Tatizo la Tanzania ni kudhani kwamba Watoto wa viongozi nao wanaweza kuwa viongozi

Tatizo la Tanzania ni kudhani kwamba Watoto wa viongozi nao wanaweza kuwa viongozi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hapo ndipo tunapojikuta tunataabika na kuokota Magarasa na kuyapa uongozi.

Uongozi ni Karama kutoka kwa Mungu, haujawahi kuwa urithi wa Ukoo, sasa hapa ndipo ambapo Mamlaka za Uteuzi zinapoboronga

Screenshot_2024-03-30-15-59-28-1.png
 
Hilo ndilo tatizo litakalokuja kufanya gen z ya hapa iingie mtaani.

Maana wamewajaza kwenye nafasi za uteuzi, ajira na kila penye unyeti wamekamata wao.

Sasa hawa wanyonge nao wanapata fursa ya kusoma ingawa elimu zao ni duni ila zinatosha kuwapa ufahamu.

Sasa wakiona wanaendelea kukaa tu na ramani hazisomeki kitawaka.

Rasilimali zinauzwa, wanaona ajira hakuna, umaskini unawapiga , uchumi mgumu.

Serikali ijitahidi kubalance mambo kuepukana na mambo kama haya huko mbeleni.
 
Back
Top Bottom