Perpendicular
JF-Expert Member
- Jul 5, 2015
- 1,494
- 1,183
Huwa tunawapa moyo tu hawa tena wanajifanya ndio na pozi nyingi kweli kweli na anajiona mzuri kwelikweli ila mimi huwa hawanisumbui unaendelea kumpa bichwa tu ila moyoni ukweli unajulikana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kuna Kujiamini na Kuringa. Being Confident vs PeacockingSilaha pekee ya mwanamke itayomsaidia kumpeleka mahali anapopataka ni kujiamini, mwache ajiamini wewe endelea kumuona wa kawaida ila kujiamini kwake kutaweza either kumkosesha vingi au kumuepusha na mengi
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Dawa ya wasichana kama wewe ni kuwaambukiza gono la mbwa, utanuka hata ukitembea na fusho la ubani hutopata nafuu
kabla ya ujio wa hivyo vitu walikuwa hawaringi?Instagram na Facebook na smartphone ndo tatizo
ntashangaa ikiwa we ni mwanaume kwa ukike unaofanyausikose chance ya dollar 25 bure kwa ku sign up kwenye hii link na uchukue mmkwanja wako BlackOption - binary options without investments!
mkuu BILGERT unajuaje kama kumtongoza wewe kumemfanya ajisikie? Unajuaje ikiwa kuna wanaume wenzio kutwa hawali wakiwaza watampataje?? unafikiri ni kwa nini kakuzingua?Kuna mmoja niko naye hapa mtaani ni wa kawaida saana af mweusi tiii.nkaona nimtongoze ili angalau na yy ajisikie.daah nmeshangaa kananizingua balaaa,af mapoz kibao.nmeamua kufuta namba yake,
Hapana mkuu@BILGERT kawaida tu mbona jibu basi angalau moja au mawili [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4] [emoji4]hahahaa,umenipiga maswali mengi sana mkuu Blue G