Aisee, duh kakaa. Kweli iyo ni ndg. Sema naomba nikuulize swali 1 la kizushi, ushawah kusex Mara ngp maishan mwako?. Ukute ata hujawah ndo mn haikui hiyo,, iko pale pale tu.
Alafu kingine ni haya
1) kuwa na mwanamke ambaye ataikubali Hali yako ww ivyo ulivyo.
2) kbl hujaingia kwa mahusiano, mueleze ukweli huyo mschana kuwa mimi Niko ivi na ivi, je utanikubali?. Sio mnaingia chumbn uko uchi mnaanza kukimbiana na kukutangaza juu.
3). Jiamni pale unapokuwa sita kwa 6 na huyo umpendaye, usiwe muoga wala usiwe na mawazo kuwa atanionaje akiniona ivi. Anza maandalizo mazuri kbs kbl ya tendo. Nilisema maandalizi mazuri nadhani unayafahamu, yale ambayo unaweza mfikisha mwanamke kbl ata hujamuingilia kimwili.
4) Tuseme tu ukweli most ya wanaume wa siku hz hawajui kuandaa, Wana pupa Sana Sana wakifika kwa bed. Yani wako ovyo. Unaweza ukawa na iyo kitu ndogo, ako nasema inch 2 lkn ukamridhisha mwanamke vzr sn kuliko ata yule mwenye gobole
5) punguza kutokujiamini. Inaonekan ww tatizo lako haujiamini ndy maana. Jiamni kuwa ww ni kidume na unaweza kuwa na mahusiano km watu wengine. Haina aja ya kujiogopa. Kwnn uogope kutongoza?. Na ww una haki ya kupendwa km wengine
6) Cha mwisho, Mimi sikushauri utumie ayo madawa ya kuongeza uume, utaja Lia likiongezeka stage ambayo wadada watakukimbia. Jikubali jinsi ulivyo ww kama ww, acha uoga.
7) Tafuta pesa, Kila kitu kinawezekana. [emoji108]