Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu MCHAWI wa kwanza ni kioo ,,,siku zote kioo ndy kinacholeta matatizo,,kioo ndy kinafanya mwanamke ajisikie,,ajione mzuri hata kama ana kichwa kama mbegu ya ubuyu..Kiukweli japo wanasema uzuri uko machoni mwa mtazamaji, lakini to some extent tunaweza kukubaliana kuwa msichana fulani ni mzuri sana, mzuri kiasi au wa kawaida.
Sasa tatizo unakutana na msichana wa kawaida ila you can tell by the look kuwa huyo msichana anajiona mzuuuri kupita kiasi. And you cleary see that it has sank onto her head kwamba yeye ni mzuri.
Je 'tatizo' hili linatokana na nini? Je ni kioo ndicho kinamdangaya? Je ni wanaume wanaomtongoza ndio wanamdanganya at yeye ni mzuuuri, au ni marafiki zake ndio wanamdanganya hivyo au?
Tatizo la msichana kujiona mzuri kupita kiasi limedisable potential za wasichana wengine. They think kuwa kila kitu kinaweza kuwa chao kwa kupewa unfair priviledge, na wengi wao hawapendi kutumia nguvu kujishughulisha ili kujipatia kipato halali...
Acha kukufuru uumbaji wa Mwenyezi Mungu mzeeYaan huwa nataman niwachape makofi,kuna mmoja huyo hana tako,ni mweusi tii,ananuka mdomo lkn anavyonata sasa dadeq balaaa
Ila sasa wale ambao ni wazuri real kabsa aisee huwa hawaringi kabsa yaan hata ukiomba no unapewa kiroho safi kabsa!...nadhan kuringa ni tabia kama tabia zingne tu
Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Hiyo kawaida sana kwa wanawake wabaya au wa kati,utakuta msichana ana sura km ya Kagere lkn malingo yake sasa balaa.Kiukweli japo wanasema uzuri uko machoni mwa mtazamaji, lakini to some extent tunaweza kukubaliana kuwa msichana fulani ni mzuri sana, mzuri kiasi au wa kawaida.
Sasa tatizo unakutana na msichana wa kawaida ila you can tell by the look kuwa huyo msichana anajiona mzuuuri kupita kiasi. And you cleary see that it has sank onto her head kwamba yeye ni mzuri.
Je 'tatizo' hili linatokana na nini? Je ni kioo ndicho kinamdangaya? Je ni wanaume wanaomtongoza ndio wanamdanganya at yeye ni mzuuuri, au ni marafiki zake ndio wanamdanganya hivyo au?
Tatizo la msichana kujiona mzuri kupita kiasi limedisable potential za wasichana wengine. They think kuwa kila kitu kinaweza kuwa chao kwa kupewa unfair priviledge, na wengi wao hawapendi kutumia nguvu kujishughulisha ili kujipatia kipato halali...
Mmhh!!!,Uzuri wa ndani???,Ndo upo je?Uzuri alionao ndani ambao hauonekani kwa macho ya nje ndo unafanya aoneshe kwa nje kuwa yeye ni mzuri. Usipojua huwezi kuelewa na usipoelewa huwezi jua kabisaaa.
Nilijua tu hii komment imetoka kwa mwanamke.Silaha pekee ya mwanamke itayomsaidia kumpeleka mahali anapopataka ni kujiamini, mwache ajiamini wewe endelea kumuona wa kawaida ila kujiamini kwake kutaweza either kumkosesha vingi au kumuepusha na mengi
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mbona Kagere anatumika sana kama reference?Hiyo kawaida sana kwa wanawake wabaya au wa kati,utakuta msichana ana sura km ya Kagere lkn malingo yake sasa balaa.
Kwasababu ni Aluwatan[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Mbona Kagere anatumika sana kama reference?
Kwasababu ni Aluwatan
Ugonjwa huuu wa psychology nmedahau unaitwajeKiukweli japo wanasema uzuri uko machoni mwa mtazamaji, lakini to some extent tunaweza kukubaliana kuwa msichana fulani ni mzuri sana, mzuri kiasi au wa kawaida.
Sasa tatizo unakutana na msichana wa kawaida ila you can tell by the look kuwa huyo msichana anajiona mzuuuri kupita kiasi. And you cleary see that it has sank onto her head kwamba yeye ni mzuri.
Je 'tatizo' hili linatokana na nini? Je ni kioo ndicho kinamdangaya? Je ni wanaume wanaomtongoza ndio wanamdanganya at yeye ni mzuuuri, au ni marafiki zake ndio wanamdanganya hivyo au?
Tatizo la msichana kujiona mzuri kupita kiasi limedisable potential za wasichana wengine. They think kuwa kila kitu kinaweza kuwa chao kwa kupewa unfair priviledge, na wengi wao hawapendi kutumia nguvu kujishughulisha ili kujipatia kipato halali...
Am good love... nimebabana tu mambo mengiSijambo baby.....umepotea Sanaa...how are u?
DaaaMkuu;
Jibu mbona rahisi tu. Miluzi mingi na zile tsssssiiii apitapo vijiweni. Huwa anabadili hata hatua. Lift lift na kuangaliwa kwenye sight mirror. Kumbe si lolote si chochote, usiku gizani wote wamefanana tu
Ur missed baby....Bora uwe unatokea Mara moja moja😘Am good love... nimebabana tu mambo mengi
Usijal [emoji173]Ur missed baby....Bora uwe unatokea Mara moja moja[emoji8]
DelusionUgonjwa huuu wa psychology nmedahau unaitwaje