Wewe umeelewa . Wanasimba wengi wameumia. Ndio mjue kuwa Jamaa hulisha watu matango PORINI.
Uwekezaji my foot mwizi tu muhindi Yule . Kamshindwa Djuma kisa mpunga, Na hii ni ishara mo ni tapeli, he is not into investment hata. Leo hii mnaaminishwa eti Djuma ni majeruhi sijui hukaa sana nje ,upuuzi.
Like serious anataka pata kombe la Africa na kina Kapombe, Wawa .... he must be mad.
Djuma could have made a best combination in Msimbazi, As Vita kutofika mbali ni kwamba ligi ya kule inashuka, Na Vita waliuza wachezaji muhimu wengi Sana , ndio maana haijapata balance mpaka leo.
Djuma ni mchezaji na anauwezo nje ya box . Yanga sio wapuuzi kumchagua Djuma. Inapokuja suala la selection ya best players , Yanga is always the best.
Simba ni Blah Blah na utapeli wa boss wao kujitia ujuaji . Angalia selection zao ambazo ni worst
Chikwende
Kahata
Rasta etc etc .