Tatizo la Mo Dewji ni Ujanja Ujanja

Tatizo la Mo Dewji ni Ujanja Ujanja

Uyo Djuma taarifa zake zinaonyesha ni free agent,mmesajili mkataba wake uko Vita ukiwa umeisha,hayo madai ya mmemnunua yanatoka wapi? Yaani Gharibu uyu atoe pesa anunue mchezaji? Atakuwa labda anaumwa!! uyu myemeni atoe pesa sijui million kadhaa kununua mchezaji!! Endeleeni kujidanganya tu.
Uyo mchezaji amelipwa pesa ya usajili nusu,dalali wake yule general wa jeshi la kongo anaeimiliki timu ya meneama,na mama Khazadi na wao wamelamba mgao wao kwa kazi ya udalali shughuli ikaishia hapo.
Sera za president Tshekedi kubana makampuni ya madini pamoja na janga la corona iingie DRC uchumi umeyumba,matajili wengi wamepunguza kuweka pesa kwenye mpira ndio maana unaona timu za mazembe na vita zimeamua kujipanga upya kwa kuondoa wachezaji wazee na wenye majeruhi ya mara kwa mara.
 
Uyo Djuma taarifa zake zinaonyesha ni free agent,mmesajili mkataba wake uko Vita ukiwa umeisha,hayo madai ya mmemnunua yanatoka wapi? Yaani Gharibu uyu atoe pesa anunue mchezaji? Atakuwa labda anaumwa!! uyu myemeni atoe pesa sijui million kadhaa kununua mchezaji!! Endeleeni kujidanganya tu.
Uyo mchezaji amelipwa pesa ya usajili nusu,dalali wake yule general wa jeshi la kongo anaeimiliki timu ya meneama,na mama Khazadi na wao wamelamba mgao wao kwa kazi ya udalali shughuli ikaishia hapo.
Sera za president Tshekedi kubana makampuni ya madini pamoja na janga la corona iingie DRC uchumi umeyumba,matajili wengi wamepunguza kuweka pesa kwenye mpira ndio maana unaona timu za mazembe na vita zimeamua kujipanga upya kwa kuondoa wachezaji wazee na wenye majeruhi ya mara kwa mara.

Sasa what is your point ?
 
daah wat mna maneno kazi ipo kweli

Kigoma tunapiga kwenye mshono. Pale pale. Tutawa surprise tena kwa mara nyingine.


This time tunakuja na njia ya Kaizer Chief ; tunafumua mshono na kuufunga upya . This time lazima mgawanyike.

Ni katika jitihada za kuthibitisha kwamba Yanga ni kubwa na bora kuliko Simba
 
Nilidhani utabainisha mapungufu yenu yaliyofanya mkakosa ubingwa. always muda huu huwa ni wa furaha kwa kila mwana utopolo duniani kwa hekaya sa usajili Ila ligi ikianza mnaanza lawama kwa karia, tff n bodi ya ligi
 
Sasa what is your point ?
Tanzania mnajua maneno mengi na kuvaa makanzu na kukaa barazani na kahawa na kuongea abunuasi,Vita akupe mchezaji mzuri aje Tanzania tena yanga?!! Mchezaji mzuri tanzania mutamlipa nini?! Mchezaji mzuri wa DRC anaenda Belgium France,wale average players wanaenda Arabun Kuwait na China.

Ukiona mchezaji wa kongo amekuja Tanzania ujue ni mchezaji ameisha,au kiwango chake ni daraja za chini au timu za chini kama muungano,kivu stars,sangalambende as,kama makambo,kindoki,pitchou kongo, wametamba Tanzania hadi kuwa top score,wakati Kongo walikuwa wachezaji wa timu za chini.
Acheni kuvaa makanzu na vikofia na kunywa kahawa tengenezeni mupira wenu,Vita yuko anasafisha nyumba wewe unajisifu kununua sofa yake ambayo ametupa nje!!Timu za Kongo zinajijenga upya zina staafisha wazee.
 
Nilidhani utabainisha mapungufu yenu yaliyofanya mkakosa ubingwa. always muda huu huwa ni wa furaha kwa kila mwana utopolo duniani kwa hekaya sa usajili Ila ligi ikianza mnaanza lawama kwa karia, tff n bodi ya ligi

Dhana haimpeleki mtu katika UKWELI
 
Tanzania mnajua maneno mengi na kuvaa makanzu na kukaa barazani na kahawa na kuongea abunuasi,Vita akupe mchezaji mzuri aje Tanzania tena yanga?!! Mchezaji mzuri tanzania mutamlipa nini?! Mchezaji mzuri wa DRC anaenda Belgium France,wale average players wanaenda Arabun Kuwait na China.

Ukiona mchezaji wa kongo amekuja Tanzania ujue ni mchezaji ameisha,au kiwango chake ni daraja za chini au timu za chini kama muungano,kivu stars,sangalambende as,kama makambo,kindoki,pitchou kongo, wametamba Tanzania hadi kuwa top score,wakati Kongo walikuwa wachezaji wa timu za chini.
Acheni kuvaa makanzu na vikofia na kunywa kahawa tengenezeni mupira wenu,Vita yuko anasafisha nyumba wewe unajisifu kununua sofa yake ambayo ametupa nje!!Timu za Kongo zinajijenga upya zina staafisha wazee.

Sizitaki mbivu hizi
 
IMG_20210706_204424.jpg
 
Hongereni watani, ila nawakumbusha tu embe n tunda la msimu....

Yaani mashabiki wa Simba Bwana . Hivi mnadhani tar 25 mtaifunga yanga? Pole yenu sana
Sijui mtakaposhindwa kuifunga mtasema nini ? Mpira haupo hivo na wala Yanga sio mbovu.
Hii game ndiyo mtajua kweli hamjui kuwa hamjui
 
Kuna mchezaji yoyote ambae Mo alishatoa pesa kwa kuvunja mkataba. Si mnasubiri underdog kama chikwende.

Luis imetokea bahati lakin nae ni kapi , alikuja baada ya kushindwa sauzi
Kumbe kuvunja mkataba ndio mchezaji bora kweli shule muhimu.
 
Kuna mchezaji yoyote ambae Mo alishatoa pesa kwa kuvunja mkataba. Si mnasubiri underdog kama chikwende.

Luis imetokea bahati lakin nae ni kapi , alikuja baada ya kushindwa sauzi
Wanaosubiri underdog ni mabingwa back to back miaka minne na wanaovunja mikataba wamekuwa wasindikizaji kwa kipindi chote hicho na wanashiriki michuano ya kimataifa kwa kubebwa!
Kweli upeo wako wa kufikiri ni finyu kabisa!
 
Tanzania mnajua maneno mengi na kuvaa makanzu na kukaa barazani na kahawa na kuongea abunuasi,Vita akupe mchezaji mzuri aje Tanzania tena yanga?!! Mchezaji mzuri tanzania mutamlipa nini?! Mchezaji mzuri wa DRC anaenda Belgium France,wale average players wanaenda Arabun Kuwait na China.

Ukiona mchezaji wa kongo amekuja Tanzania ujue ni mchezaji ameisha,au kiwango chake ni daraja za chini au timu za chini kama muungano,kivu stars,sangalambende as,kama makambo,kindoki,pitchou kongo, wametamba Tanzania hadi kuwa top score,wakati Kongo walikuwa wachezaji wa timu za chini.
Acheni kuvaa makanzu na vikofia na kunywa kahawa tengenezeni mupira wenu,Vita yuko anasafisha nyumba wewe unajisifu kununua sofa yake ambayo ametupa nje!!Timu za Kongo zinajijenga upya zina staafisha wazee.
Waambie batu bayanga hakuna kitu wanajua, hawa ni maskini wa akili mpaka mifuko dawa ni kuwajengea ukuta ukibishana nao hutakaa ushinde, makelele jadi yao.
Wameifunga Simba kelele kibao, wamemsajili huyo babu spana mkononi kelele kibao.
 
Yaani mashabiki wa Simba Bwana . Hivi mnadhani tar 25 mtaifunga yanga? Pole yenu sana
Sijui mtakaposhindwa kuifunga mtasema nini ? Mpira haupo hivo na wala Yanga sio mbovu.
Hii game ndiyo mtajua kweli hamjui kuwa hamjui
Naendelea kukumbusha kuwa kipindi mashabiki wa yanga wanafuraha ni kipindi cha usajili na wakiifunga simba.....
 
Ujanja Ujanja kwa maana nyingine ni UTAPELI.

Hongereni sana Timu ya Wananchi, Dar Young Africans kwa kuvunja MKATABA wa Ndugu Djuma Shaaban na kumleta Jangwani.

Hii ndiyo maana halisi ya uwekezaji. Kununua watu ambao wanakuja kufanya kazi straightaway na sio kujifunza kazi kama zile za kina Chikwende, Mnaijeria, Kahata na wengineo.

Uwekezaji wa Mo ndani ya Simba ni wa kitapeli na wenye kutengeneza manufaa binafsi juu yake, hata Uwanja wa Timu ameshindwa kuupa jina la KLABU, ndiyo mjue mikia ni zero brain.

Hamisi Kigwangala alimaanisha sana, Ila muda utaongea.

Ni Mchezaji gani wa maana ambae Mo amewahi kumsajili kama ilivyofanya Yanga kwa Djuma Shaabani? Klabu 3 zilimtaka Djuma Shabaan.

Djuma alikiri yeye yupo tayari kwenda kokote kwenye Competitive Offer, akaweka dau lake mezani, Madam aliposikia offer hakurudi tena, alidhani ni kina Chikwende hao.

The worst part ni kuwa Djuma hakutaka any negotiation ya mshahara wake, kwa sababu anaamini katika uwezo wake. Mikia imebaki kupika majungu, eti ni mchezaji mwenye majeraha anaekaa sana nje, kama ni hivyo Madam alienda kongo kimya kimya kufanya nini?

Bakini na upupu wenu wa Bilioni 20. Timu isiyokuwa na weledi, wachezaji kulaumiwa na kusimangwa eti kwa nini wamefungwa, tunawalipa vizuri lakini bado mnafungwa; unawezaje kulaumu wachezaji kwa kigezo cha kuwalipa vizuri. Barcelona inalipa watu Bilions na bado inafungwa, nyie KENGE wa msimbazi kwa mishahara isiyozidi mil 250 kwa mwezi msifungwe kama nani.

Naiona Yanga ikileta mabadiliko ya soka Tanzania, ni suala la masiku yanayohesabika tu upepo utahama.

Tunasikia Mo anakimbizana na Makusu mchezaji ambae alishapotea muda tu, tunajua kwanini, ni utapeli na hadaa ya bei chee na uwekezaji hewa ndio umetawala.

Tunawafundisha maana halisi ya uwekezaji.

Ni wakati wa Yanga sasa, Djuma shabani ni trailer tu, Yanga inaleta vyuma vya maana bila ya kujali bei. Yanga inatema Chechee. Wiki ijayo tunatema checheee.

Kigoma. KIMOJA tu.

kimoja tu mkavurugane mbele wenyewe.

Kimoja tu, tena dakika zile zile za mwanzo.

Kimoja tu

Kimoja tu, kikipenya pyuuuuu bila maumivu

Kimoja tu
Nimetafuta ili nione Djuma kanunuliwa kwa sh ngapi (Usd/Tzs) ila bahati mbaya sijaona hiyo 'competitive offer'

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
Ujanja Ujanja kwa maana nyingine ni UTAPELI.

Hongereni sana Timu ya Wananchi, Dar Young Africans kwa kuvunja MKATABA wa Ndugu Djuma Shaaban na kumleta Jangwani.

Hii ndiyo maana halisi ya uwekezaji. Kununua watu ambao wanakuja kufanya kazi straightaway na sio kujifunza kazi kama zile za kina Chikwende, Mnaijeria, Kahata na wengineo.

Uwekezaji wa Mo ndani ya Simba ni wa kitapeli na wenye kutengeneza manufaa binafsi juu yake, hata Uwanja wa Timu ameshindwa kuupa jina la KLABU, ndiyo mjue mikia ni zero brain.

Hamisi Kigwangala alimaanisha sana, Ila muda utaongea.

Ni Mchezaji gani wa maana ambae Mo amewahi kumsajili kama ilivyofanya Yanga kwa Djuma Shaabani? Klabu 3 zilimtaka Djuma Shabaan.

Djuma alikiri yeye yupo tayari kwenda kokote kwenye Competitive Offer, akaweka dau lake mezani, Madam aliposikia offer hakurudi tena, alidhani ni kina Chikwende hao.

The worst part ni kuwa Djuma hakutaka any negotiation ya mshahara wake, kwa sababu anaamini katika uwezo wake. Mikia imebaki kupika majungu, eti ni mchezaji mwenye majeraha anaekaa sana nje, kama ni hivyo Madam alienda kongo kimya kimya kufanya nini?

Bakini na upupu wenu wa Bilioni 20. Timu isiyokuwa na weledi, wachezaji kulaumiwa na kusimangwa eti kwa nini wamefungwa, tunawalipa vizuri lakini bado mnafungwa; unawezaje kulaumu wachezaji kwa kigezo cha kuwalipa vizuri. Barcelona inalipa watu Bilions na bado inafungwa, nyie KENGE wa msimbazi kwa mishahara isiyozidi mil 250 kwa mwezi msifungwe kama nani.

Naiona Yanga ikileta mabadiliko ya soka Tanzania, ni suala la masiku yanayohesabika tu upepo utahama.

Tunasikia Mo anakimbizana na Makusu mchezaji ambae alishapotea muda tu, tunajua kwanini, ni utapeli na hadaa ya bei chee na uwekezaji hewa ndio umetawala.

Tunawafundisha maana halisi ya uwekezaji.

Ni wakati wa Yanga sasa, Djuma shabani ni trailer tu, Yanga inaleta vyuma vya maana bila ya kujali bei. Yanga inatema Chechee. Wiki ijayo tunatema checheee.

Kigoma. KIMOJA tu.

kimoja tu mkavurugane mbele wenyewe.

Kimoja tu, tena dakika zile zile za mwanzo.

Kimoja tu

Kimoja tu, kikipenya pyuuuuu bila maumivu

Kimoja tu
Hata Djuma pia alikuwa free agent. Hiki si kizazi cha propaganda ni kizazi cha knowledge. Growup
 
Naendelea kukumbusha kuwa kipindi mashabiki wa yanga wanafuraha ni kipindi cha usajili na wakiifunga simba.....

Maneno ya mkosaji. Ila Usisahau moja ya Klabu zilizokuwa zinataka sain ya Djuma ni MIKIA

MSHABIKI YOYOTE WA SIMBA AMEUMIA UKIWEMO WEWE
 
Back
Top Bottom