogo angu ana miaka minne (4). Anasumbuliwa mda mrefu karibu miezi mi3 inaisha now katumia dawa za hosptal majina sijazishika. Kuna dawa katoka kumalizia wiki hii aina ya Amoxicilin. Bado tatito halijaisha. Msaada tafadhali.

Ishakuwa CHRONIC OTITIS MEDIA, jiyahdin asije akapata Permanent Deafness, kama uko Dar Mlete kwa Dr Enika au Prof Moshi Atapona, huko kwingne wanamchezea Tu, 3 Months Discharging??? Cant be Serious
 
Hata mm hili tatizo ninalo nimetumia dawa za kila aina za kisasa na za kienyeji sijapona. Mfano nikifumba mdono nakuziba pua nikasukuma kwa nguvu hewa hutokea kwenye hilo sikio bovu. Na hilo sikio linatatizo la kusikia, nikiziba hili zima nasikia kwa mbali sana.

Middle Ear Effusion, We kilaza Unangoja,Mwenzako Aseme na wewe ndo unakumbuka kuwa unaumwa, tafuta tiba hiyo ni MIDDLE EAR EFFUSION
 
Ishakuwa CHRONIC OTITIS MEDIA, jiyahdin asije akapata Permanent Deafness, kama uko Dar Mlete kwa Dr Enika au Prof Moshi Atapona, huko kwingne wanamchezea Tu, 3 Months Discharging??? Cant be Serious
Mkuu hawa Prof Moshi au huyo Dr.Enika wanapatikana wapi,kama una namba zao ningeomba utuwekee.
 
Ahsante kwa ushauri wako ngoja nitafute hiyo dawa. Ila kutukana siyo vizuri
 
Sikio (Ear) limegawika katika sehemu tatu kuu. Sehemu ya nje ya sikio, sehemu ya kati ya sikio na sehemu ya ndani ya sikio.

Kuna aina mbili ya matatizo ya masikio nayo ni:


Otitis media : ambayo hutokea katika sehemu ya kati ya sikio na mara nyingi huwatokea watoto wachanga

na watoto wadogo.

Otitis externa: ambayo hutokea katika sehemu ya ndani ya sikio na mara nyingi huwatokea waogeleaji, na

hutokea zaidi wakati wa baridi.

Ishara za Matatizo ya masikio kwa Otitis media:

Kuumwa na kuchomwa kwa sikio

Kutokwa na uchafu ndani ya sikio

Kutosikia kwa ghafla

Homa

Sababu za Otitis media:

Sababu kubwa ya maradhi hayo ni kuziba kwa bomba la sikio(Eustachiantube)

kutokana na baridi, allergy pamoja na kuingia takataka. Hii inababisha maji maji ya sikio kujaa maji hayo

nayo husababisha uvimbaji wa (ear drum) sikio.

Sababu za Otitis externa:

Hii husababishwa na baketeria au fungi, maji maji yanayoingia ndani ya sikio ndio sababu kuu ya kufanya

bakteria na fungi kuzaana pia Skin allegies husababisha maradhi hayo.

Na sababu nyengine ni ulaji mbovu wa chakula pamoja na upungufu wa usafi wa mwili.

DAWA ZA KUJITIBU MARADHI YA MASIKIO:

Nyunyiza juisi ya Kitunguu saumu katika sikio linalouma

Nenda Hospitali ukapigwe bomba ili maji na uchafu upate kutoka

Pasha moto mafuta ya Zaituni (Olive oil) na yasubiri yapowe

na ujitie drops mbili hadi 3

Na usafishe masikio yako kila baada ya kutoka kukoga.

KUTOKWA NA USAHA SIKIONI: Ikiwa utaweka kitu kama ujiti wa kiberiti au mfano wake sikioni, unaweza kusababisha jeraha kwenye sikio na damu kuanza kutoka. Baadae usaha unaweza kutungwa sehemu ya jeraha na kutoka kidogokidogo. Lakini pia mashambulizi ya bacteria sikioni yanaweza kusababisha kutokwa na usaha.

TIBA ZA MAUMIVU YA MASIKIO NA KUTOKWA NA USAHA:Kanuni ya kwanza: Chukua maji masafi ujazo wa kijiko kimoja cha chai halafu uchukue chumvi kidogo kiasi cha vidole viwili uchanganye ndani ya maji hayo kisha hayo maji uchanganye na asali kijiko kimoja kidogo cha chai. Weka tone moja ya dawa hii ndani ya sikio

lenye kuuma au kutokwa na usaha kutwa mara tatu. Kanuni ya pili: Dondoshea tone moja ya mafuta ya kitunguu saumu ndani ya sikio ambalo linauma au kutokwa na usaha kutwa mara tatu.. Kanuni ya tatu: Chukua mafuta ya habat soda na ufanye kama kanuni ya pili.

Kanuni ya nne: Ikiwa maradhi ya sikio ni kwa ajili ya bacteria, kunywa antibayotiki asilia kama vile juisi ya Aloe vera, kitunguu saumu, n.k. E.


Asante sana kwa kutoa elimu ya bure kabisa kwa watanzania. Mungu azidi kukupa pumzi ili watanzania waendeleee kunufaika. Nimewahi kusikia mtabibu mmoja akisema, mafuta ya kenge, ni dawa nzuri sana ya sikio linalo toa usaha. Kuna ukweli wowote katika hilo ?
 
pole sana mtoa mada, kiukweli tunatatizo makubwa ya wataalam wa masikio(audiologists), mahospitalini, ushauri wa mzizimkavu nisingekushauri sana uutumie kabla ya kwenda kufanyiwa uchunguzi wa kitaalamu, kwani pigaji wa bomba unahitaji utalam mkubwa kwani uwezekano wakuku tia ukiziwi ni mkubwa sana. Ushauri wangu nenda CCBRT dar , au kamakunakituchochote cha wanafunzi wasio na usikivu nenda hapo huwa navifaa na wataalamu wa upimaji na watakueleza kama ugonjwa wako ni aina gani, unatibika au laa,.epuka kuweka dawa yoyote sikioni endapo ujapata vipimo. uwezekano wa kuuasikio ni mkubwa.

Asante ndugu hili tatizo ni kubwa kuliko tunavyodhan
 
Ishakuwa CHRONIC OTITIS MEDIA, jiyahdin asije akapata Permanent Deafness, kama uko Dar Mlete kwa Dr Enika au Prof Moshi Atapona, huko kwingne wanamchezea Tu, 3 Months Discharging??? Cant be Serious

Ni muda mrefu ametumia dawa nyingi jaman bila mafanikio.
Hatuishi Dar wengne huita mkoani ndipo tunapoishi tutapataje mawasiliano ya huyo tatibu mkuu plz tujuzane coz mtoto hasikii vizur hadi uongee kwa sauti kubwa jaman ni huruma sana.
 
Ulishakamulia majani ya bangi, ni dawa nzuri tu nilishawahi itumia kwa mwanangu na ilimsaidia hadi leo haijamtokea tena, usidharau mkuu.
 
Dawa ya uhakika ya enzi na enzi ni kumchinja kuku anayetaga na kuchukua mafuta yalioko tumboni mwake na kuyayeyusha katika kikombe acha yapoe kisha dondoshea matone mawili ndani ya sikio mara moja kwa siku kwa siku mbili
 
Nakumbuka kaka yangu alikua anaumwa sikio mama alikua ana muekea matone ya tangawizi iliotwangwa na alipona mpaka leo.
 
Habari wana JF, mimi ni mwanamke mwenye umri miaka 26, mwaka 2012 mwezi wa tano niliumwa sikio sana kiasi kwamba ukipita upepo kwangu ni maumivu.

Nikaenda hospitali wakaniambia uchafu umejaa, wakanisafisha, nikapona kabisa. Mwaka jana desemba likauma sikio la kushoto maana la mwanzo lilikuwa la kulia,maumivu na dalili zilezile, nikaenda hospitali tofauti na ya mwanzo, pia wakaniambia ni uchafu umejaa, nikauliza chanzo ni nini wakaniambia inatokea tu.

Basi nikasafishwa nikapona, sasa tangu juzi limenianza la kushoto tena, linaniuma kwelikweli na tayari nimeshawaza kwamba utakuwa ni uchafu tu. Jamani mwenye kujua jinsi ya kuzuia uchafu usiingie sikioni naomba aniambie ili niepukane na hii adhabu.

Asanteni.
 
Back
Top Bottom