Tatizo la Mo Dewji ni Ujanja Ujanja

Wanaosubiri underdog ni mabingwa back to back miaka minne na wanaovunja mikataba wamekuwa wasindikizaji kwa kipindi chote hicho na wanashiriki michuano ya kimataifa kwa kubebwa!
Kweli upeo wako wa kufikiri ni finyu kabisa!

Hilo neno kabisa linauhusiano gani na mada hii?
 
Bingwa misimu mnne mfululizo ni Simba nyinyi Yanga bakini kupiga mayowe tu,Simba imewapa tiketi ya kupanda ndege caf champion muwe na heshima basi.
Ukumbuke tarehe 22.07.2021 CAS wanatoa hukumu!
 
Simba tunawatomba tena kule Kigoma,, ni kimoja tu cha mkwenzi Kinaingia Myong'oooooooooh
 
Muddy ni msanii halafu tatizo lingine ni mpaka aombe kwa baba yake Gulam
Tapeli hoyo anatarajia kubeba VPL mara4 back to back taperi huyoyo amefika mara 2 robo finally club bingwa Africa
 
Ni suala la muda mtabadili hilo jina la UTOPOLO. Tatizo lenu Maneno mengi huku kiongozi wenu akiwa Manara
Kila siku swala la mda mawazo ya masikini haya nyio utopolo hiki kipind cha usajili ndo kipind chenu kutamba mwisho wa msimu makombe kwa mnyama
 
Huwezi mfunga simba mara2 mfululizo kigoma ndo utajua hujui
 
......ila cha kushangaza ni kwamba Simba walifungwa tena juzi tu na hao Yanga jambo ambalo linafanya hoja yako ionekane haina kabisa maana.
 
Ujanja huo huo ndio UMEIPA SIMBA UBINGWA 4 TIMES NOW. Endeleen na ujinga wenu. SISI TUTAENDELEA NA UJANJA UJANJA WETU
 
Kuna mchezaji yoyote ambae Mo alishatoa pesa kwa kuvunja mkataba. Si mnasubiri underdog kama chikwende.

Luis imetokea bahati lakin nae ni kapi , alikuja baada ya kushindwa sauzi
Mkuu djuma alikuwa free player, mkataba wake inaisha hii June, japokuwa tunakubali ni mchezaji mzuri ila Simba ina kapombe anatosha, yasije kutokea ya Gadiel na Zimbwe kuwa na wachezaji wazuri nafasi moja matokeo yake mchezaji mmoja atapotea,

Kwa Yanga kumchukua djuma ni sahihi maana wanaenda kuboresha nafasi ya shomari ambae kiuhalisia ameachwa mbali na djuma, Lakini pia kama jamaa asingeumia kipindi Yuko national team uwezekano wa Simba kuendelea kumtaka ungekuwa mkubwa, hongereni watani Jamaa ni mzuri Ila uongo wa kusema mmevunja mkataba acheni bana

View attachment 1845407
 
Hakuna ukubwa wowote angesimama juu pale kwenye Msimamo wa VPL
Kwa kutengenezewa mazingira na wenye mpira wao siyo, hapo sawa, Ila kwa mpira badooo sana
 
Mizigo iliyoko pale Yanga ndio huioni..?
 
Djuma ni Free Agent.. Utopolo Kila kitu kwao ni hoyaa hoyaa
 
Yanga ni kongwe kuliko Simba..

Ubora hamfiki mkuu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…