Mke wangu alipatwa na tatizo hili kwa muda wa mwezi mmoja.Tatizo hili lilipelekea kukonda kwa haraka sana kwa sababu usiku alikuwa halali,Nilipitia uzi mmoja ambao MziziMkavu alitoa maelezo kama haya lakini hakuna unafuu uliopatikana, pamoja na kwenda kwa madaktari na kutoa dawa lakini madaktari wanazidiana kwani wengine waliandika hizo neurobian pamoja na dawa moja ya tube ya kupaka kwenye unyayo ila haikutibu tatizo ingawa lilipunguza tu. Baadae tulienda hospitali ya Nyakahoja jijini Mwanza na kumuona daktari mmoja ambae alikuwa ufumbuzi wa tatizo hili. Baada ya vipimo aliagiza kuwa mke wangu ajitahidi kunywa maji wastani wa lita 3 kwa siku kwa muda wa siku 7, vile vile aliandika dawa za aina mbali mbali ambazo nakumbuka ni CETRIZINE, NEUROBIAN, Elavil (AMITRIPTYLINE) pamoja na dawa fulani ya vidonge jina lake limenitoka. Ila katika yote hiyo Elavil ni komesha ya hilo tatizo.
Alitumia dozi hiyo kwa muda wa siku 10 tu baada ya hapo likaisha kabisa. Tuliporudi kwa dokta alimuongezea dozi nusu dozi kwa kuwa alikuwa ametumia nusu dozi.
Ahsante sana Mkuu Matunyengule......nime note down hizo dawa nafanya mpango wa kwenda kuchukua vipimo.
huwa nasikia kufa ganzi mguu wa kushoto tu ingawa sio mara zoteKwani na wewe unayo hayo Maradhi ya kufa Ganzi mikono na Miguu?
Una kilo ngapi wewe? Nanda hospitali kapime ( Ugonjwa wa kisukari,(diabetic polyneuropathy).na upime pia Mapigo ya moyo wako kujuwa unayo High Pressure ngapi?Mzizi M. nahisi na mimi ninalo hili tatizo,ingawa si mara kwa mara lakini in a frequency that i can notice.mara nyingi nikiwa nimelalia mikono au nikivaa viatu vinavyobana kidogo siku moja basi hupata ganzi katika gumba la kushoto kwa siku hata tatu the hupotea.
Pia nina low pressure kisukari nilicheck kama 3 yrs back (sina),kwa post yako i have to do it again (tomorrow-nina mchecheto)
Una kilo ngapi wewe? Nanda hospitali kapime ( Ugonjwa wa kisukari,(diabetic polyneuropathy) na upime pia Mapigo ya moyo wako kujuwa unayo High Pressure ngapi?huwa nasikia kufa ganzi mguu wa kushoto tu ingawa sio mara zote
Iam 5.9' my weight plays btn 69kg-72 but most of the time 71kgs.sijui vipimo vya pressure lakini nasumbuliwa na low pressure mara kwa mara hasa joto linapozidi,na issue za macho - usiseme kwa asilimia 90 ziwezi kusahamili mwanga mkali photo fobia siwezi kusoma bila miwani pia sioni mbali .hata nikiamka asubuhi inabidi nijizuie macho yangu kwa dakika kadhaa ndio n1weze kuzoea mwanga wa jua au taaUna kilo ngapi wewe? Nanda hospitali kapime ( Ugonjwa wa kisukari,(diabetic polyneuropathy).na upime pia Mapigo ya moyo wako kujuwa unayo High Pressure ngapi?
Una kilo ngapi wewe? Nanda hospitali kapime ( Ugonjwa wa kisukari,(diabetic polyneuropathy) na upime pia Mapigo ya moyo wako kujuwa unayo High Pressure ngapi?
Nitaenda MkuuUna kilo ngapi wewe? Nanda hospitali kapime ( Ugonjwa wa kisukari,(diabetic polyneuropathy).na upime pia Mapigo ya moyo wako kujuwa unayo High Pressure ngapi?
Una kilo ngapi wewe? Nanda hospitali kapime ( Ugonjwa wa kisukari,(diabetic polyneuropathy) na upime pia Mapigo ya moyo wako kujuwa unayo High Pressure ngapi?
Pole sana kuhisi baridi kalijamani habari zenu wanajukwaa.
Mi nina tatizo la miguu kuchemka,yaani nahisi kama nyayo zmelowekwa moton naomba ushauri tafadhari
pia nina tatizo la kuhisi kama nina baridi kali upande mmoja wa mwili wangu(wa kulia). Nahisi kama ninakuwa na baridi kali hadi mkono wote wa kulia unakuwa kama umechoka na kulegea. Msaada please
Pole sana kuhisi baridi kali
upande wamwili wako na huku mkono wakulia kuchoka ni dalili y wewe kuja kupatwa na ugonjwa wa kiharusi uwe
muangalifu sana Mimi ninakupa dawa yangu ukipona au ikiweza kukusaidia usisite kuja kuleta Feedback au unawezapia
kunitumia email baruwa ya pepe nikupe maelezo kwa kirefu Email Address yangu hii hapa fewgoodman@hotmail.com
kwa mtu ambae mwili wake una waka moto chukua Rawanda na kazbara hindi twanga chemsha kunywa kwani hizo ni
(balghami) itaondoka haraka kunywa glasi 2 kwa siku muda wa siku 7 tu hakikisha umekula usinywe dawa kabla kula
chakula ni khatari. Dawa kazitafute kwenye Maduka ya dawa za kisunna kama upo mjini Dar nenda Sokoni kariakoo
uliza maduka ya dawa za kisunna utapata hizo dawa 2.
Nitajie uzito na urefu wako na je muda mwingi huwa unakuwa umekaa au umesimama?