okonkwo jr
JF-Expert Member
- Jun 14, 2015
- 2,419
- 1,738
nimewahi kuwa na tatizo kama lako,nimeenda kwa waganga na waganguzi lakini wapi,tatizo lako laweza kuwa UTI na minyoo ambayo waweza kuwa sababu ya gonjwa lako,tibu haya matatizo hakika utapona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asante sana Mshana Jr kwa misaada wako Mungu akujalie zaidi ya hapa. Ngoja nijaribu nitakupa mrejeshoTumia tiba hii ya kitunguu saumu na ndimu loweka miguu kwenye beseni la maji vuguvugu yenye mchanganyiko wa kitunguu saumu kilichopondwa na ndimu iliyokamuliwa
Nakuombea piaAsante sana Mshana Jr kwa misaada wako Mungu akujalie zaidi ya hapa. Ngoja nijaribu nitakupa mrejesho
AsanteNakuombea pia
Ha! Ha! Mshana umetokea kama komando ngi! ngiiiiiii!Tumia tiba hii ya kitunguu saumu na ndimu loweka miguu kwenye beseni la maji vuguvugu yenye mchanganyiko wa kitunguu saumu kilichopondwa na ndimu iliyokamuliwa
Maji lita 3au 4 ndimu 1,2 au 3 kutegemea na ukubwa vitunguu vitunguu saumu 3
Mmh hili nipe muda takujibuMkuu tatizo la gauti je tiba yake?
Habarini.
mshana jr na MziziMkavu na wataalamu wengine humu ndani naombeni msaada.
Miguu yangu inanisumbua sana, inakuwa kama inaganzi wakati mwingine kama inawaka moto nikienda hospitalini napimwa naambiwa naumwa U.T.I natumia dawa lakini bado.
Sijui tatizo nini, naombeni msaada tafadhali
Lipo ni kitambo kidogo nilikiwa naweza kuacha nywele zirefuke bila tatizo lakin sasa zikikuwa kidogo tu huwa zinawasha sana.Mkuu, ukiacha tatizo hilo la ganzi na miguu kuwaka moto una tatizo lingine kiafya?
Mkuu mimi sio daktari kwahiyo nakushauri umuone daktari mzoefu hasa wale wazee.Lipo ni kitambo kidogo nilikiwa naweza kuacha nywele zirefuke bila tatizo lakin sasa zikikuwa kidogo tu huwa zinawasha sana. Na kingine ni kwamba kila nikiwa naswaki huwa nahidi kutapika na pia huwa nipanda gari huwa natapika sana hata kama sijala huwa pumzi inakata
Kwanza mi bado kijana ndo niko early 30s wala si mnyuaji tena maana nilitumia pombe kidogo nikiwa chuo. Huwa sinaga stress kivile na kwenda madactari nilishaenda lakin hamna muafaka.Mkuu mimi sio daktari kwahiyo nakushauri umuone daktari mzoefu hasa wale wazee. Miguu kupata ganzi na kuwaka moto wakati mwingine husababishwa na msongo wa mawazo/stress au kukosa kulala kwa muda unaopendekezwa, na zaidi sana upunguvu wa vitamin fulani huchangia kupata tatizo hilo. Hivyo wakati unatafuta matibabu jaribu kubadili style yako ya maisha kuanzia namna unavyofikiri(lndoa mawazo/stess, lala masaa saba hadi nane, pata chakula kizuri fanya mazoezi kila siku na uwe na muda wa kupumzika. Madaktari wengi ukienda kuonana nao ukishawaambia miguu inawaka moto basi haraka haraka watakuambia upime kisukari. Kama unatumia pombe acha kabisa.
Madaktari wanatofautiana na ndo maana nikakuambia utafute daktari mzoefu.Kwanza mi bado kijana ndo niko early 30s wala si mnyuaji tena maana nilitumia pombe kidogo nikiwa chuo. Huwa sinaga stress kivile na kwenda madactari nilishaenda lakin hamna muafaka.