Mikopo Chefuchefu
JF-Expert Member
- May 15, 2017
- 3,373
- 6,795
Ngoja uone kama utamaliza wiki hii bila kufa! Wiki ijayo ikivuka uko hai, ni PM nikupe zawadi!Utakufa wewe Mimi utaniacha. Fckn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ngoja uone kama utamaliza wiki hii bila kufa! Wiki ijayo ikivuka uko hai, ni PM nikupe zawadi!Utakufa wewe Mimi utaniacha. Fckn
vidonda vya tumbo ivo kutokana na experience yanguHabar zenu ndugu znguu,,mwezenu na Kama mwaka sas nasumbuliwa na tatizo la kuwaka Moto miguun na kushika ganzi pia(miguu yote miwil)...na sas imepelekea kukosa nguvu miguun hata nnavyo tembea huwaga napepesuka Kama vle nmelewa.......plz naomba ushauri ndugu znguu Ni ipi tiba au dawa ya kutumia ili npate kuponaaa[emoji120]
Ulitumia dawa gani mdau ukapona?vidonda vya tumbo ivo kutokana na experience yangu
dawa ya lecture mmoja wa udom..wanafunzi anawauzia 25..wa kitaa,50elfu..Ulitumia dawa gani mdau ukapona?
Ulipona bro?dawa ya lecture mmoja wa udom..wanafunzi anawauzia 25..wa kitaa,50elfu..
Kwa Tatizo lako la Miguu kuwako Moto na Visigino jaribu kupakaa Hina kwenye nyayo zako inasaidia sana kwa hayo matatizo yako na kwa jambo la Unene jaribu kuwa unatembea kila siku kwa umbali wa kilomita kama tatu au tano kwa kila siku utapunguwa na jaribu pia kuwacha kula vyakula vya Mafuta Mafuta na kila siku jaribu kuwa unakunywa kijiko kimoja cha Siki ya Apple itakuasaidia kupunguza unene wako.
Habar zenu ndugu znguu,,mwezenu na Kama mwaka sas nasumbuliwa na tatizo la kuwaka Moto miguun na kushika ganzi pia(miguu yote miwil)...na sas imepelekea kukosa nguvu miguun hata nnavyo tembea huwaga napepesuka Kama vle nmelewa.......plz naomba ushauri ndugu znguu Ni ipi tiba au dawa ya kutumia ili npate kuponaaa[emoji120]
uko sawaa..ata mi nliumwa iyo kitu..pia vidonda vya tumbo vinapelekea ilo tatizo...nat b...riberzok kama sijakosea na piriton...Nami nilikuwa na tatizo hili na lilikuwa linanipa tabu sana na nilianza kushindwa kuvaa viatu. Siku moja nikamuuliza rafiki yangu mmoja daktari ndio akanianiambia ni Neuropathy na mara nyingi inasababishwa na baadhi ya nerves kuwa damaged kutokana na upungufu wa Vitamin B mwilini. Akanishauri dawa Mbili ambazo in real sense ni kama supplements za kurekebisha hiyo Vitamini B deficiency. Nat B na nyingine nimeisahau kidogo akasema naweza tumia kwa pamoja au nikatumia moja. Nilitumia zote kama wiki hivi baadae nikaamua kutumia Nat B peke yake kwa kama mwezi mmoja hivi na sasa hivi niko vizuri kabisa nilishaachana na dawa Siku nyingi
k b nbbn ko nHabar wanajf naomba ushauri wa dawa ambayo itakua nzuri nitumie manake nasikia miguu inawaka moto chini kwenye unyayo nimeenda hospital nimepewa vidonge vya vitamin B nimetumia mpaka saivi nusu dozi lakin bado sijapata nafuu au mpaka nimalizie dozi !!!? Au kama kuna dawa nyingine naomben mnishauri ili niweze ku-solve hili tatizo "" ahsante"""