Tatizo la msichana wa kawaida kujiona mzuri, linasababishwa na nini?

Tatizo la msichana wa kawaida kujiona mzuri, linasababishwa na nini?

Kiukweli japo wanasema uzuri uko machoni mwa mtazamaji, lakini to some extent tunaweza kukubaliana kuwa msichana fulani ni mzuri sana, mzuri kiasi au wa kawaida.

Sasa tatizo unakutana na msichana wa kawaida ila you can tell by the look kuwa huyo msichana anajiona mzuuuri kupita kiasi. And you cleary see that it has sank onto her head kwamba yeye ni mzuri.

Je 'tatizo' hili linatokana na nini? Je ni kioo ndicho kinamdangaya? Je ni wanaume wanaomtongoza ndio wanamdanganya at yeye ni mzuuuri, au ni marafiki zake ndio wanamdanganya hivyo au?

Tatizo la msichana kujiona mzuri kupita kiasi limedisable potential za wasichana wengine. They think kuwa kila kitu kinaweza kuwa chao kwa kupewa unfair priviledge, na wengi wao hawapendi kutumia nguvu kujishughulisha ili kujipatia kipato halali...
Uzuri wa mwanamke upo kitandani
 
Kiukweli japo wanasema uzuri uko machoni mwa mtazamaji, lakini to some extent tunaweza kukubaliana kuwa msichana fulani ni mzuri sana, mzuri kiasi au wa kawaida.

Sasa tatizo unakutana na msichana wa kawaida ila you can tell by the look kuwa huyo msichana anajiona mzuuuri kupita kiasi. And you cleary see that it has sank onto her head kwamba yeye ni mzuri.

Je 'tatizo' hili linatokana na nini? Je ni kioo ndicho kinamdangaya? Je ni wanaume wanaomtongoza ndio wanamdanganya at yeye ni mzuuuri, au ni marafiki zake ndio wanamdanganya hivyo au?

Tatizo la msichana kujiona mzuri kupita kiasi limedisable potential za wasichana wengine. They think kuwa kila kitu kinaweza kuwa chao kwa kupewa unfair priviledge, na wengi wao hawapendi kutumia nguvu kujishughulisha ili kujipatia kipato halali...
Mademu wa kawaida wanakuwaga very simple hivyo wengi wanawashobokewa sana ni rahisi wao kujiona wazuri sana sababu ya attention wanazopata, mademu wakali classic wana filtering mechanism kubwa sana alafu sio rahisi wanaume kuwashobokea sana
 
Kujiamini..kujiamini...hata Kama nafanana na babu yangu ila Mimi mzuri bwana..😂😂😂
Mleta mada Kunywa maji.
 
Kiukweli japo wanasema uzuri uko machoni mwa mtazamaji, lakini to some extent tunaweza kukubaliana kuwa msichana fulani ni mzuri sana, mzuri kiasi au wa kawaida.

Sasa tatizo unakutana na msichana wa kawaida ila you can tell by the look kuwa huyo msichana anajiona mzuuuri kupita kiasi. And you cleary see that it has sank onto her head kwamba yeye ni mzuri.

Je 'tatizo' hili linatokana na nini? Je ni kioo ndicho kinamdangaya? Je ni wanaume wanaomtongoza ndio wanamdanganya at yeye ni mzuuuri, au ni marafiki zake ndio wanamdanganya hivyo au?

Tatizo la msichana kujiona mzuri kupita kiasi limedisable potential za wasichana wengine. They think kuwa kila kitu kinaweza kuwa chao kwa kupewa unfair priviledge, na wengi wao hawapendi kutumia nguvu kujishughulisha ili kujipatia kipato halali...
Kwa kutongozwa baadhi ya wasichana malimbukeni wanapotongozwa-tongozwa na watu mbalimbali hujigundua kumbe wao ni wazuri!
Bila kujua kwamba hata angekuwa na sura ya mbuzi bado raia wangeulizia kali tu ilimradi tu kile kiorgan kipo Basi raia wanakazi nacho
muonekano ni ziada tu
Watongozaji wanaweza kuongezeka sana kadri unavyopatikana kwa urahisi

Mabaharia hupeana taarifa jinsi ulivyo maharage ya uyole na hivyo hata madomo zege hupata pa kusererekea na hilo ongezeko limbukeni hulitafsiri kama yeye ni mrembo sana na wanaume wengi wanampenda
 
Mwanamke au msichana akishakuwa na jinsia ya "ke''wote ni wazuri.
 
Back
Top Bottom