Tatizo la msichana wa kawaida kujiona mzuri, linasababishwa na nini?

Tatizo la msichana wa kawaida kujiona mzuri, linasababishwa na nini?

Na huko Insta wanajiita 'Queen'
Wasio na Kingdom lakini😅😂😅
 
Kiukweli japo wanasema uzuri uko machoni mwa mtazamaji, lakini to some extent tunaweza kukubaliana kuwa msichana fulani ni mzuri sana, mzuri kiasi au wa kawaida.

Sasa tatizo unakutana na msichana wa kawaida ila you can tell by the look kuwa huyo msichana anajiona mzuuuri kupita kiasi. And you cleary see that it has sank onto her head kwamba yeye ni mzuri.

Je 'tatizo' hili linatokana na nini? Je ni kioo ndicho kinamdangaya? Je ni wanaume wanaomtongoza ndio wanamdanganya at yeye ni mzuuuri, au ni marafiki zake ndio wanamdanganya hivyo au?

Tatizo la msichana kujiona mzuri kupita kiasi limedisable potential za wasichana wengine. They think kuwa kila kitu kinaweza kuwa chao kwa kupewa unfair priviledge, na wengi wao hawapendi kutumia nguvu kujishughulisha ili kujipatia kipato halali...
Mkuu MCHAWI wa kwanza ni kioo ,,,siku zote kioo ndy kinacholeta matatizo,,kioo ndy kinafanya mwanamke ajisikie,,ajione mzuri hata kama ana kichwa kama mbegu ya ubuyu..
Kama sio kioo basi leo hakuna mwanamke ambaye angeringa mbele za mwingine,,,
 
Yaan huwa nataman niwachape makofi,kuna mmoja huyo hana tako,ni mweusi tii,ananuka mdomo lkn anavyonata sasa dadeq balaaa
Ila sasa wale ambao ni wazuri real kabsa aisee huwa hawaringi kabsa yaan hata ukiomba no unapewa kiroho safi kabsa!...nadhan kuringa ni tabia kama tabia zingne tu

Sent from my Redmi Note 9 Pro using JamiiForums mobile app
Acha kukufuru uumbaji wa Mwenyezi Mungu mzee
 
Wanaume wanaokuwa nao ndio huwadanganya.
 
Kwahiyo ulitaka ajione mbaya...au mtu akimsalimia aseme Mimi mbaya.. MUACHE ajione mzuri Tatizo liko wapi mtu kujiamini?
 
Mkikataliwa nnaanza kusema kwanza mbaya TU...katongoze hao wazuri... Huwaoni?
 
Kiukweli japo wanasema uzuri uko machoni mwa mtazamaji, lakini to some extent tunaweza kukubaliana kuwa msichana fulani ni mzuri sana, mzuri kiasi au wa kawaida.

Sasa tatizo unakutana na msichana wa kawaida ila you can tell by the look kuwa huyo msichana anajiona mzuuuri kupita kiasi. And you cleary see that it has sank onto her head kwamba yeye ni mzuri.

Je 'tatizo' hili linatokana na nini? Je ni kioo ndicho kinamdangaya? Je ni wanaume wanaomtongoza ndio wanamdanganya at yeye ni mzuuuri, au ni marafiki zake ndio wanamdanganya hivyo au?

Tatizo la msichana kujiona mzuri kupita kiasi limedisable potential za wasichana wengine. They think kuwa kila kitu kinaweza kuwa chao kwa kupewa unfair priviledge, na wengi wao hawapendi kutumia nguvu kujishughulisha ili kujipatia kipato halali...
Hiyo kawaida sana kwa wanawake wabaya au wa kati,utakuta msichana ana sura km ya Kagere lkn malingo yake sasa balaa.
 
Uzuri alionao ndani ambao hauonekani kwa macho ya nje ndo unafanya aoneshe kwa nje kuwa yeye ni mzuri. Usipojua huwezi kuelewa na usipoelewa huwezi jua kabisaaa.
Mmhh!!!,Uzuri wa ndani???,Ndo upo je?
 
Silaha pekee ya mwanamke itayomsaidia kumpeleka mahali anapopataka ni kujiamini, mwache ajiamini wewe endelea kumuona wa kawaida ila kujiamini kwake kutaweza either kumkosesha vingi au kumuepusha na mengi
Nilijua tu hii komment imetoka kwa mwanamke.
 
Kiukweli japo wanasema uzuri uko machoni mwa mtazamaji, lakini to some extent tunaweza kukubaliana kuwa msichana fulani ni mzuri sana, mzuri kiasi au wa kawaida.

Sasa tatizo unakutana na msichana wa kawaida ila you can tell by the look kuwa huyo msichana anajiona mzuuuri kupita kiasi. And you cleary see that it has sank onto her head kwamba yeye ni mzuri.

Je 'tatizo' hili linatokana na nini? Je ni kioo ndicho kinamdangaya? Je ni wanaume wanaomtongoza ndio wanamdanganya at yeye ni mzuuuri, au ni marafiki zake ndio wanamdanganya hivyo au?

Tatizo la msichana kujiona mzuri kupita kiasi limedisable potential za wasichana wengine. They think kuwa kila kitu kinaweza kuwa chao kwa kupewa unfair priviledge, na wengi wao hawapendi kutumia nguvu kujishughulisha ili kujipatia kipato halali...
Ugonjwa huuu wa psychology nmedahau unaitwaje
 
Mkuu;
Jibu mbona rahisi tu. Miluzi mingi na zile tsssssiiii apitapo vijiweni. Huwa anabadili hata hatua. Lift lift na kuangaliwa kwenye sight mirror. Kumbe si lolote si chochote, usiku gizani wote wamefanana tu
Daaa
 
Back
Top Bottom