Tatizo la Tanzania ni kudhani kwamba Watoto wa viongozi nao wanaweza kuwa viongozi

Tatizo la Tanzania ni kudhani kwamba Watoto wa viongozi nao wanaweza kuwa viongozi

Watoto wanaandaliwa kuja kulinda ufisadi wa baba zao, Mkapa alikiri kuiba zaidi ya bilioni 150 kusaidia uchaguzi wa CCM 2005, badala ya kukamatwa na kupelekwa mahakamani kwa ufisadi na wizi wa mali za wanyonge, akaendelea kula mafao na posho kibao.
 
Back
Top Bottom