Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Usinipangie wewe kapukuHilo neno ^wanaweza^ jinsi ulivyolitumia linafanya uonekane mwenye akili duni na uwezo wa fikra unaotia shaka.
Nadhani siyo kosa lako. Ni wazi hujui kusoma. Pole sana!Usinipangie wewe kapuku
Jikite kwenye uzi tu achana na mtoa hojaNadhani siyo kosa lako. Ni wazi hujui kusoma. Pole sana!
Ndiyo kusema kwamba mleta-hoja hajui analozungumzia na wala hapendi kurekebishwa. Hopeless!Jikite kwenye uzi tu achana na mtoa hoja
HayaNdiyo kusema kwamba mleta-hoja hajui analozungumzia na wala hapendi kurekebishwa. Hopeless!
Eti kameanza kupiga jaramba!Hapo ndipo tunapojikuta tunataabika na kuokota Magarasa na kuyapa uongozi.
Uongozi ni Karama kutoka kwa Mungu, haujawahi kuwa urithi wa Ukoo, sasa hapa ndipo ambapo Mamlaka za Uteuzi zinapoboronga
View attachment 3050462
Kwa hiyo watoto wa viongozi hawana hiyo haki?Huu ujinga ndio Mbowe anafanya kwa mtoto wa ndg yake James Mbowe
Yaan ni mule mule
Vimeo
Kama mtoto wa mbowe au sivyo!Hapo ndipo tunapojikuta tunataabika na kuokota Magarasa na kuyapa uongozi.
Uongozi ni Karama kutoka kwa Mungu, haujawahi kuwa urithi wa Ukoo, sasa hapa ndipo ambapo Mamlaka za Uteuzi zinapoboronga
View attachment 3050462
Na wakitumbuliwa baba zao wananuna.
Paguswe msoga uone MOTO
Na wakitumbuliwa baba zao wananuna.
Paguswe msoga uone MOTO